Tz boy 4tino
JF-Expert Member
- Sep 14, 2014
- 1,598
- 1,822
Njoo na hoja sio mipashoNdege atachagua atuwe kwenye mti gani watu hatufanani ndani nje nje ndani akili kichwani kufunzwa nyumbani usijaji kitabu kama hujakisoma ndani piga na kupakua majungu weka mezani
Sawa vipi kuhusu fursa za ajira na mishahara yao haiwakidhi kujimudu kwa mwezi?Kuna uongo wowote nimesema hapo?
Yah it's time we start ignoring such topicsHonestly Kenyans, Everything is not ment to be replied.. We shouldn't look too desparate to defend what we have.. Kama wanaona sisi ni shithole let them be, how many threads will they open with thesame agenda... I fill like we are going down to their level.
Nyuzi kama hizi ni bora kuwapa fursa yao ya kuchapia pumba zao. Mwishowe labda watagutuka wenyewe, na wasipo pia, hayatuhusu itakuwa imekula kwao tu!Yah it's time we start ignoring such topics
This is exactly a defeated person would do to accept defeat[emoji1] [emoji1] [emoji1]Good idea. No need for us to engage with some of these discombobulated nincompoops
1. Mboga yao kuu ni sukuma wiki. Bei ya nyama kwao ni zaidi ya Tshs 12000 kwa kg. Hivyo hawamudu kununua. Wanaishia kula majani.
2. Mtu wa kawaida hana uwezo wa kumiliki ardhi yenye ukubwa wa kuanzia ekari 2. Ardhi yote ya kenya inashikiliwa na matajiri wakubwa ambao huwapa watu wailime huku wakiwapa masharti magumu ya kuwauzia mazao watakayovuna.
Wanaongoza kwa kutumikishwa nchi mwao. Vijana haqana uwezo wa hata kununua pikipiki kwa ajili ya kujiajiri. Bodaboda zote mnazoziona Nairobi na za makampuni. Wamewaajiri vijana kwa ujira wa kinyonyaji. Nyingi zimefungwa car track.
Viwanda vyao vinaongoza kufunga packege za ajabu. Utakuta kuna Chai ya gm 10! Blue band gm 15 hii ni kuwasaidia waKenya masikini waweze kumudu mahitaji. Tofauti na hapa Tanzania huwezi kuta hizo package. Mafuta ya kula ni kuanzia lt 1,3 na 5.
Hawamudu kulipa kodi ya nyumba kwa miezi kuanzia mi3 hadi sita wao wanalipa kila mwezi. Tena kwa taaabu. Vijijini sehemu kusikokuwa na Umeme(stima) wamefungiwa vi solar power ambavyo ni mali ya makampuni ya kinyonyaji na wanamtoza mtu gharama kubwa kwa matumizi ya jua.
Kwa kifupi kenya haina watu wa kipato cha kati. Kuna matajiri wakubwa ambao wameshikilia uchumi, Ardhi na Mustakabali wa Kenya. Na kuna wakenya maskini ambao ni rasilimali kwa ajili ya matajiri wa kenya.
Povu ruksa
Kuna watanzania wana chemistry watakuja kwa ajil yako1. Mboga yao kuu ni sukuma wiki. Bei ya nyama kwao ni zaidi ya Tshs 12000 kwa kg. Hivyo hawamudu kununua. Wanaishia kula majani.
2. Mtu wa kawaida hana uwezo wa kumiliki ardhi yenye ukubwa wa kuanzia ekari 2. Ardhi yote ya kenya inashikiliwa na matajiri wakubwa ambao huwapa watu wailime huku wakiwapa masharti magumu ya kuwauzia mazao watakayovuna.
Wanaongoza kwa kutumikishwa nchi mwao. Vijana haqana uwezo wa hata kununua pikipiki kwa ajili ya kujiajiri. Bodaboda zote mnazoziona Nairobi na za makampuni. Wamewaajiri vijana kwa ujira wa kinyonyaji. Nyingi zimefungwa car track.
Viwanda vyao vinaongoza kufunga packege za ajabu. Utakuta kuna Chai ya gm 10! Blue band gm 15 hii ni kuwasaidia waKenya masikini waweze kumudu mahitaji. Tofauti na hapa Tanzania huwezi kuta hizo package. Mafuta ya kula ni kuanzia lt 1,3 na 5.
Hawamudu kulipa kodi ya nyumba kwa miezi kuanzia mi3 hadi sita wao wanalipa kila mwezi. Tena kwa taaabu. Vijijini sehemu kusikokuwa na Umeme(stima) wamefungiwa vi solar power ambavyo ni mali ya makampuni ya kinyonyaji na wanamtoza mtu gharama kubwa kwa matumizi ya jua.
Kwa kifupi kenya haina watu wa kipato cha kati. Kuna matajiri wakubwa ambao wameshikilia uchumi, Ardhi na Mustakabali wa Kenya. Na kuna wakenya maskini ambao ni rasilimali kwa ajili ya matajiri wa kenya.
Povu ruksa
Mara ngapi wanasema wanaacha kuja. Tukianza kuwapiga tu wanaanza kulia lia.This is exactly a defeated person would do to accept defeat[emoji1] [emoji1] [emoji1]
Unaweza kukakamaa mishipa kutetea hali za watz kama ulivyofanya kwa wakenya.Mimi nina rafiki zangu Wakenya wanaishi Nairobi wana maisha mazuri tu ila sio matajiri kwa hiyo unaposema Kenya haina watu wakipato cha kati sikuelewi.
Hizi hapa bei za KenyaMwingine hapo ameleta 'ushahidi' kutoka vijiweni huko huko Tz, eti soda Kenya ni shilingi hamsini!??? Ate waat! Afu bila aibu akamalizia na, hiyo ni elfu moja ya Tz! πππππ Kweli, hoja kama hizi ukijibu utakuwa umejishushia hadhi kabisa kama Mkenya. Big up! Kwa wakenya wote ambao wamo humu JF! You guys are very brilliant!
hizo ni take-away.
Take away Tsh 800 rafiki na ikizidi sana ni 1000 hakuna zaidi ya hapo.hizo ni take-away.
sasa leta za tanzania pia in comparison
Achana naye ajiliwaze, wakati Kenya, soda glass bottle R.R.P. ni Kshs 25, 40, na 65 kwa 250ml, 500ml, na 1Litre respectively! Acha ang'ang'ane na za soda wakati vifaranga vya kuku kutoka Kenya, wanavi'smuggle' kuingia Tz utadhani ni heroin kwenye ndege! Bure kabisa! πhizo ni take-away.
sasa leta za tanzania pia in comparison
Hatutaki uchafu na mafua ya ndege TZ. Tunajari afya za watu wetu kwanza. Hata milungi kwenu mnakula kama kawa lakini kwa TZ hayo ni madawa ya kulevya.Achana naye ajiliwaze, wakati Kenya, soda glass bottle R.R.P. ni Kshs 25, 40, na 65 kwa 250ml, 500ml, na 1Litre respectively! Acha ang'ang'ane na za soda wakati vifaranga vya kuku kutoka Kenya, wanavi'smuggle' kuingia Tz utadhani ni heroin kwenye ndege! Bure kabisa! π
Acha kudanganya watu kwa propaganda za kishamba na chuki kwa Nchi jirani!1. Mboga yao kuu ni sukuma wiki. Bei ya nyama kwao ni zaidi ya Tshs 12000 kwa kg. Hivyo hawamudu kununua. Wanaishia kula majani.
2. Mtu wa kawaida hana uwezo wa kumiliki ardhi yenye ukubwa wa kuanzia ekari 2. Ardhi yote ya kenya inashikiliwa na matajiri wakubwa ambao huwapa watu wailime huku wakiwapa masharti magumu ya kuwauzia mazao watakayovuna.
Wanaongoza kwa kutumikishwa nchi mwao. Vijana haqana uwezo wa hata kununua pikipiki kwa ajili ya kujiajiri. Bodaboda zote mnazoziona Nairobi na za makampuni. Wamewaajiri vijana kwa ujira wa kinyonyaji. Nyingi zimefungwa car track.
Viwanda vyao vinaongoza kufunga packege za ajabu. Utakuta kuna Chai ya gm 10! Blue band gm 15 hii ni kuwasaidia waKenya masikini waweze kumudu mahitaji. Tofauti na hapa Tanzania huwezi kuta hizo package. Mafuta ya kula ni kuanzia lt 1,3 na 5.
Hawamudu kulipa kodi ya nyumba kwa miezi kuanzia mi3 hadi sita wao wanalipa kila mwezi. Tena kwa taaabu. Vijijini sehemu kusikokuwa na Umeme(stima) wamefungiwa vi solar power ambavyo ni mali ya makampuni ya kinyonyaji na wanamtoza mtu gharama kubwa kwa matumizi ya jua.
Kwa kifupi kenya haina watu wa kipato cha kati. Kuna matajiri wakubwa ambao wameshikilia uchumi, Ardhi na Mustakabali wa Kenya. Na kuna wakenya maskini ambao ni rasilimali kwa ajili ya matajiri wa kenya.
Povu ruksa
Purchasing what? Unaongelea kuhusus PPP?Acha kudanganya watu kwa propaganda za kishamba na chuki kwa Nchi jirani!
Mpende jirani yako,wala usimnenee mabaya!
Hatuwezi kuendelea kwa kujifariji kwa takwimu za uongo! Ukweli ni kwamba uchumi wa Kenya ni mkubwa. Makusanyo yao ya kodi ni mara mbili ya Tanzania.Mishahara ya watumishi ni mara mbili yaTanzania. Uwezo wa kununua(purchasing power) wa wakenya ni mkubwa kuliko wa kwetu ndio maana hata biashara ya supermarket Kenya inashamiri wakati hapa kwetu ni pasua kichwa!