Kenya ipo kwenye hatua za mwisho za mazungumzo ya kufungua soko lote la USA kwa bidhaa za Wakenya

Ila kwa Wachina mlishindwa nipe ni kupe,je kwa US mtaweza?

Yaani mnazidi kujipalilia makaa,endeleeni kujikaanga kwa mafuta yenu wenyewe kama nguruwe,hamjifunzi kama manyumbu.
Tulishindwa vipi[emoji23][emoji23]wivu jamani, we unafikiria vile vitu mchina anajenga kweli tz mtafikia
 

Hayo yasikupe tabu ni yale yale huwa mnakaririshwa ila Wachina tunaenda nao vizuri sana, yaani kwa kweli sijui tungekua wapi isingekua kwa Mchina, tunafanya nao miradi mikubwa kwenye nchi hii. Uchumi wa Kenya unaelekea kuwa mara mbili ya wa Tanzania, hii ni kwa ajili ya kujua namna ya kucheza hii michezo kiunyang'au.
 
Which allies? Kenyans export products to the US,Europe, Asia, Middle east n Africa..

Can your rich allies translate into a market 1st. To be honest TZ tries too much to do dick contests with Kenya.
Rich allies ( SADAC) which Tz will make a joint multilateral deal with usa
 
You're thick in the head umeambiwa mara kadhaa USA haitafanya trade deals na blocs ila umeshikilia pale pale....hamna cha kubebwa it's upto you
Haya msemaji wa 'white house ukiripoti kutoka apo mathare 🤣🤣🤣 nyuma ya kichuguu near flyng toilet 🤣🤣
tumekusikia
 
You're thick in the head umeambiwa mara kadhaa USA haitafanya trade deals na blocs ila umeshikilia pale pale....hamna cha kubebwa it's upto you
Why are you so bitter? Go make your solo deal with Trump so that he rapes you with tarrifs given your mediocre GDP compared to USA.Tanzania has no trade deal with USA except the multilateral AGOA deal..And multilateral deal is the only option acceptable for Tanzania and like minded SADAC block
 
Haya msemaji wa 'white house ukiripoti kutoka apo mathare [emoji1787][emoji1787][emoji1787] nyuma ya kichuguu near flyng toilet [emoji1787][emoji1787]
tumekusikia
Atleast siendi kwenye nchi za wengine kuombaomba barabarani
 
I think members of EAC will have to evaluate this trade agreement and see if it is compatible with EAC’s trade agreement? Kenya should not be allowed to selfishly use EAC community for their own good...
 
mmarekani uwa hanaga jema kwa mtu mweusi, wacha tuone lijalo
 

AGOA trade deal has been renewed two times before. under trump administration I don't think the deal will be renewed again.
 
[emoji3][emoji3]kwahiyo mtakua mnawauzia maua halafu mnarudi Tena kwao kuomba wawape msaada wa mchele unga wa mahindi na sukari

Kwahiyo Kenya mnaeweza kulima maua nchi mzima lakini hamuwezi kulima mazao ya chakula [emoji3][emoji3]
Kwani ardhi ya kulimia wanayo,ardhi yote inamilikiwa na mabwanyenye tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…