Nimejibu aliposema wanalima kisasaUmeambiwa nchi ni jangwa ,kununua chakula si dhambi ina maana purchasing power yao ni kubwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimejibu aliposema wanalima kisasaUmeambiwa nchi ni jangwa ,kununua chakula si dhambi ina maana purchasing power yao ni kubwa
Ni kweli wanalima kisasa hilo halina ubishiNimejibu aliposema wanalima kisasa
Halafu tunawalisha
Aisee nimejisikia aibu sana!!Hivi,unayegemea akili akili kama hizi zitaleta maendeleo Tanzania [emoji1241]?
View attachment 2457175
Still Kenya inategemea chakula kutoka tz kwa silimia nyingi sana
Na still chakula wanategemea tz hilo halina ubishiNi kweli wanalima kisasa hilo halina ubishi
Kwenye ishu Lugha nakuunga mkono sana. Tumekwama hapo. Kiswahili hikihiki kilivyoweza kuenea Tanzania na nje ya mipaka ya Tanzania, ndio ingekua ni Kiingerza hicho, naamini tungekua mbali sana kwa mtanzania mmoja mmoja.SGR na Nyerere Dam vikiisha Kenya watatafutana maana bandari ya Mombasa itakosa mizigo yote ya maziwa makuu!
Kenya elimu inafundishwa in English na kuiunga nchi na international transfer of capital , technology and international market maana Kenya wanauza nje bidhaa nyingi kuliko Tz sababu ya kuweza kuwasiliana in English
Kenya ni nchi masikini kuliko Tz ni suala la muda tu kuipita iwapo Rais atakomaa na miundombinu na kuzuia upigaji ambao tayari umeshamiri. Magufuli alishaipita Kenya katika ukuaji uchumi ila akafa kwasasa tumerudi nyuma!
Sawa,ila hapo kwenye top 10 na sisi tukiwa #9 let me do my homework firstSwala la uchumi baina ya nchi za africa ya mashariki kwa kiasi kikubwa linamizizi ya ukoloni. Tutambue tu nchi yetu kwanza ilitawaliwa na mjerumani na baadae mwingereza km mwangalizi wa muda.
Kupitia wakoloni wa kiingereza kenya hasa nairobi ilijengwa sana na kufanywa km ndio makao makuu ya Africa mashariki huku tanganyika ikibaki km mashamba tu kwanza haikuwa mali ya mwingereza hivyo alijihusisha sehemu ndogo kwenye uchumi. (Gap la kwanza la uchumi likatokea hapo)
Maisha baada ya uhuru kwa nchi zote mbili pia yalikuwa na miundo tofauti sana hasa tanganyika tuliamua kufuata mfumo wa kijamaa na kenya wao waliendelea na ubepari. Mwanzoni ufumo wa kijamaa kwa tanganyika ulionekani mfumo sahihi sana maan uliweza kukuza uchumi kwa speed hadi miaka ya 77 nchi ilianza kujikuta kweny matatizo ya vita na kudondoka kwa ujamaa duniani hali hii ilipelekea nchi za kijamaa tulizokuwa tunazitegemea kusitisha misaada hali ikawa mbaya sana hivyo tukageukia ubepari kwa mashart magumu sana tukapewa mikopo.
(Gap la pili likatokea hapo)
Kufikia miaka ya 1995 nchi yetu ilikuwa hoi bin taaban kiuchumi inshort ilifilisika na ikaorodheshwa miongoni mwa nchi masikini zenye mzigo mkubwa wa madeni
Tukasamehewa na kuanza upya tena.
Baada ya kurudia ubepari tena toka uhuru jitihada mbalimbali zimefanywa na viongozi kwa kadri walivyoweza kuunyanyua uchumi tena ambao ulikuwa umeshakufaaa.
Hivi tunavyoongea tz ni miongoni mwa nchi 10 zenye uchumi mkubwa afrika kati ya nchi 54 sisi tukiwa namba 9 huku 8 akiwa Ethiopian na 7 kenya. U can imagine from down huko to top ten.
Maana yk ni kuwa tz inaendelea kwa speed sana kuliko kenya maan kenya hawajawahi kupata misukosuko ya kiuchumi km tz wala hawajawah kubadili mifumo ya uchumi ya nchi yao toka uhuru.
Achilia mbali wao walirithi nchi ikiwa na kila kitu teyar miundombinu ya kutosha, viwanda, man labour ya kutosha sisi hivyo vyote tulivisikia kwenye bomba na ilitubidi tuvijenge wenyewe maan tulichorithi ni reli na barabara ndogo ya rami.
Bongo kazi inapigwa sana ingawa pia baadhi ya viongozi wetu wanaturudisha nyuma ila kazi imepigwa haswa..
Halafu tunawalisha
Uliota ndoto nzuri,kalale tenaSGR na Nyerere Dam vikiisha Kenya watatafutana maana bandari ya Mombasa itakosa mizigo yote ya maziwa makuu!
Kenya elimu inafundishwa in English na kuiunga nchi na international transfer of capital , technology and international market maana Kenya wanauza nje bidhaa nyingi kuliko Tz sababu ya kuweza kuwasiliana in English
Kenya ni nchi masikini kuliko Tz ni suala la muda tu kuipita iwapo Rais atakomaa na miundombinu na kuzuia upigaji ambao tayari umeshamiri. Magufuli alishaipita Kenya katika ukuaji uchumi ila akafa kwasasa tumerudi nyuma!
Mbona na wewe unazani badala unadhani?Shida ilianza hapo kwenye "Palefu" badala ya "parefu". We unazani kwa mwendo wa kusema "Mologolo" badala ya "Morogoro" tutawakuta kimaendeleo?
SGR na Nyerere Dam vikiisha Kenya watatafutana maana bandari ya Mombasa itakosa mizigo yote ya maziwa makuu!
Kenya elimu inafundishwa in English na kuiunga nchi na international transfer of capital , technology and international market maana Kenya wanauza nje bidhaa nyingi kuliko Tz sababu ya kuweza kuwasiliana in English
Kenya ni nchi masikini kuliko Tz ni suala la muda tu kuipita iwapo Rais atakomaa na miundombinu na kuzuia upigaji ambao tayari umeshamiri. Magufuli alishaipita Kenya katika ukuaji uchumi ila akafa kwasasa tumerudi nyuma!
Umenikumbusha kitu, hawa jamaa huwa wanazingua sanaMara wakwambie majina yako kwenye vyeti hayafanani!!???? Process kibao!
Hujajua tu walivyo wajanja kwenye kilimo,wanalima horticulture na floriculture wanauza nje kwa pesa nyingi sana then wanakuja Tz kununua mahindi tu huku kwenye akaunti zao wana mshiko wa kutosha uliotokana na mauzo ya nje ya nchi.Na still chakula wanategemea tz hilo halina ubishi
Uvamizi uliopewa jina la muungano kwa Zanzibar utaendelea kuwatesa Watanganyika. Dua ya mwenye kudhulumiwa hairudi. Mumetuuwa sana na mnaendelea kutuuwa kila uchaguzi katika jitihada zenu Za kuweka kibaraka wenu. Wacha karma iwateseKama mtu wa kupiga soga kama hivi huwezi kuelewa Kenya walivyotuzidi.
Unaijua paypal? Kenya wanatuma na kupokea pesa kutoka paypal. Mtandaoni kuna fursa nyingi sana tunazikosa.
Kuna makampuni yanalipa kwa Paypal na Payoneer. Mfumo wa paypal ni rahisi unaingia kwenye simu moja kwa moja.
Wakati mwingine huwa natamani hata ningekuwa mkenya.
Mjumbe umeanza hoja kwa kuachwa nyuma kimaendeleo lakini ushahidi wako ni ramani ya nchi, mbona haviendani? Vipimo vya maendeleo viko, GDP, per head, electrification, life expectancy, budget ya afya, elimu na huduma, vitu kama hivyo. Una hizo data?Wakuu twende mbele turudi nyuma, nchi ya Kenya imeitupa Tanzania mbali sana kimaendeleo. Nakiri sijawahi kufika Kenya, lakini nimekuwa mfuatiliaji sana wa mafanikio ya wenzetu kupitia kupitia Luninga na hasahasa Google Earth ambayo inaweza kukupeleka popote pale na kukuonesha mandhari mbalimbali duniani.
Nchi ya Kenya eneo lake kubwa ni Jangwa kama ionekavyo hapo chini ukifananisha na Tanzania. Pia eneo lake ni dogo ukilinganisha na Tanzania.
Sijaainisha ni maendeleo gani wametupita ila karibu nyanja zote utakazozifikiria wewe wao wapo mbele yetu.
Sisi Tz tunakwama wapi?
~ Je, ni historia ndio iliyoturudisha nyuma?
~ Je, ni mfumo wa Elimu?
~ Je, ni wanasiasa?
Shida ni nini hasa? Au sisi ni wavivu kufanya kazi? Nchi yetu imebarikiwa kila rasli mali, mito mingi, maziwa yametuzunguka, bahari, mbuga za wanyama, mlima Kilimanjaro, madini mbalimbali... Tufanye nini kuisaidia nchi yetu kusonga mbele?
Nimewiwa tu kuandika hivi nikiamini wapo wajuvi humu ndani na tunaweza kujadili pamoja.
Mungu ibariki Tanzania.
View attachment 2456941
Swala la uchumi baina ya nchi za africa ya mashariki kwa kiasi kikubwa linamizizi ya ukoloni. Tutambue tu nchi yetu kwanza ilitawaliwa na mjerumani na baadae mwingereza km mwangalizi wa muda.
Kupitia wakoloni wa kiingereza kenya hasa nairobi ilijengwa sana na kufanywa km ndio makao makuu ya Africa mashariki huku tanganyika ikibaki km mashamba tu kwanza haikuwa mali ya mwingereza hivyo alijihusisha sehemu ndogo kwenye uchumi. (Gap la kwanza la uchumi likatokea hapo)
Maisha baada ya uhuru kwa nchi zote mbili pia yalikuwa na miundo tofauti sana hasa tanganyika tuliamua kufuata mfumo wa kijamaa na kenya wao waliendelea na ubepari. Mwanzoni ufumo wa kijamaa kwa tanganyika ulionekani mfumo sahihi sana maan uliweza kukuza uchumi kwa speed hadi miaka ya 77 nchi ilianza kujikuta kweny matatizo ya vita na kudondoka kwa ujamaa duniani hali hii ilipelekea nchi za kijamaa tulizokuwa tunazitegemea kusitisha misaada hali ikawa mbaya sana hivyo tukageukia ubepari kwa mashart magumu sana tukapewa mikopo.
(Gap la pili likatokea hapo)
Kufikia miaka ya 1995 nchi yetu ilikuwa hoi bin taaban kiuchumi inshort ilifilisika na ikaorodheshwa miongoni mwa nchi masikini zenye mzigo mkubwa wa madeni
Tukasamehewa na kuanza upya tena.
Baada ya kurudia ubepari tena toka uhuru jitihada mbalimbali zimefanywa na viongozi kwa kadri walivyoweza kuunyanyua uchumi tena ambao ulikuwa umeshakufaaa.
Hivi tunavyoongea tz ni miongoni mwa nchi 10 zenye uchumi mkubwa afrika kati ya nchi 54 sisi tukiwa namba 9 huku 8 akiwa Ethiopian na 7 kenya. U can imagine from down huko to top ten.
Maana yk ni kuwa tz inaendelea kwa speed sana kuliko kenya maan kenya hawajawahi kupata misukosuko ya kiuchumi km tz wala hawajawah kubadili mifumo ya uchumi ya nchi yao toka uhuru.
Achilia mbali wao walirithi nchi ikiwa na kila kitu teyar miundombinu ya kutosha, viwanda, man labour ya kutosha sisi hivyo vyote tulivisikia kwenye bomba na ilitubidi tuvijenge wenyewe maan tulichorithi ni reli na barabara ndogo ya rami.
Bongo kazi inapigwa sana ingawa pia baadhi ya viongozi wetu wanaturudisha nyuma ila kazi imepigwa haswa..