Kenya ina maabara 2 tu za kupima Corona, vitanda 160 vya ICU, Kaunti 22 hazina ICU kabisa

Kenya ina maabara 2 tu za kupima Corona, vitanda 160 vya ICU, Kaunti 22 hazina ICU kabisa

Jamaa wanakurupukwa tu, yani hizi kelele zote kumbe hata hawajielewi..... hawajui wako na vitanda vingapi, alafu hata taarifa ya gavana hata hawaielewi

wacha ni waelimishe kidogo , huyu ndo gavana alieongelea kuhusu vitanda 160 kwa county zote.

------------------------------
H.E. Hon. Wycliffe Ambetsa Oparanya, EGH is a Kenyan politician, serving as the incumbent governor of Kakamega County and Council of Governors chairperson.
---------------------------


Magavana wote hupiga kura ili mmoja wao awe anashikilia usukani kuwakilisha magavana wote wa Kenya kuhusiana na serekali kuu, yani kwa kifupi mwenyekiti cha council of governors anawakilisha county zote.... kwahivyo akisema county zote za kenya ziko na vitanda 160 anamaanisha hospitali za county! hamaanishi hospitali zote za Kenya.....
Nitaregelea tena, akisema county zote za kenya ziko na vitanda 160 anamaanisha hospitali za county! hamaanishi hospitali zote za Kenya.....
Basi wataelewa kwel

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mama yako alivyoachia ukaingizwa wewe bila Condom unadhani alifanya jambo la maana?, alikua na uhakika gani kwamba baba yako hakuwa na Ukimwi? [emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
WEwe jamaa ni mpumbavu sana! Unacheka kwa jirani wakati kwako kunawaka moto. Tuombe Mungu tu atuepushe na hili janga.
Sio Kenya wala Tanzania yenye uwezo wa kupambana na haya maambukizi.
 
Ni nchi mbili pekee za Africa zilikua na uwezo wa ku test corona by 1st January.Hizo nchi nyengine za Africa zote zilikua hazina capacity ya kufanay testing.


------
Records indicate that 33 countries in the region already have facilities in place a boost from the previous two where only Senegal and South Africa did months back. In january, a suspected case in Ivory Coast was tested in Senegal.

Whiles Ethiopia and Kenya sent samples to South Africa for testing before the WHO deployed testing facilities in late January. The AU’s Center for Disease Control, CDC, has also been in the forefront of boosting the capacity of member states.
Coronavirus: Africa to get 100% testing capacity 'soon' - WHO | Africanews
Inatakiwa uelewe kwanza alichocoment hapo juu na uelewe kwanini nimemjibu hivyo,
Nje na hapo utaishia kucopy na kupaste.
 
Hujaelewa hakuna mtu kasherekea ila alikua anawekwa sawa ndugu yako kwa kuja na takwimu za uongo ushuzi mtupu kisa anataka sifa za kipuuzi
Sawa ichoboy. Niliona picha yako kwenye twitter. Kumbe wewe ni mwarabu kiukweli. Nilidhani ilikuwa utani tu. Itakuwa wanawake wanakukimbiza sana aisee.
 
Kuna nyani mwingine jana alikuwa anajaribu kuongopa eti kenya kuna more than 1000 ICU...nilibisha kwa nguvu zangu zote!
 
Sawa ichoboy. Niliona picha yako kwenye twitter. Kumbe wewe ni mwarabu kiukweli. Nilidhani ilikuwa utani tu. Itakuwa wanawake wanakukimbiza sana aisee.
Hahahahahahahahahaaaaa acha woga let's carry-on battle [emoji3][emoji3][emoji3]
 
Inatakiwa uelewe kwanza alichocoment hapo juu na uelewe kwanini nimemjibu hivyo,
Nje na hapo utaishia kucopy na kupaste.
Hayo nilokulete yanajibu kila mtu.... hakuna mtu alikua na uwezo wa kupima corona nje ya SA na senegal, sisi wengine tulietewa na WHO ambao walikua wanapriorities nchi ambazo zilikua za kwanza kwanza kuhitaji kufanya testing, akina Edgypt , Tunisia, ndo walikua wa kwanza kupata testing kits alafu wakafwatwa na akina Ethiopia Kenya ...
 
WEwe jamaa ni mpumbavu sana! Unacheka kwa jirani wakati kwako kunawaka moto. Tuombe Mungu tu atuepushe na hili janga.
Sio Kenya wala Tanzania yenye uwezo wa kupambana na haya maambukizi.
Ninarudia kwa sauti zaidi," Mama yako alivyopanua na kuingizwa wewe, bila kujua kama baba yako alikua na Ukimwi, Corona au kifadura ndio alikua MPUMBAVU, au namna gani jameni?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bwahahaa!!endelea kungania vitu usivyovielewa tu...
Kwanza ulifanya hesabu ya nairobi

Sent using Jamii Forums mobile app

Here is what ur doctors r saying!





EUVpSC3XYAA2Hmw


EUVpShbWsAAhnZM


EUVpS66XQAEv1zB
 
Hayo nilokulete yanajibu kila mtu.... hakuna mtu alikua na uwezo wa kupima corona nje ya SA na senegal, sisi wengine tulietewa na WHO ambao walikua wanapriorities nchi ambazo zilikua za kwanza kwanza kuhitaji kufanya testing, akina Edgypt , Tunisia, ndo walikua wa kwanza kupata testing kits alafu wakafwatwa na akina Ethiopia Kenya ...

 
  • Thanks
Reactions: Oii
Hayo nilokulete yanajibu kila mtu.... hakuna mtu alikua na uwezo wa kupima corona nje ya SA na senegal, sisi wengine tulietewa na WHO ambao walikua wanapriorities nchi ambazo zilikua za kwanza kwanza kuhitaji kufanya testing, akina Edgypt , Tunisia, ndo walikua wa kwanza kupata testing kits alafu wakafwatwa na akina Ethiopia Kenya ...
Hayo yote nayafahamu kabla yako,
Soma alichoandika kisha utaelewa kwanini nilimjibu vile kwa kutumia ile video,
Ila kwa sababu una uwezo mdogo wa kusoma na kuelewa basi tuendelee kubishana.
 
Sasa umeishia kutumia tweets za wakenya baada ya kushindwa kuleta takwimu za Tanzania ... Bure kabisa
since u don't trust Koinange i brought tweets from ur doctors (i call it hear from horses' mouths)!

Here is what ur doctors r saying!












 
Back
Top Bottom