Kenya is the only African country in the top 10 producers of Avocados

Kenya is the only African country in the top 10 producers of Avocados

joto la jiwe : inajulikana wewe ni mpizani wa kweli wa Kenya lakini jamaa ana hoja nzuri. Changamoto ya vibali bado ipo tena sana. Kama na wewe ni msafirishaji wa mazao basi lazima kupata vibali haikua kazi rahisi. Ni kweli kwa sasa tunaongoza kuuza mazao nje ya nchi lakini ingeweza kua zaidi ya sasa kama vibali vingekua vinapatikana kiurahisi.
Unadhani hata huko Kenya hakuna changamoto?, Nitajie nchi yoyote Ile ambayo ukitaka kusafirisha bidhaa nje ya nchi unaenda kupata kibali bila kupitia taratbu za nchi husika.

Hivi Sasa ninakuhakikishia, katika kupata vibali vya kusafirisha mazao ya kilimo nje ya nchi, utaratibu umerahisishwa Sana tena Sana, matatizo utakayokumbana nayo ni matatizo ya watumishi, Kama uzembe, ucheleweshwaji na Rushwa ndogo ndogo, ila ukisimama kidete, unahudiwa haraka Sana, na matatizo hayo utakutana nayo popote pale serikalini, sio ktk vibali pekee
 
hii nchi ina mambo ya hovyo sana. tumeshikilia kushabikia siasa tu lakini mambo yanayoleta uhai wa taifa yanapuuzwa kabisa.
Ni kweli Mkuu, Serikali hii imefanya mambo kuwa Magumu zaidi hasa kwa Watu wengi ambao tunajaribu kuishi nje ya mfumo rasmi!

Kwa sisi watu wa kutoka nje ndani, tunakutana na deals kibao, unajiukiza nikianza kushughurikia hili mpaka nije nipate Documents siku zimeenda!

Ama unaachana nayo ama unapita njia za Panya!
Na Serikali inakosa mapato.
 
Unasafirisha Gallstones? How hebu nieleze maana Gallstone ninayojua mimi inatengenezwa kwa gallbladder! hebu nieleze hata mimi sijui ni nini! Unatumbua watu nn? Unafanya biashara ya human organs nn?
Kwani Gallstones ipo kwa Binadamu tu Mkuu!!?
 
sasa tueleze! Labda ulinyimwa kibali kwa vile hukujieleza vizuri wizarani!
Sikujieleza ki vipi, nimeona na sample ya mzigo wangu, nimewaambia nataka kutuma nje, so kama kuna Vibari natakiwa ku apply naomba kupata maelekezo! Wakaanza kuniambia mambo yasio na kichwa wala Miguu!

Sasa unaweza kujifunza kitu kimoja kwa Fedex, mwanzo walinambia niende Wizara ya Mifugo kupata Documents yoyote, nilivyorudi kuwaelezea kilichotokea huko, wakanipa pole, Wakasema Mambo ndo yalivyo Serikalini, bado wakawa wanajaribu kutafuta ufumbuzi wa Tatizo langu, wakanishauri niende kwa Mkemia, wakasema hatanikipata Documents toka kwa Mkemia, watanisafirishia Mzigo wangu!

Na kwenyewe ikwa yale yale, nikarudi kwao wakanishauri, vile deal nayofanya ina mpunga mzuri kwa nini nisiende Kenya kutuma Mzigo, Kenya hawana Utumbo utumbo huu kwa Mambo mengi hasa Raia wao anapotafuta Ugali kwa pesa toka nje!

Ikabidi nianze kwenda Nairobi kutuma Mizigo yangu, namchukua Mkenya tunaenda nae Fedex ama DHL, nalipia kodi kidogo, mzigo unatumwa!

Mpaka baadaye nilipopewa Mchongo kuwa nenda Mkoa fulani hapa hapa Bongo, watakusafirishia mzigo wako bila Documents zozote!
Mpaka sasa nikitaka kutuma Mzigo inabidi niende Mkoani!
 
Sikujieleza ki vipi, nimeona na sample ya mzigo wangu, nimewaambia nataka kutuma nje, so kama kuna Vibari natakiwa ku apply naomba kupata maelekezo! Wakaanza kuniambia mambo yasio na kichwa wala Miguu!

Sasa unaweza kujifunza kitu kimoja kwa Fedex, mwanzo walinambia niende Wizara ya Mifugo kupata Documents yoyote, nilivyorudi kuwaelezea kilichotokea huko, wakanipa pole, Wakasema Mambo ndo yalivyo Serikalini, bado wakawa wanajaribu kutafuta ufumbuzi wa Tatizo langu, wakanishauri niende kwa Mkemia, wakasema hatanikipata Documents toka kwa Mkemia, watanisafirishia Mzigo wangu!

Na kwenyewe ikwa yale yale, nikarudi kwao wakanishauri, vile deal nayofanya ina mpunga mzuri kwa nini nisiende Kenya kutuma Mzigo, Kenya hawana Utumbo utumbo huu kwa Mambo mengi hasa Raia wao anapotafuta Ugali kwa pesa toka nje!

Ikabidi nianze kwenda Nairobi kutuma Mizigo yangu, namchukua Mkenya tunaenda nae Fedex ama DHL, nalipia kodi kidogo, mzigo unatumwa!

Mpaka baadaye nilipopewa Mchongo kuwa nenda Mkoa fulani hapa hapa Bongo, watakusafirishia mzigo wako bila Documents zozote!
Mpaka sasa nikitaka kutuma Mzigo inabidi niende Mkoani!
Sema unachanganya madesa Gallstones zinatoka mwilini mwa binadamu. Aidha unachotuma hujui ni nini maana kwa spelling hiyo ni product ya gallbladder! Na kwahiyo sasa unajisifu kukwepa kodi?
 
Jirani jirani unaichukuia Tz sana….
Mvua zimeanza kunyesha Kenya..
Mnalima avacado wapi kwa ukame uliopo huko kwenu duh! Mbona mnasindwa kulima mahindi..
Avacado Mahindi Mbao yote ni mali ya Tanganyika hilo mnalitambua acheni uzwazwa…
Njaa inawauwa mko humu na kelele nyiiiingii
 
Jirani jirani unaichukuia Tz sana….
Mvua zimeanza kunyesha Kenya..
Mnalima avacado wapi kwa ukame uliopo huko kwenu duh! Mbona mnasindwa kulima mahindi..
Avacado Mahindi Mbao yote ni mali ya Tanganyika hilo mnalitambua acheni uzwazwa…
Njaa inawauwa mko humu na kelele nyiiiingii
Muranga
Nandi
Transnzoia
Kisii
Nyamira
Bomet
Narok
Nyandarua
Nyeri
Kirinyaga
Embu
Tharaka Nithi
Meru
Nakuru
Machakos,
Hakuna jangwa hapa.
Tembea dunia,
Wacha kuskiza story za nursery.
 
Jirani jirani unaichukuia Tz sana….
Mvua zimeanza kunyesha Kenya..
Mnalima avacado wapi kwa ukame uliopo huko kwenu duh! Mbona mnasindwa kulima mahindi..
Avacado Mahindi Mbao yote ni mali ya Tanganyika hilo mnalitambua acheni uzwazwa…
Njaa inawauwa mko humu na kelele nyiiiingii

Mama mbona povu....
 
Sema unachanganya madesa Gallstones zinatoka mwilini mwa binadamu. Aidha unachotuma hujui ni nini maana kwa spelling hiyo ni product ya gallbladder! Na kwahiyo sasa unajisifu kukwepa kodi?
Acha kujifanya unajua Vitu ambavyo hujui!
Hata Mbwa ana Gallstones!
 
Acha kujifanya unajua Vitu ambavyo hujui!
Hata Mbwa ana Gallstones!
Kwani mbwa si mammal? Bwege kweli! BTW nimeomba maelezo ya gallstones toka kwa mwenzio, hizo gallstones anapata wapi? anaweza kutueleza!
 
Kwani Gallstones ipo kwa Binadamu tu Mkuu!!?
Ulikuwa unafanya unethical business ndo maana wakakutolea nje! Hata huko Ukunyani wamepiga marufuku biashara ya kuua punda na ku-extract body parts! Sasa usijifanye kuikandia serikali kwa biashara yako haramu! Donkeys wako endangered right now! Big up serikali kukukatalia!
 
Kwani mbwa si mammal? Bwege kweli! BTW nimeomba maelezo ya gallstones toka kwa mwenzio, hizo gallstones anapata wapi? anaweza kutueleza!
Wewe mwanzo ulisema unajua Gallstones zipo kwa Watu, nikakwambia hazipatikani kwa Binadamu pekee, ukaendelea na hoja yako mfu!

Nikakwambia Hata Paka ana Gallstones, nikakwambia acha ujuaji kwa vitu usivyovijua.

Sasa hivi unabadirisha Gia unasema Mammals!
Kama toka mwanzo ungezungumzia Mammals, nisingekua na Muda wa kukujibu!

Nilikujibu baada ya wewe kusema unachojua Gallstones inapatikana kwenye Bladder ya Binadamu tu!

Sasa mimi sina Muda wa kubishana na Mtu mjinga ambaye anajifanya anajua kumbe Mshamba tu!
.
Next time unaweza hata ku google... Hizo mambo za kusema kuna Mtu umemuuliza ana deal na Gallstones, its up to you.

Just mind your own Business!
 
Ulikuwa unafanya unethical business ndo maana wakakutolea nje! Hata huko Ukunyani wamepiga marufuku biashara ya kuua punda na ku-extract body parts! Sasa usijifanye kuikandia serikali kwa biashara yako haramu! Donkeys wako endangered right now! Big up serikali kukukatalia!
Just mind your own Business Mkuu!
Huna unachojua!
 
Wewe mwanzo ulisema unajua Gallstones zipo kwa Watu, nikakwambia hazipatikani kwa Binadamu pekee, ukaendelea na hoja yako mfu!

Nikakwambia Hata Paka ana Gallstones, nikakwambia acha ujuaji kwa vitu usivyovijua.

Sasa hivi unabadirisha Gia unasema Mammals!
Kama toka mwanzo ungezungumzia Mammals, nisingekua na Muda wa kukujibu!

Nilikujibu baada ya wewe kusema unachojua Gallstones inapatikana kwenye Bladder ya Binadamu tu!

Sasa mimi sina Muda wa kubishana na Mtu mjinga ambaye anajifanya anajua kumbe Mshamba tu!
.
Next time unaweza hata ku google... Hizo mambo za kusema kuna Mtu umemuuliza ana deal na Gallstones, its up to you.

Just mind your own Business!
Kwahiyo nikisema Gallstones zinatoka Kwa watu na product ya galbladder huwezi kujiongeza na kuona uwekano wa wanyama wa kundi la mammals kuwa nazo? Fala kweli wewe wapi nimesema zinatoka binadamu tu?
 
Kwahiyo nikisema Gallstones zinatoka Kwa watu na product ya galbladder huwezi kujiongeza na kuona uwekano wa wanyama wa kundi la mammals kuwa nazo? Fala kweli wewe wapi nimesema zinatoka binadamu tu?
Nijiongeze nina shida gani, wewe Mpuuzi ndo ulitakiwa kujiongeza hata kugoogle, kuliko kubishana hapa vile wewe unajua tu Gallstones zinatoka kwa Binadamu pekee.
 
Wewe ni bwege na biashara zako uchwara! Sasa wacha kukandia serikali! Na biashara yako ya kuua ox cows na punda!
Wewe ndo huna Akili, na Biashara ambayo inafanyika na Watu wengi tu sasa, sio Biashara haramu kama unavyosema, ni ufinyu wa Ufahamu wako!

Na sasa unaingiza Habari za Punda kutafuta Kichaka!

Sio lazima ujue kila kitu, vitu vingine ukiwa hujui usijifanye mjuaji!
 
Nijiongeze nina shida gani, wewe Mpuuzi ndo ulitakiwa kujiongeza hata kugoogle, kuliko kubishana hapa vile wewe unajua tu Gallstones zinatoka kwa Binadamu pekee.
Ukininyesha nimesema kwa binadamu "tu"! Ila biashara yako ni ya kisenge kinoma!

Piga kelele mabwana zako Wakunya wame-ban biashara ya ku-export donkey products pia!



 
Back
Top Bottom