Kenya ina uchumi imara kuliko Tanzania. Ila waKenya ni maskini wa kutupwa.

Kenya ina uchumi imara kuliko Tanzania. Ila waKenya ni maskini wa kutupwa.

1. Mboga yao kuu ni sukuma wiki. Bei ya nyama kwao ni zaidi ya Tshs 12000 kwa kg. Hivyo hawamudu kununua. Wanaishia kula majani.

2. Mtu wa kawaida hana uwezo wa kumiliki ardhi yenye ukubwa wa kuanzia ekari 2. Ardhi yote ya kenya inashikiliwa na matajiri wakubwa ambao huwapa watu wailime huku wakiwapa masharti magumu ya kuwauzia mazao watakayovuna.

Wanaongoza kwa kutumikishwa nchi mwao. Vijana haqana uwezo wa hata kununua pikipiki kwa ajili ya kujiajiri. Bodaboda zote mnazoziona Nairobi na za makampuni. Wamewaajiri vijana kwa ujira wa kinyonyaji. Nyingi zimefungwa car track.

Viwanda vyao vinaongoza kufunga packege za ajabu. Utakuta kuna Chai ya gm 10! Blue band gm 15 hii ni kuwasaidia waKenya masikini waweze kumudu mahitaji. Tofauti na hapa Tanzania huwezi kuta hizo package. Mafuta ya kula ni kuanzia lt 1,3 na 5.

Hawamudu kulipa kodi ya nyumba kwa miezi kuanzia mi3 hadi sita wao wanalipa kila mwezi. Tena kwa taaabu. Vijijini sehemu kusikokuwa na Umeme(stima) wamefungiwa vi solar power ambavyo ni mali ya makampuni ya kinyonyaji na wanamtoza mtu gharama kubwa kwa matumizi ya jua.

Kwa kifupi kenya haina watu wa kipato cha kati. Kuna matajiri wakubwa ambao wameshikilia uchumi, Ardhi na Mustakabali wa Kenya. Na kuna wakenya maskini ambao ni rasilimali kwa ajili ya matajiri wa kenya.

Povu ruksa
Am a Tanzanian living in Kenya (Nairobi). Am employed by a Government institution on permanent basis. I also do businesses which give me good money. Posts za chuki na propaganda kama hizi ndizo hufanya wakenya watudharau watanzania, na ndizo hufunga baraka toka kwa Mungu. Kenya haina resources ambazo ziko Tz lakini Mungu amebariki wakenya sana sana kwa kuwa wamekaribisha wageni na wanawathamini sana. Muweka hii post Ni mmoja Wa maelfu ya watanzania wanaoichukia Kenya na wakenya. Na hiyo chuki inaleta laana juu ya nchi. Ebu watanzania tubadilike. Posts kama hizi zinatia aibu sana.
 
Honestly Kenyans, Everything is not ment to be replied.. We shouldn't look too desparate to defend what we have.. Kama wanaona sisi ni shithole let them be, how many threads will they open with thesame agenda... I fill like we are going down to their level.
It's like some post of the topics to feel better about themselves... Kenya loses nothing when someone hates us...
 
Am a Tanzanian living in Kenya (Nairobi). Am employed by a Government institution on permanent basis. I also do businesses which give me good money. Posts za chuki na propaganda kama hizi ndizo hufanya wakenya watudharau watanzania, na ndizo hufunga baraka toka kwa Mungu. Kenya haina resources ambazo ziko Tz lakini Mungu amebariki wakenya sana sana kwa kuwa wamekaribisha wageni na wanawathamini sana. Muweka hii post Ni mmoja Wa maelfu ya watanzania
Shukran kwa kusema ya kweli madam, ila usijisumbue kuamsha waliolala! We chapa kazi, tengeneza hela. Wanaokariri waache tu kwenye starehe zao, za kukalia mikia katikati ya lami.
 
Acha kudanganya watu kwa propaganda za kishamba na chuki kwa Nchi jirani!
Mpende jirani yako,wala usimnenee mabaya!
Hatuwezi kuendelea kwa kujifariji kwa takwimu za uongo! Ukweli ni kwamba uchumi wa Kenya ni mkubwa. Makusanyo yao ya kodi ni mara mbili ya Tanzania.Mishahara ya watumishi ni mara mbili yaTanzania. Uwezo wa kununua(purchasing power) wa wakenya ni mkubwa kuliko wa kwetu ndio maana hata biashara ya supermarket Kenya inashamiri wakati hapa kwetu ni pasua kichwa!
Vipi wanakuwa na njaa, ukosefu wa ajira, wanakosa maji kwa wananchi hasa mijini, wana slums kubwa duniani, huo uchumi mkubwa na mishahara mikubwa inaenda wapi?
 
Am a Tanzanian living in Kenya (Nairobi). Am employed by a Government institution on permanent basis. I also do businesses which give me good money. Posts za chuki na propaganda kama hizi ndizo hufanya wakenya watudharau watanzania, na ndizo hufunga baraka toka kwa Mungu. Kenya haina resources ambazo ziko Tz lakini Mungu amebariki wakenya sana sana kwa kuwa wamekaribisha wageni na wanawathamini sana. Muweka hii post Ni mmoja Wa maelfu ya watanzania wanaoichukia Kenya na wakenya. Na hiyo chuki inaleta laana juu ya nchi. Ebu watanzania tubadilike. Posts kama hizi zinatia aibu sana.
Huu ni mtazamo wako tunauheshimu, lakini haina maana kwamba watu wote wana mitazamo kama wewe, kwahiyo tunakuomba na wewe ujaribu kuheshimu mitazamo ya watu wengine, wakenya wanawadharau watu kama ninyi au hamjitambui ki fikra, vipi unasema wakenya wanawakaribisha na kuwathamini wageni wakati wao wenyewe kwa wenyewe wanabaguana na kudharauliana?, hata sisi tuliwahi kuishi na kufanya kazi Kenya, wakenya ni watu wabaguzi sana kushinda makaburu wa South Africa.
 
Am a Tanzanian living in Kenya (Nairobi). Am employed by a Government institution on permanent basis. I also do businesses which give me good money. Posts za chuki na propaganda kama hizi ndizo hufanya wakenya watudharau watanzania, na ndizo hufunga baraka toka kwa Mungu. Kenya haina resources ambazo ziko Tz lakini Mungu amebariki wakenya sana sana kwa kuwa wamekaribisha wageni na wanawathamini sana. Muweka hii post Ni mmoja Wa maelfu ya watanzania wanaoichukia Kenya na wakenya. Na hiyo chuki inaleta laana juu ya nchi. Ebu watanzania tubadilike. Posts kama hizi zinatia aibu sana.
keep that spirit.. ila usiwaseme wa Tz wote na kuleta mambo ya kishirikina kusema tz imelaaniwa kisa kuchukia Kenya! Halafu wewe siyo wa kwanza kuishi na wakenya, kwa uzoefu wangu wakenya wana penda mtu kimaslahi, upendo walio nao haufikii ata robo ya upendo wa watanzania. Mimi nime kaa na watu wa nchi zote zinazo zunguka Tz hamna sehemu utakutana na ukarimu utakao ukuta Tz.
Ata wakenya wanao ishi Dar wana lithibitisha hilo.
 
Huu ni mtazamo wako tunauheshimu, lakini haina maana kwamba watu wote wana mitazamo kama wewe, kwahiyo tunakuomba na wewe ujaribu kuheshimu mitazamo ya watu wengine, wakenya wanawadharau watu kama ninyi au hamjitambui ki fikra, vipi unasema wakenya wanawakaribisha na kuwathamini wageni wakati wao wenyewe kwa wenyewe wanabaguana na kudharauliana?, hata sisi tuliwahi kuishi na kufanya kazi Kenya, wakenya ni watu wabaguzi sana kushinda makaburu wa South Africa.
Wewe uliishi Kenya wapi? Mwaka upi na kwa muda upi? Hapa tutajua kama unasema ukweli au ni propaganda zilizoganda Uganda.
 
Matajjri wa Tz
1 Mo.
2 Rostam.
3 Bakhresa.
.
.
.

Kampuni kubwa Tanzania

1. Azam - ya Mhindi

2. Tanzania Breweries - ya Mjapani

3. Tanga cement - Mzungu

etc

Saa zingine mimi hucheka sana nikiona Mtanzania akiponda uchumi wa Kenya eti umeshikiliwa na Mhindi na Mzungu. lol
 
Acheni kubadili mada. Heading inasema KENYA INA UCHUMI IMARA ILA WAKENYA NI MASIKINI. Hayo ma GPD ni ya kisomi au niseme ni kiuchumi zaidi. Ila hali halisi kwa mkenya wa kawaida hali yake ni ngumu sana. Sababu hiyo GPD ni makusanyo ya kodi then unayagawanya kwa idadi ya wananchi. Sasa kama walipa kodi wakubwa ni wale matajiri nini kinabadilika hapo?

Mnalalamika tunawasema vibaya. Nilichoandika hapo mwanzo kwenye hii thread ni ukweli ulio wazi. Ni nchi gani inaongoza kufunga package za ajabu kamac Kenya!

Mashifta hapo kenya ni watu wa aina gani?
 
Back
Top Bottom