Kenya imejitosheleza kijeshi kukabiliana na mikwara ya jeshi la Uganda? Can KDF supress the Ugandan forces??

Tz hana mazoea ya ku-publish taarifa zake online. Mambo mengi sana yanakuwa reserved.
Ushawahi kujiuliza kwanini vikosi vya jeshi vina namba mchanganyiko? Yaani 91KJ, 832K...n.k
Ni jeshi gani duniani uliwahi ona lina vikosi vinafuatana namba. Kwamba kikosi 1,2,3,4?

Huo utaratibu wa JW ndio utaratibu wa majeshi duniani
 
For Uganda to successfully capture Nairobi their have to establish an air bridge to Nairobi and maintain air superiority 24/7 . Otherwise a ground campaign of more than 300km inside Kenya Will be a disaster.
 
Wewe una akili sana tena haupingani na emotions na blind patriotism. Tofauti na wengine humu.
 
-kdf ndiyo jeshi la kisasa, lenye vifaa, mitambo,silaha za kutosha ndani ya east and central africa
-Kuhusu alshabab hao hata US Wamewasumbua kule somalia
-mwenye Uchumi mkubwa ndio mwenye jeshi kubwa
 
You're a very smart fellow. Ungekuwa hapa nairobi tungekunywa Heineken kadhaa.
 
Kikubwa jeshi la kenya nidhamu ni 0,plus ukabila,updf wanajua udhaifu wa kdf,hao kdf kwenye operesheni zao nyingi wanafeli

..Muhoozi ni mpumbavu.

..watu wanafikiria kujenga uchumi na kuondoa umasikini yeye anawaza vita.

..Nashauri Tanzania na Kenya ziungane kumtandika Uganda ikiwa kutatokea chokochoko.

MK254
 
..Muhoozi ni mpumbavu.

..watu wanafikiria kujenga uchumi na kuondoa umasikini yeye anawaza vita.

..Nashauri Tanzania na Kenya ziungane kumtandika Uganda ikiwa kutatokea chokochoko.

MK254
Tanzania hatuwez kumpiga mwanetu Uganda ni Mtoto wetu kabisa mjinga ni Kenya tu hapo
 
..Muhoozi ni mpumbavu.

..watu wanafikiria kujenga uchumi na kuondoa umasikini yeye anawaza vita.

..Nashauri Tanzania na Kenya ziungane kumtandika Uganda ikiwa kutatokea chokochoko.

MK254
Mkuu hao jamaa zako wa bahima akili yao si ndipo ilipolala huko kwenye vita
 
..Muhoozi ni mpumbavu.

..watu wanafikiria kujenga uchumi na kuondoa umasikini yeye anawaza vita.

..Nashauri Tanzania na Kenya ziungane kumtandika Uganda ikiwa kutatokea chokochoko.

MK254

Vita haviwezi kutokea kati ya Uganda na Kenya, tunategemeana sana kiuchumi....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…