Kenya ina uchumi imara kuliko Tanzania. Ila waKenya ni maskini wa kutupwa.

Kenya ina uchumi imara kuliko Tanzania. Ila waKenya ni maskini wa kutupwa.

Ziroseventytwo

JF-Expert Member
Joined
Mar 27, 2011
Posts
8,581
Reaction score
15,618
1. Mboga yao kuu ni sukuma wiki. Bei ya nyama kwao ni zaidi ya Tshs 12000 kwa kg. Hivyo hawamudu kununua. Wanaishia kula majani.

2. Mtu wa kawaida hana uwezo wa kumiliki ardhi yenye ukubwa wa kuanzia ekari 2. Ardhi yote ya kenya inashikiliwa na matajiri wakubwa ambao huwapa watu wailime huku wakiwapa masharti magumu ya kuwauzia mazao watakayovuna.

Wanaongoza kwa kutumikishwa nchi mwao. Vijana haqana uwezo wa hata kununua pikipiki kwa ajili ya kujiajiri. Bodaboda zote mnazoziona Nairobi na za makampuni. Wamewaajiri vijana kwa ujira wa kinyonyaji. Nyingi zimefungwa car track.

Viwanda vyao vinaongoza kufunga packege za ajabu. Utakuta kuna Chai ya gm 10! Blue band gm 15 hii ni kuwasaidia waKenya masikini waweze kumudu mahitaji. Tofauti na hapa Tanzania huwezi kuta hizo package. Mafuta ya kula ni kuanzia lt 1,3 na 5.

Hawamudu kulipa kodi ya nyumba kwa miezi kuanzia mi3 hadi sita wao wanalipa kila mwezi. Tena kwa taaabu. Vijijini sehemu kusikokuwa na Umeme(stima) wamefungiwa vi solar power ambavyo ni mali ya makampuni ya kinyonyaji na wanamtoza mtu gharama kubwa kwa matumizi ya jua.

Kwa kifupi kenya haina watu wa kipato cha kati. Kuna matajiri wakubwa ambao wameshikilia uchumi, Ardhi na Mustakabali wa Kenya. Na kuna wakenya maskini ambao ni rasilimali kwa ajili ya matajiri wa kenya.

Povu ruksa
 
Hizi shule zenu za Kahwa ndzo mnstuletea humu JF.

Soda ya coca kenya inauzwa 50ksh. Ambayo ni sawa na elf 1 ya Tz. Ukienda na buku moja yako ya kiTz, kenya unakunywa soda moja. Mwenzio akija na 50ksh anakunywa soda mbili huku.

Je wajua bei ya Nyama UK ni bei gani?

Mwenye macho haambiwi ona.

Alafu usipende kulinganisha Kenya na shithole countries.
 
Mimi nina rafiki zangu Wakenya wanaishi Nairobi wana maisha mazuri tu ila sio matajiri kwa hiyo unaposema Kenya haina watu wakipato cha kati sikuelewi.
Bila shaka wamepanga Apartment.. Wana drive gari.. Na wanafanya safari za kitalii..

How more fake can they be. Ukiona maisha ni mazuri KE ujue ni tajiri.. Wengine wengi ni wannabe. Tens hao ndio weeeengi..na wameishi lies for too long mpaka imekuwa natural to them.

Hata hivyo sidhani kama literary mtoa mada alitaka kusema hakuna kabisa mid income... Wapo ila only a fraction ndio wakweli wengi wanaigiza kuwa mid income..

Mwisho uchumi wao sio shirikishi.. Kwa hiyo good performance ya uchumi huo inawafaidi wachache ambao in return wanawagawia kidogo as salaries hao mid income.
 
Hizi shule zenu za Kahwa ndzo mnstuletea humu JF.

Soda ya coca kenya inauzwa 50ksh. Ambayo ni sawa na elf 1 ya Tz. Ukienda na buku moja yako kenya unakunywa soda moja. Mwenzio akija na 50 anakunywa soda mbili huku.

Je wajua bei ya Nyama UK ni bei gani?

Mwenye macho haambiwi ona.

Alafu usipende kulinganisha Kenya na shithole countries.
Sasa kwani Tanzania soda si 500 au wewe unanunua buku?
 
Hizi shule zenu za Kahwa ndzo mnstuletea humu JF.

Soda ya coca kenya inauzwa 50ksh. Ambayo ni sawa na elf 1 ya Tz. Ukienda na buku moja yako ya kiTz, kenya unakunywa soda moja. Mwenzio akija na 50ksh anakunywa soda mbili huku.

Je wajua bei ya Nyama UK ni bei gani?

Mwenye macho haambiwi ona.

Alafu usipende kulinganisha Kenya na shithole countries.
Kwani Soda Tanzania ni shilling ngapi?? Elf kumi au!!?

Bei ya nyama ya uingereza ndo unataka kulinganisha na ya Tanzania etii!!!? Umesikia mafuta Yale!?

Trump wakati anasema "Africa is Sithole" alii exclude Kenya ama!!?
Au hizo sitholes countries ni zipi ukianza na Tanzania..!??

Yaaani
 
Kwani Soda Tanzania ni shilling ngapi?? Elf kumi au!!?

Bei ya nyama ya uingereza ndo unataka kulinganisha na ya Tanzania etii!!!? Umesikia mafuta Yale!?

Trump wakati anasema "Africa is Sithole" alii exclude Kenya ama!!?
Au hizo sitholes countries ni zipi ukianza na Tanzania..!??

Yaaani
Shithole countries ni Ldc countries pamoja na El Salvador na Haiti
 
Back
Top Bottom