Kenya ndio ilikuwa ya kwanza kuweza kufanya confirmatory test?
Unamaanisha Maabara kuu ya Tz zimekuwa installed lini? Na kwani Tz ilileta sampuli kenya kuconfirm? Majivuno wakati mwingine yanakufanya uonekane choko kama wewe.
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha kuleta habari za Amerika na Europe humu, cc tunaongelea mambo yanayotuhusu ushawahi kuona Europe na Amerika wanasolve mambo yao kwa kupitia data ya Africa? Hapa tunavyopeana makavu usidhani ni cc tu humu hata viongozi wetu wanaona na wanachukua hatua stahiki km vitanda havitoshi vitaongezwa don't be foolKWa hiyo kuwa na idadi kubwa ya vitanda vya icu na maabara au kuwa na uhaba wa vyote viwili ni sifa???? Kwenye janga hili
Kwa nini mnabishania vitu nonsense, huko Italia watu wamekufa kama kuku kideri kwa sababu ya upungufu wa mashine za kupumulia, marekani ina safa kwa kukosa tu vitu vya kuvaa manesi na madaktari kujikinga sembuse maabara
Mabishano mengine hayana mchango wowote kipindi hiki
Sent using Jamii Forums mobile app
Unajua hata ukajitetea vp ukweli huwez badilisha mark my words 😂😂😂😂Amesema ukwel[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
The rest hizi hapaView attachment 1406591
Sent using Jamii Forums mobile app
Hizi burukenge za jubilee zina akili fupi sana.Wewe na katibu wenu mkuu wa Wizara, nani mwenye jukumu na mwenyekujua ukweli?, tuache kumsikiliza mtendaji mkuu wa serikali badala yake tuamini vikaratasi ambavyo walioviandika hawajulikani.
Huyo anayezungumza ndiye mwenye sauti ya mwisho yanayohusu uwezo wa nchi yote ya Kenya katika mambo ya Afya, private + Government. Hahahaha,hahahaha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Who is sebastine 😂😂👇👇👇Hyo ni data ya kutoka kw public hospitals...
Hii data imechanganya hospitali zote...
Piga hesabu vizuri na ujue katika hyo ya pili hakuna nairobi county...
Unafikiria hapa tumeingia bure
Top 10 Countries with Improved Healthcare System in Africa 2020 | The African Exponent.
bure[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
View attachment 1406567View attachment 1406569
Sent using Jamii Forums mobile app
Kila siku nasema Tanzania na Kenya hamna wa kumcheka mwenzake na ushindani wetu ni wakuvimbishiana vifua tu lakini kwenye real world sisi wote ni watoto tunaoishi kwa wazazi wetu.
Waswahili husema mwenye maneno mengi, hana nguvu za kupigana. Kenya wamezidi maneno kila wanapizidiwa lazina watafute kisingizio.
Ukweli ni kwamba Kenya wanazo maabara 2 tu zenye uwezo wa kupima Corona zote zipo Nairobi, na vitanda 160 vya ICU nchi nzima, kati ya hivyo vingine havifanyi kazi.
Wakenya punguzenni mdomo na kujisifia sana, Corona inaendelea kuenea kwa kasi, hii tabia yenu ya kupima na kutangaza matokeo bila kuchukua hatua za kupunguza maambukizi, itawaweka pabaya sana.
Huu ugonjwa hakuna nchi inaweza kuficha kwasababu ukificha watu wanakufa kama wadudu, au wagonjwa watajazana katika Hospitali.
Sent using Jamii Forums mobile app
Najitetea na wakati amesema ukwel[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Unajua hata ukajitetea vp ukweli huwez badilisha mark my words [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sema tena 😂Ukweli, Kenya walikuwa na uwezo kupima Corona kabla ya TZ.
Uwepo wa maabara ni moja lakini ili upime inabidi uwe na vipimo na wataalamu wanaojua kupima.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tafuta ya kwako utuonyeshe tanzania ikiwa juuWho is sebastine [emoji23][emoji23][emoji116][emoji116][emoji116]
View attachment 1406592
Punguza Pressure..hawa jamaa wawili ni watani wa jadi.Wew chizi hivi huwa mnapata faida gani kuchongoa mdomo nchi za wengine wakati hapa kwetu tanzania Hali Ni tete?
Hivi Nyie huwa mna akili kweli
Sent using Jamii Forums mobile app
minus Nairobi ni 160.
Waswahili husema mwenye maneno mengi, hana nguvu za kupigana. Kenya wamezidi maneno kila wanapizidiwa lazina watafute kisingizio.
Ukweli ni kwamba Kenya wanazo maabara 2 tu zenye uwezo wa kupima Corona zote zipo Nairobi, na vitanda 160 vya ICU nchi nzima, kati ya hivyo vingine havifanyi kazi.
Wakenya punguzenni mdomo na kujisifia sana, Corona inaendelea kuenea kwa kasi, hii tabia yenu ya kupima na kutangaza matokeo bila kuchukua hatua za kupunguza maambukizi, itawaweka pabaya sana.
Huu ugonjwa hakuna nchi inaweza kuficha kwasababu ukificha watu wanakufa kama wadudu, au wagonjwa watajazana katika Hospitali.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio shida ya kurukia rukia comment bila kusoma na kuelewa,
Na hii video inasemaje!Ukweli, Kenya walikuwa na uwezo kupima Corona kabla ya TZ.
Uwepo wa maabara ni moja lakini ili upime inabidi uwe na vipimo na wataalamu wanaojua kupima.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii list mpelekee Huyu Gavana wenu, kwahiyo huyo Gavana hajui kitu zaidi ya huyo aliendika hicho kikaratasi?. By the way hiyo karatasi umeandika wewe au nani? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hehehee!!ukwel mchungu jamani
Hesabu hospitali za serekali pekeake halafu uone utakacho kutana nacho..nimekuletea in full ndio uelewe vizuri...halafu zile county zako 22 ziko hapo hapo kabisa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Unafikiria tuliingia bure hapa
Top 10 Countries with Improved Healthcare System in Africa 2020 | The African Exponent.View attachment 1406588
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukweli ni huo kwamba mpo na vitanda 162 tu, na kati ya hivyo, vingine havifanyi kazi,[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Amesema ukwel[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
The rest hizi hapaView attachment 1406591
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwambie huyo jamaa hajui hili jukwaa ni war zone tunapigana vita visivyoumiza tukiwa kwenye hili jukwaa wabongo wote ni team Magu na wakenya ni team uhuru tunaweka siasa pembeni tunapambania kombePunguza Pressure..hawa jamaa wawili ni watani wa jadi.
Kama wewe ni mgeni hapa utapata taabu sana!
Btw..Hata kwenye msiba watu hutaniana na kucheka.
Minus Nairobi is 58 ICU! That means Nairobi has 102 ICU!minus Nairobi ni 160.
Hii video ni ya zamani. Wewe tatizo lako ni gani? Mbona joto la jiwe na Geza Ulole mpo obsessed na Kenya kiasi hiki? Hakuna Mkenya aliye obsessed na TZ hivi. Mimi huwa siwazi Tanzania kabisa. Hapa JF mie huja kusoma Kenyan news tu. Sina haja ya kufahamu nini kinaendelea Tanzania. Sasa sielewi mbona watanzania wanatuwaza sisi Wakenya usiku na mchana. Sielewi wanaona nini kizuri kwetu? Mimi binafsi sioni kama Kenya ina umuhimu wowote wa kufanya Watz kukosa usingizi kiasi hiki na kushinda wakipost mambo ya Kenya humu. Kwa siku moja tu Geza anaweza post habari ishirini tofauti kuhusu Kenya. Hakika Watz wanapost mambo ya Kenya sana hata kushinda Wakenya wenyewe. Mimi mwenyewe ni nadra sana kupost habari yoyote ya TZ. So wacheni kuwa stalkers bana. Sasa Kenya ina stalkers from TZ? Kwani Kenya ni mrembo kiasi gani? Get a life guyz.Nyie vimavi huwa mna-bore aisee! Untill Jeff Koinage has decided to make u foools swallow ur pride!
#Akilizahandshake#
CC: Zigi Rizla Kafrican Depay Teargass Tony254 pingli-nywee komora096 Edward Wanjala
No one is obsessed with Kunyaland, its just u r using our JF to propagate lies that seek to glorify ur Ukunya ego n we can't just allow that! U see now u claim 2 months is zamani! Apparently Dar es salaam has more ICU beds than NairobiHii video ni ya zamani. Wewe tatizo lako ni gani? Mbona joto la jiwe na Geza Ulole mpo obsessed na Kenya kiasi hiki? Hakuna Mkenya aliye obsessed na TZ hivi. Mimi huwa siwazi Tanzania kabisa. Hapa JF mie huja kusoma Kenyan news tu. Sina haja ya kufahamu nini kinaendelea Tanzania. Sasa sielewi mbona watanzania wanatuwaza sisi Wakenya usiku na mchana. Sielewi wanaona nini kizuri kwetu? Mimi binafsi sioni kama Kenya ina umuhimu wowote wa kufanya Watz kukosa usingizi kiasi hiki na kushinda wakipost mambo ya Kenya humu. Kwa siku moja tu Geza anaweza post habari ishirini tofauti kuhusu Kenya. Hakika Watz wanapost mambo ya Kenya sana hata kushinda Wakenya wenyewe. Mimi mwenyewe ni nadra sana kupost habari yoyote ya TZ. So wacheni kuwa stalkers bana. Sasa Kenya ina stalkers from TZ? Kwani Kenya ni mrembo kiasi gani? Get a life guyz.