kanali mstaafu
JF-Expert Member
- May 17, 2015
- 4,318
- 4,105
Ndo maana wanakuja huku kufundisha chekechea na shule za msingi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ninajua ninchoongea na ninachomaanisha. Pengine wewe unataka kupotosha ukweli kwa data za kutengeneza!Purchasing what? Unaongelea kuhusus PPP?
Uwe unafanya utafiti kwanza siyo kuweka vitu kwa mihemko:
View attachment 695709
Am a Tanzanian living in Kenya (Nairobi). Am employed by a Government institution on permanent basis. I also do businesses which give me good money. Posts za chuki na propaganda kama hizi ndizo hufanya wakenya watudharau watanzania, na ndizo hufunga baraka toka kwa Mungu. Kenya haina resources ambazo ziko Tz lakini Mungu amebariki wakenya sana sana kwa kuwa wamekaribisha wageni na wanawathamini sana. Muweka hii post Ni mmoja Wa maelfu ya watanzania wanaoichukia Kenya na wakenya. Na hiyo chuki inaleta laana juu ya nchi. Ebu watanzania tubadilike. Posts kama hizi zinatia aibu sana.1. Mboga yao kuu ni sukuma wiki. Bei ya nyama kwao ni zaidi ya Tshs 12000 kwa kg. Hivyo hawamudu kununua. Wanaishia kula majani.
2. Mtu wa kawaida hana uwezo wa kumiliki ardhi yenye ukubwa wa kuanzia ekari 2. Ardhi yote ya kenya inashikiliwa na matajiri wakubwa ambao huwapa watu wailime huku wakiwapa masharti magumu ya kuwauzia mazao watakayovuna.
Wanaongoza kwa kutumikishwa nchi mwao. Vijana haqana uwezo wa hata kununua pikipiki kwa ajili ya kujiajiri. Bodaboda zote mnazoziona Nairobi na za makampuni. Wamewaajiri vijana kwa ujira wa kinyonyaji. Nyingi zimefungwa car track.
Viwanda vyao vinaongoza kufunga packege za ajabu. Utakuta kuna Chai ya gm 10! Blue band gm 15 hii ni kuwasaidia waKenya masikini waweze kumudu mahitaji. Tofauti na hapa Tanzania huwezi kuta hizo package. Mafuta ya kula ni kuanzia lt 1,3 na 5.
Hawamudu kulipa kodi ya nyumba kwa miezi kuanzia mi3 hadi sita wao wanalipa kila mwezi. Tena kwa taaabu. Vijijini sehemu kusikokuwa na Umeme(stima) wamefungiwa vi solar power ambavyo ni mali ya makampuni ya kinyonyaji na wanamtoza mtu gharama kubwa kwa matumizi ya jua.
Kwa kifupi kenya haina watu wa kipato cha kati. Kuna matajiri wakubwa ambao wameshikilia uchumi, Ardhi na Mustakabali wa Kenya. Na kuna wakenya maskini ambao ni rasilimali kwa ajili ya matajiri wa kenya.
Povu ruksa
Kwanini wewe usilete hizo data za kuhusu PPP?Ninajua ninchoongea na ninachomaanisha. Pengine wewe unataka kupotosha ukweli kwa data za kutengeneza!
2,144.5
It's like some post of the topics to feel better about themselves... Kenya loses nothing when someone hates us...Honestly Kenyans, Everything is not ment to be replied.. We shouldn't look too desparate to defend what we have.. Kama wanaona sisi ni shithole let them be, how many threads will they open with thesame agenda... I fill like we are going down to their level.
Exactly my point, we gat nothing to loose.. Let them beIt's like some post of the topics to feel better about themselves... Kenya loses nothing when someone hates us...
Shukran kwa kusema ya kweli madam, ila usijisumbue kuamsha waliolala! We chapa kazi, tengeneza hela. Wanaokariri waache tu kwenye starehe zao, za kukalia mikia katikati ya lami.Am a Tanzanian living in Kenya (Nairobi). Am employed by a Government institution on permanent basis. I also do businesses which give me good money. Posts za chuki na propaganda kama hizi ndizo hufanya wakenya watudharau watanzania, na ndizo hufunga baraka toka kwa Mungu. Kenya haina resources ambazo ziko Tz lakini Mungu amebariki wakenya sana sana kwa kuwa wamekaribisha wageni na wanawathamini sana. Muweka hii post Ni mmoja Wa maelfu ya watanzania
Vipi wanakuwa na njaa, ukosefu wa ajira, wanakosa maji kwa wananchi hasa mijini, wana slums kubwa duniani, huo uchumi mkubwa na mishahara mikubwa inaenda wapi?Acha kudanganya watu kwa propaganda za kishamba na chuki kwa Nchi jirani!
Mpende jirani yako,wala usimnenee mabaya!
Hatuwezi kuendelea kwa kujifariji kwa takwimu za uongo! Ukweli ni kwamba uchumi wa Kenya ni mkubwa. Makusanyo yao ya kodi ni mara mbili ya Tanzania.Mishahara ya watumishi ni mara mbili yaTanzania. Uwezo wa kununua(purchasing power) wa wakenya ni mkubwa kuliko wa kwetu ndio maana hata biashara ya supermarket Kenya inashamiri wakati hapa kwetu ni pasua kichwa!
Ninahisi laana imeanzia kwako na itabakia kwakoMtanzania anamkashfu Mkenya kwakua na maisha mabaya. Kweli tumelaaniwa.
Huu ni mtazamo wako tunauheshimu, lakini haina maana kwamba watu wote wana mitazamo kama wewe, kwahiyo tunakuomba na wewe ujaribu kuheshimu mitazamo ya watu wengine, wakenya wanawadharau watu kama ninyi au hamjitambui ki fikra, vipi unasema wakenya wanawakaribisha na kuwathamini wageni wakati wao wenyewe kwa wenyewe wanabaguana na kudharauliana?, hata sisi tuliwahi kuishi na kufanya kazi Kenya, wakenya ni watu wabaguzi sana kushinda makaburu wa South Africa.Am a Tanzanian living in Kenya (Nairobi). Am employed by a Government institution on permanent basis. I also do businesses which give me good money. Posts za chuki na propaganda kama hizi ndizo hufanya wakenya watudharau watanzania, na ndizo hufunga baraka toka kwa Mungu. Kenya haina resources ambazo ziko Tz lakini Mungu amebariki wakenya sana sana kwa kuwa wamekaribisha wageni na wanawathamini sana. Muweka hii post Ni mmoja Wa maelfu ya watanzania wanaoichukia Kenya na wakenya. Na hiyo chuki inaleta laana juu ya nchi. Ebu watanzania tubadilike. Posts kama hizi zinatia aibu sana.
keep that spirit.. ila usiwaseme wa Tz wote na kuleta mambo ya kishirikina kusema tz imelaaniwa kisa kuchukia Kenya! Halafu wewe siyo wa kwanza kuishi na wakenya, kwa uzoefu wangu wakenya wana penda mtu kimaslahi, upendo walio nao haufikii ata robo ya upendo wa watanzania. Mimi nime kaa na watu wa nchi zote zinazo zunguka Tz hamna sehemu utakutana na ukarimu utakao ukuta Tz.Am a Tanzanian living in Kenya (Nairobi). Am employed by a Government institution on permanent basis. I also do businesses which give me good money. Posts za chuki na propaganda kama hizi ndizo hufanya wakenya watudharau watanzania, na ndizo hufunga baraka toka kwa Mungu. Kenya haina resources ambazo ziko Tz lakini Mungu amebariki wakenya sana sana kwa kuwa wamekaribisha wageni na wanawathamini sana. Muweka hii post Ni mmoja Wa maelfu ya watanzania wanaoichukia Kenya na wakenya. Na hiyo chuki inaleta laana juu ya nchi. Ebu watanzania tubadilike. Posts kama hizi zinatia aibu sana.
Wewe uliishi Kenya wapi? Mwaka upi na kwa muda upi? Hapa tutajua kama unasema ukweli au ni propaganda zilizoganda Uganda.Huu ni mtazamo wako tunauheshimu, lakini haina maana kwamba watu wote wana mitazamo kama wewe, kwahiyo tunakuomba na wewe ujaribu kuheshimu mitazamo ya watu wengine, wakenya wanawadharau watu kama ninyi au hamjitambui ki fikra, vipi unasema wakenya wanawakaribisha na kuwathamini wageni wakati wao wenyewe kwa wenyewe wanabaguana na kudharauliana?, hata sisi tuliwahi kuishi na kufanya kazi Kenya, wakenya ni watu wabaguzi sana kushinda makaburu wa South Africa.
Wasomali,Wahindi na Wazungu ndio matajiri na ndio wanaowatumikisha Wakenya wengi maskini
Matajjri wa Tz
1 Mo.
2 Rostam.
3 Bakhresa.
.
.
.