Kenya is the only African country in the top 10 producers of Avocados

Kenya is the only African country in the top 10 producers of Avocados

Wewe ni punguani upo hapa kubishana na umeaminishwa uzalendo ni kwako ni dini ya kuifia.
Huna akili ya kujadili chochote na mtu mwenye akili
That's ur main export that accounts over 70% of ur foreign exchange! halafu upo hapa kujisifu una export finished goods!

Au hii miraa??
5d727b353f181a7d.jpg
 
Mkuu unapofanya argument stick kwenye mjadala.
GDP ya kenya ni kubwa kwa sababu wana export bidhaa nyingi ulaya ambazo ni finished mambo ya kula GDP jadili na mama yako
Mkuu, wewe unafikiri tu lakini huna uhakika na unachozungumza, hawana export manufactured goods yoyote katika International market(Ukiacha regional markets).

Nenda angalia bidhaa wanazouza nje
1)Chai(Semi processed)
2)maua
3)Coffee(raw)
4)mazao ya mbogamboga(raw)
5) Gold
6)Live animals

Onyesha ni bidhaa zipi Kenya ambazo ni "finished products" wanazouza nje ya nchi ambazo Tanzania hatuuzi?
 
That's ur main export that accounts over 70% of ur foreign exchange! halafu upo hapa kujisifu una export finished goods!

Au hii miraa??
5d727b353f181a7d.jpg
Ona sasa ulivyo juha, hizo ramli zako zinakupoteza sio mkenya mimi.
Endelea kulima parachichi wa kenya wanunue wawauzie ulaya na lwenye supermarket zenu
 
Mkuu, wewe unafikiri tu lakini huna uhakika na unachozungumza, hawa export manufactured goods yoyote katika International market(Ukiacha regional markets).

Nenda angalia bidhaa wanazouza nje
1)Chai(Semi processed)
2)maua
3)Coffee(raw)
4)mazao ya mbogamboga(raw)
5) Gold
6)Live animals

Onyesha ni bidhaa zipi Kenya ambazo ni "finished products" wanazouza nje ya nchi ambazo Tanzania hatuuzi?
hawana hata gold processing plant moja wanauza gold peletts! halafu wapumbavu wapo humu wanaimba wimbo wa finished goods!
 
hawana hata gold processing plant moja wanauza gold peletts! halafu wapumbavu wapo humu wanaimba wimbo wa finished goods!
Nyie wenye hizo plant kila kona mmewazidi nini wa kenya wakati wao ndio wanunuzi wakubwa wa hayo madini kwa magendo kama ilivyo kuwa Tanzanite acha ujuha.
Huko kahama, Geita, North mara, Mwadui mnafaidika nini zaidi ya wakenya kuwa brokers na kuvuba pesa
 
Jirani jirani unaichukuia Tz sana….
Mvua zimeanza kunyesha Kenya..
Mnalima avacado wapi kwa ukame uliopo huko kwenu duh! Mbona mnasindwa kulima mahindi..
Avacado Mahindi Mbao yote ni mali ya Tanganyika hilo mnalitambua acheni uzwazwa…
Njaa inawauwa mko humu na kelele nyiiiingii
Ukweli ndio huo dadayangu na dunia inelegant hivo hakuchukii anasema ukweli watnzania wamelala...
 
Pumbavu wewe, huwezi kupeleka nje ya nchi bila kufanya "packaging", nchi zote hufanya hizo hatua, tunaposema "raw" maana yake ni kwamba, bidhaa inatumika Kama ilivyotoka shambani, wewe kwa upumbavu wako, hata parachichi likioshwa kwa maji Ili kuondoa uchafu kwako ni "processing", wewe jamaa ni mpumbavu kupitiliza.
Wewe ni taahira endelea kupigishana kelele na wapumbavu wenzio
 
Mkuu, hizo gallstones za binadamu au wanyama gani?, Mimi ndio kwanza ninasikia hiyo biashara mkuu
Za Wanyama Mkuu, mfano unachinja Ngombe, utauza Nyama, utauza Mapembe, utauza Ngozi, ndani ya Ng'ombe pia kuna Gallstones, unaweza kupata Gallstones kwa Ng'ombe mmoja zikawa na thamani kuliko Ng'ombe mwenyewe.

The same kwa Mbuzi pia inategemea na Soko lako.

Search kwenye nyuzi za jf hapa, nadhani nimeshawahi kuizungumzia ama kuzungumziwa kwa kirefu hapa, pia hata Gazeti la Mwananchi limeshawahi kuzungumzia pia.
 
Ni vizuri umetaja hapo financial capability na ninafikiri umejijibu mwenyewe....hivi wewe unajua kwamba cost of irrigation per acre ni zaidi ya $1,000? Na bado hatujataja cost of building dams hizo ni zaidi ya $200M per dam...ukumbuke kwamba sisi bado ni a developing country


Whichever way u look at it, sisi tumejikakamua sana hii miaka yote by using the little we have....also naona unajaribu ku down play the importance of our human resource...hivi unajua kwamba diaspora remittances ndio our biggest foreign exchange earner ? Unafikiri hiyo ni kwa nini?


Ukibadilisha Tanzania uipee wakenya it will be the 4 largest economy in Africa baada ya Egypt, Nigeria na South Africa

We make do with the little we have

Sent from my SM-G960F using JamiiForums mobile app
Wakati ninyi mnasingizia gharama kubwa ya kujenga "Irrigation schemes", Tanzania tumejenga irrigation infrastructure three times bigger than that of Kenya. Sasa jiulize inakuaje nchi yenye GDP kubwa inazidiwa na nchi yenye GDP ndogo?.

Ninyi elimu yenu haisaidii nchi yenu, elimu yenu ni kwa ajili ya kwenda kuajiriwa nchi za nje Ili kutuma remittances nyumbani. Elimu Bora ni lazima itoe ufumbuzi wa matatizo ya ndani ya nchi.

Kwahiyo wewe unafurahia wakenya wenye elimu kutoroka nchi Yao kwenda kufanya kazi nje ya nchi Ili watume "remittances", badala ya kutumika kubadilisha Ardhi ya Kenya ambayo ni jangwa Ili iwe ni" arable land?. Ninyi ni wazembe Sana

By 2030, half of arable land in Tanzania will be covered by irrigation schemes, ninyi endeleeni kusema ni gharama kubwa, hamuwezi, sisi tunaweza.
 
Umetoa hoja nzuri.
Nadhani kinachofaa si kupinga hoja, bali ni muhimu kuzitafakari, kuzijadili na kuzitafutia suluhisho.
Ni kweli kuna wakati kuna baadhi ya watumishi wanaoikwamisha nchi yetu kwa maslahi binafsi.
Umeshauri vema sana.
 
Wakati ninyi mnasingizia gharama kubwa ya kujenga "Irrigation schemes", Tanzania tumejenga irrigation infrastructure three times bigger than that of Kenya. Sasa jiulize inakuaje nchi yenye GDP kubwa inazidiwa na nchi yenye GDP ndogo?.

Ninyi elimu yenu haisaidii nchi yenu, elimu yenu ni kwa ajili ya kwenda kuajiriwa nchi za nje Ili kutuma remittances nyumbani. Elimu Bora ni lazima itoe ufumbuzi wa matatizo ya ndani ya nchi.

Kwahiyo wewe unafurahia wakenya wenye elimu kutoroka nchi Yao kwenda kufanya kazi nje ya nchi Ili watume "remittances", badala ya kutumika kubadilisha Ardhi ya Kenya ambayo ni jangwa Ili iwe ni" arable land?. Ninyi ni wazembe Sana

By 2030, half of arable land in Tanzania will be covered by irrigation schemes, ninyi endeleeni kusema ni gharama kubwa, hamuwezi, sisi tunaweza.

tutawalisha mpaka kiama!
 
Jirani jirani unaichukuia Tz sana….
Mvua zimeanza kunyesha Kenya..
Mnalima avacado wapi kwa ukame uliopo huko kwenu duh! Mbona mnasindwa kulima mahindi..
Avacado Mahindi Mbao yote ni mali ya Tanganyika hilo mnalitambua acheni uzwazwa…
Njaa inawauwa mko humu na kelele nyiiiingii
Jirani hatujashindwa kulima mahindi ....mwanzo usisahau kwamba mkulima ni mwanabiashara pia...ebu ona hii hesabu....mahindi atapata gunia 20 kwa ekari akijikakamua sana kisha auze $30 kwa gunia ...hiyo ni chini ya $600 na bado hajatoa input costs kama mbolea na kulipa wafanyakazi ...kwa upande mwingine parachichi atapata zaidi ya $3000 kwa ekari moja ...hiki ni kipato cha kutosha kinaweza kumudu hata investment drip irrigation system


Tanzania kutupa mahindi si jambo la kushangaza, after all u have three time more arable land than us and 50% more rainfall...ama hutaki tufanye biashara na nyinyi?



Sent from my SM-G960F using JamiiForums mobile app
 
Za Wanyama Mkuu, mfano unachinja Ngombe, utauza Nyama, utauza Mapembe, utauza Ngozi, ndani ya Ng'ombe pia kuna Gallstones, unaweza kupata Gallstones kwa Ng'ombe mmoja zikawa na thamani kuliko Ng'ombe mwenyewe.

The same kwa Mbuzi pia inategemea na Soko lako.

Search kwenye nyuzi za jf hapa, nadhani nimeshawahi kuizungumzia ama kuzungumziwa kwa kirefu hapa, pia hata Gazeti la Mwananchi limeshawahi kuzungumzia pia.
Mimi ninadhani hii biashara haijajulikana vizuri na serikali, ndio sababu watumishi wanapata taabu Sana kukupa vibali

Mimi huwa ninaingiza bidhaa toka nje ya nchi(Huwa ninapata challenge), wakati wa kwenda kuzilipia ushuru pale bandarini, hasa kwa hivi vifaa vya kisasa, wakiingiza katika mtandao, huwa wananiambia hivi vifaa bado havipo katika mtandao, tunashindwa kujua vipo katika kundi lipi la kodi.
 
Jirani hatujashindwa kulima mahindi ....mwanzo usisahau kwamba mkulima ni mwanabiashara pia...ebu ona hii hesabu....mahindi atapata gunia 20 kwa ekari akijikakamua sana kisha auze $30 kwa gunia ...hiyo ni chini ya $600 na bado hajatoa input costs kama mbolea na kulipa wafanyakazi ...kwa upande mwingine parachichi atapata zaidi ya $3000 kwa ekari moja ...hiki ni kipato cha kutosha kinaweza kumudu hata investment drip irrigation system


Tanzania kutupa mahindi si jambo la kushangaza, after all u have three time more arable land than us and 50% more rainfall...ama hutaki tufanye biashara na nyinyi?



Sent from my SM-G960F using JamiiForums mobile app
Kwanini husemi kwamba "Tanzania has three times bigger irrigation schemes than Kenya?. Kwanini hamtaki kukubali mapungufu yenu?
 
Wakati ninyi mnasingizia gharama kubwa ya kujenga "Irrigation schemes", Tanzania tumejenga irrigation infrastructure three times bigger than that of Kenya. Sasa jiulize inakuaje nchi yenye GDP kubwa inazidiwa na nchi yenye GDP ndogo?.

Ninyi elimu yenu haisaidii nchi yenu, elimu yenu ni kwa ajili ya kwenda kuajiriwa nchi za nje Ili kutuma remittances nyumbani. Elimu Bora ni lazima itoe ufumbuzi wa matatizo ya ndani ya nchi.

Kwahiyo wewe unafurahia wakenya wenye elimu kutoroka nchi Yao kwenda kufanya kazi nje ya nchi Ili watume "remittances", badala ya kutumika kubadilisha Ardhi ya Kenya ambayo ni jangwa Ili iwe ni" arable land?. Ninyi ni wazembe Sana

By 2030, half of arable land in Tanzania will be covered by irrigation schemes, ninyi endeleeni kusema ni gharama kubwa, hamuwezi, sisi tunaweza.
Mkuu naomba tusiende kwa hizi ma sibling rivalries sijui nini

Half of arable land in Tanzania ni 20,000,000 acres....irrigation infrastructure will cost $30-40 Billion dollars na dam ongezea $50 Billion, that is almost double your current gdp na ukumbuke 2030 is only 7 years away....nafikiri ni vyema kutoruhusu wanasiasa kutudanganya hivyo.


Lakini pia let me not downplay Tanzania's potential kwa sababu mko poa sana hasa hii sekta ya commodities, ukichunguza mchango wangu hapo JF, I've been singing that

Tanzania mkiwa serious u will lead us in the production of Horticulture, Palm oil and industrial commodities like kina cobalt from Congo. U have the port and cheap electricity.

Kwanza Palm oil will be a $500M market hapa Kenya tu

Sent from my SM-G960F using JamiiForums mobile app
 
Kuna kipindi nilikua natakiwa Kusafirisa Gallstones kwenda Hong Kong, nimeenda Fedex wakanambia nije na Vibari vya Serikali, nikaenda Wizara ya Kilimo, story zikawa mingi kama unavyosema, nikarudi Fedex kuwaeleza changamoto nilizokutana nazo Wizara ya Mifugo, Fedex wakanishauri niende tu kwa Mkemia Mkuu kufanya kipimo then watanisafirishia kifurushi changu kwa Documents toka kwa Mkemia!

Kufika kwa Mkemia, hawajui Gallstones ni nini, issue yangu ikawa kubwa hivi mpaka kukutana na Mkurugenzi wa kitengo fulani, kujieleza.....!

Sasa safari zote hizo nafanya na Business Partner raia wa Nje, akaanza kuniuliza, Mbona hii Tanzania iko very Complicated hivi!?
Hizi Stones mm husafirisha kila siku kwenda Nje, kwa nchi yangu sihitaji Documents yoyote ku export hizi stones, Coz Serikali yangu inajua nauza nje, ntalipwa Dollas, ntafanya kitu Nyumbani.....!

Nikamwambia sio Tanzania, wafanyakazi wengi wa umma wamekua kama Jokala Mdimu...
kuna fursa bongo inabid tuziache kwa ajili ya usumbufu kama huu japo inakua unaona kuna uwezo w kufanya jambo ukaingizia nchi ela
 
Back
Top Bottom