Kenya is the only African country in the top 10 producers of Avocados

Kenya is the only African country in the top 10 producers of Avocados

Unasafirisha Gallstones? How hebu nieleze maana Gallstone ninayojua mimi inatengenezwa kwa gallbladder! hebu nieleze hata mimi sijui ni nini! Unatumbua watu nn? Unafanya biashara ya human organs nn?
Hii Comments yako hapo umeisahau!
Unauliza kama natumbua Watu! Unauliza kama nafanya Biashara ya Human Organs!

Mbona hukuuliza kama nafanya Biashara ya Mammals Organs.

Means mpaka unaandika hii comments unachojua ni Gallstones zinapatikana kwa Binadamu tu!!!

Sasa kama wewe sio mshamba ni kitu gani!
I dont give a shit kwa watu wajinga wajinga.
 
Inashangaza sana kusema ukweli....
Avocados have in a recent past become one of Tanzania’s hottest exports with more farmers engaging in what has been christened as the green gold.

However, even with production hitting record levels Tanzania is yet to hit the top 10 global producers with much of the production being dominated by Southern and Central American countries.

According to latest report by World of Statistics, Kenya is the only African country in the top 10 producers of Avocados with 176,045 tones annual production.

The leading producer being Mexico with 1,889,354 tonnes, Dominican Republic with 601,349, Peru 455,394 , Colombia with 309,431 and Indonesia with 304,938 tonnes per annum
Others are Brazil with 195,492, USA 172,630, Chile 137,365 and China 122,942 in the 10th slot.

Tanzania Horticultural Association (TAHA) estimates that the country’s avocado exports reached 11,237 tonnes, or 510 containers worth $33 million in 2021.

This is 12.6 percent more compared to 2020 sales. According to the Tanzania Private Sector Foundation (TPSF), in 2018 Tanzania exported 7,551 tons with a total value of $8.5 million to Europe, Africa, and Asia.

TAHA projects that Tanzania will export 15,000 tonnes in 2023, thus generating $45 million in foreign currency.

Tanzania Avocado Production Avocado is a relatively new crop that Tanzania started exporting in 2009.

Commercial production/export of avocados is dominated by Rungwe Avocado Company Ltd and Africado Ltd, which is based in Siha District, Kilimanjaro region. The two companies jointly produce more than 5,000 tonnes per year.

The rest of the growers are smallholder farmers who own a couple to hundreds of avocado trees around their homesteads and in distant farms. Popular avocado varieties produced in Tanzania are Hass, Fuerte, Pinkerton, and, to some extent, Puebla.

Tanzania’s prominent avocado-producing areas are in the regions of Mbeya, Njombe, Songwe, and Iringa in the southwest, as well as in Kilimanjaro, Arusha, and Tanga in the northeast of the country, where coffee and tea are traditionally grown

Source: The Citizen
 
Hii Comments yako hapo umeisahau!
Unauliza kama natumbua Watu! Unauliza kama nafanya Biashara ya Human Organs!

Mbona hukuuliza kama nafanya Biashara ya Mammals Organs.

Means mpaka unaandika hii comments unachojua ni Gallstones zinapatikana kwa Binadamu tu!!!

Sasa kama wewe sio mshamba ni kitu gani!
I dont give a shit kwa watu wajinga wajinga.
Nimeomba maelezo na hamna mahali Nimesema binadamu tu! Nimeeleza nilicho-suspect! Ndo maana ulinyimwa kibali maana uelewa wako ni finyu! Hamna mahali nimesema binadamu tu! Kiufupi biashara yako ni ya kisenge kama ulikuwa una-export gallstones za punda! Umeshiriki kuwafanya punda kuwa-enlist kenye WHS ya endangered species!
 
Tujiuliza kama tunamaabara zenye viwango vya kupima bidhaa za kilimo Ili ziwe na zigezo vya kuuzika kwenye nchi za kimataifa,
 
Nimeomba maelezo na hamna mahali Nimesema binadamu tu! Nimeeleza nilicho-suspect! Ndo maana ulinyimwa kibali maana uelewa wako ni finyu! Hamna mahali nimesema binadamu tu! Kiufupi biashara yako ni ya kisenge kama ulikuwa una-export gallstones za punda! Umeshiriki kuwafanya punda kuwa-enlist kenye WHS ya endangered species!
Kwa taarifa yako Mpaka sasa na export, na sio Gallstones za Punda kama unavyofikiri!

Watu wana Export Mijusi ambayo ipo hai, unashangaa Gallstones za Mnyama!
Wewe si ni Punguani!
 
Wewe ni miongoni mwa watu wajinga Sana,
1)Tunasafirisha nje zaidi ya mazao 20, ya shambani, baharini na mifugo, kwanini iwe ni ovacado pekee ndiyo unatolea mfano?
2)Wakenya pia wanalima parachichi, tena kwa wingi, huku kwetu wanakuja kujazia mzigo wao.
3)Wakenya tangu zamani wamekua wakisafirisha mazao nchi za nje, hivyo wamekua na mtandao mzuri wa masoko huko nje, pia kwa kutumia mtandao wa usafiri wa ndege mkubwa kupitia JKIA, kwa muda mrefu ilikua ni rahisi kusafirisha mazao kutokea Nairobi kuliko Tanzania
4)Nenda angalia mipaka ya Namanga na Tunduma ona jinsi magari yanavyovuka mpaka kufanya biashara
5)Tanzania ndio tunaongoza kwa "Exports" in terms of value and volume of goods and services", iweje umeshikilia bidhaa Moja pekee ya parachichi, huo ni zaidi ya ujinga ulionao.

Wewe inaonekana hujui biashara yoyote ya nje ya nchi zaidi ya kupiga kelele. Kila siku waziri Bashe anatoa maelezo jinsi ya kupata vibali vya kuisafirisha mazao nje ya nchi, wewe husikili umekazania mambo ya kizamani na "negativity" za kijinga.
Mkuu unaongea pumba, sisi tunasafirisha raw product wakenya wanasafirisha finished product.
Yale yale ya Tanzanite ipo Tanzania kenya na south ndio wauzaji wakubwa.
 
Kwa taarifa yako Mpaka sasa na export, na sio Gallstones za Punda kama unavyofikiri!

Watu wana Export Mijusi ambayo ipo hai, unashangaa Gallstones za Mnyama!
Wewe si ni Punguani!
Biashara haramu!
 
Wacha mawazo ya kizamani mkuu, hivi Sasa Tanzania tunaongoza kuuza mazao Kenya, South Sudan, Rwanda, DRC, na nchi za kusini mwa Africa, hivi unadhani kwanini tunaongoza katika kuuza mazao nje ya nchi kwa wingi kuliko nchi yoyote Ile katika ukanda huu?.

Hivi unajua kwamba hivi Sasa Tanzania ndiyo kinara katika ku - export nyama, minofu ya samaki na mazao ya bustani katika ukanda wote wa East and Central Africa?, Vipi bado unadai eti Kuna vikwazo vya kuuza mazao kwasababu tu umesikia Kenya wananunua na ku-export mazao toka Tanzania?.

Kwa jinsi unavyozungumza, ni wazi kwamba hata ofisi za wizara za kilimo na vitengo husika vinavyohusika na uuzaji wa mazao nje ya nchi huvijui, wewe unasikia tu maneno ya mitaani. Amka mkuu watu wanatengeneza pesa nyingi katika biashara ya mazao nje ya nchi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].....so much fanatics here.....
 
joto la jiwe : inajulikana wewe ni mpizani wa kweli wa Kenya lakini jamaa ana hoja nzuri. Changamoto ya vibali bado ipo tena sana. Kama na wewe ni msafirishaji wa mazao basi lazima kupata vibali haikua kazi rahisi. Ni kweli kwa sasa tunaongoza kuuza mazao nje ya nchi lakini ingeweza kua zaidi ya sasa kama vibali vingekua vinapatikana kiurahisi.
Tunaongoza kwa sababu ni makampuni hayo hayo ya nje ndiyo yanafuata mzigo....wafanyabiashara wengi wako katika partnership au agents wa hayo makampuni, nimelima maharage machanga 'green beans' USA river kampuni ambayo ina finance project nzima na kununua mzigo ni kutoka Kenya....kuna dada anasafirisha Mbuzi kwenda Komoro hana hata vibali ila anatumia mgongo wa connection zake serikalini so almost huwa anafanya ki magendo mpaka pale nilipomshauri kuhusu vibali ili tuwe partners na kuongeza value ya mzigo.....all in all serikalini kuna 'byurokrasi' za kijinga sana ni mpaka uwe na u CCM ndiyo unaweza penya penya angalau, katika serious business practice na hutaki kuwa chawa chawa hivi lazima utafute watu wa nje muwe partners ndiyo ufanye biashara, kitu chengine no matter kelele za kina Bashe lakini hawa hit the bulls eye kwenye inshu za cormecial farming coz ni dili zao wenyewe na hawafanyi to the required standard, ukiingia front na wakaona you are just a step to make it wee.....unaweza jikuta puu chini, nikionaga mijinga mijinga ina bwabwaja huwa nashangaa sana kwamba hawa wanaishi Tz ya wapi hawa.....ofcoz we make a living lakini si kirahisi hivyo kwa sababu mfumo unakulazimisha ulambe watu matako kwa hiyo kasi ya kutoboa inakuwa chini sana hivyo ni ujinga kujisifu ilhali katika 10 ni wa 3 ndiyo wanatoboa ukilinganisha na wenzetu ambao hawana hiyo potential
 
yes...ni rahisi kuziexport kwenda kenya kisha ulaya kuliko kutoka tz kwenda ulaya. Ukianza kuomba vibali, wizara ya kilimo na taasisi zinazohusika wanaona ni kama unataka kuwatoa roho na umeshakuwa bilionea. utazunguushwa ili utoe rushwa mpaka utakoma.

Ni bora ushirikiane na mkenya, aombe vibali kenya ambavyo unapata kwa urahisi kisha wewe unasafirisha avocado kwenye mafuso kwa urahisi kwenda nairobi, yanaoshwa, na kusafirishwa kwenda ulaya as a produce of Kenya. kwa sababu mwisho wa siku is not about patriotism bali mapato. Patriotism inauawa na watendaji wa serikali ya ccm
SAHIHI. Mchawi wa maendeleo ni serikali ya CCM. Hawa wakifurushwa kama KANU, maendeleo yatapatikana mchana kweupe
 
Mkuu unaongea pumba, sisi tunasafirisha raw product wakenya wanasafirisha finished product.
Yale yale ya Tanzanite ipo Tanzania kenya na south ndio wauzaji wakubwa.
Wacha upuuzi, hizo parachichi hakuna "raw" Wala finished", zinavyosafirishwa ni hivyo hivyo duniani kote.

Tatizo lenu ninyi ni kushindwa kuchangamka kufanya biashara badala yake mnakalia kutoa lawama kwa serikali. Katika kuchangamkia fursa za biashara, wakenya wanatuzidi Sana watanzania, sisi kazi yetu ni kulalamika na kutoa visingizio vya kijinga kila siku.
 
Mkuu unaongea pumba, sisi tunasafirisha raw product wakenya wanasafirisha finished product.
Yale yale ya Tanzanite ipo Tanzania kenya na south ndio wauzaji wakubwa.
hebu list hizo finished products kutoka Kenya! Chai over 99% inasafirishwa kwenye mifuko ya kilo 50! Na inakuwa branded na repacked kwenye boxes za less than 1 kg huko abroad! flowers pia hivyohivyo! Naona ujinga unakusumbua!
 
Wacha upuuzi, hizo parachichi hakuna "raw" Wala finished", zinavyosafirishwa ni hivyo hivyo duniani kote.

Tatizo lenu ninyi ni kushindwa kuchangamka kufanya biashara badala yake mnakalia kutoa lawama kwa serikali. Katika kuchangamkia fursa za biashara, wakenya wanatuzidi Sana watanzania, sisi kazi yetu ni kulalamika na kutoa visingizio vya kijinga kila siku.
Wewe ni mpumbavu, ingekuwa hivyo supermarket zingejaa nyanya na maparachichi ya kutoka sokon
 
hebu list hizo finished products kutoka Kenya! Chai over 99% inasafirishwa kwenye mifuko ya kilo 50! Na inakuwa branded na repacked kwenye boxes za less than 1 kg huko abroad! flowers pia hivyohivyo! Naona ujinga unakusumbua!
Wewe ndio unasumbuliwa na utabla lasa ingekuwa hivyo mngeongoza kwa uchimi EAC coz hamna kitu kenya wanawazidi.
 
Wewe ndio unasumbuliwa na utabla lasa ingekuwa hivyo mngeongoza kwa uchimi EAC coz hamna kitu kenya wanawazidi.
leta hiyo list ya finished products toka Ukunyani! Kunyaland main exports r khat, tea and flowers! Juzi huko Lamu port!

 
leta hiyo list ya finished products toka Ukunyani! Kunyaland main exports r tea and flowers! Juzi huko Lamu port!


Kumbe na bishana na taahira, angalia bidhaa anazo safirisha Kenya soko la ulaya na nyie mnaojisifu kusafirisha mpunga, mahindi na other raw material Kenya
 
Back
Top Bottom