Kenya: Jaji Mkuu amjibu Kenyatta. Nendeni mkashindane kwenye uchaguzi

Unajuaje kama na huyu akistaafu atajiunga na NASA?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Juzi Tundu kawaambia wanasheria wote wagome... wamekataa tena wametishiwa kufutiwa lesi zao... Huyu Jaji ahamie Tanzania
 
Unafahamu katiba ya nchi yako inasema nini juu ya hao unaodhani hawapo sahihi kama hao wa Kenya?
Watanzania acheni kutamani vitu ambavyo hamuwezi kuvifanyia kazi, Jeuri ya Maraga imetokana na Katiba iliyopatikana kwa Umwagaji damu! je nanyi mpo tayari kufanya hivyo?

Msipende kutamani mafanikio ya wengine ilihali maogopa kuving'oa visiki vya kuyafikia yale mtamaniyo
 
😀😀😀😀😀😀😀 nimecheka sana MKUU, kukurupuka kubaya sana
Sasa mtu hata haelewi anasimamia hoja gani utajadili nini naye mkuu?

Unajua tunapojadili kuhusu uhuru wa mahakama/majaji tunajadili kitu tofauti kabisa na siasa!

Mimi ukiniambia majaji hawako huru kwasababu ya katiba nitakushangaa na nitajua husomi bali unaakunywa sana kahawa vijiweni..lakini ukisema labda unaona hawafai kutokana na uteuaji wao upo kikada kada ndio naweza kuelewa..

Sasa huyo kijana hajengi hoja yeye anazungumzia mara makinikia.. Sasa hapa yanahusikaje hayo?
 
Huku kwetu bado kaimu Jaji mkuu anusibiri huruma za Magu ili ateuliwe!
 

Wonderful and admirable Justice Maraga, may the Almighty God(Jehovah) Bless you. Naamini Justice Maraga and his court was fair what remains is for Kenyans to vote again as God had spoken, I believe the same God will prove on 17/10/2017 to the world that God of Abraham, God of Jacob and Isaak maintains His Word! No changes, as Vox Populi Vox Dei shall prevail.
 
Hakuna ujinga wa Tanzania waziri anaitwa mpumbafu anashukuru.

Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee tangu mawaziri walivyoitwa wapumbavu kadamnasi,na hadi leo hakuna aliyejiuzulu basi tuna safari ndefu sana kama taifa.

Najiuliza ikiwa hadharani wanadharilishwa hivi je?,ndani ya kuta nne ni hua kinawatokea.
 
Lubuva...ccm
Tulia....ccm
Augustin... Ccm
Mtungi...ccm
Kanali shimbo...ccm
Mawazri wote...ccm
Wakuu wa mikoa...ccm
Wakuu wa wilaya...ccm

Nknk
Tanzania...mali ya ccm


Mrema .....CCM
Seif............CCM
Lipumba..................CCM
Hamad Rashid..............CCM
Momose..............CCM
Sumaye................CCM
Ngoyai...................CCM
Mgwila...............CCM
Zuberi ...............CCM






kwahiyo mnataka nini?
watanzania wote ni ndugu na familia moja, msimu wa uchaguzi ukifika tunavaa jezi tofauti tunacheza mechi ya kirafiki.

msitufananishe na Kenya, Jomo Kenyata hajawahi kuwa rafiki wa Jaramongi- hili hamuhitaji kufundishwa, hivyo majaji nao lazima wajipambanue na wakae upande unaowafaa.KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI
 
Huyo unayemsema alipata wapi kadi ya chama na kisha yeyw kugombea uongozi (RAIS) km yeye alikuwa JAJI?

HAYA NI MAAJABU YA 10 YA DUNIA HII

Sent using Jamii Forums mobile app
wewe kama ni mtanzania basi umezaliwa baada ya kwaka 1994.
Kwafaida yako, jifunze yafuatayo:
baada ya uhuru, kama huna kadi ya chama(TANU) ulikuwa huwezi kupata scholarship. kwahiyo wote waliosoma elimu ya juu walikuwa na kadi ya TANU .
Tulipoenda JKT kwa mujibu wa sheria tuligawiwa kadi za CCM, kwahiyo sisi wote tulioenda JKT kabla ya multparty tunazo kadi za CCM, kwahiyo ujue kuwa viongozi wote wa vyama wanakadi za ccm ikiwemo kiongozi wako if and only if alikuwa na sifa za kujiunga na JKT kama compulsory
 
Mkuu tuweke kumbu kumbu sawasawa Tulia hajawahi kuwa Judge bali alikuwa naibu mwanasheria mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Life and death,ni mara chache sana kukuta mtu wa imani kama hii katika uongozi,unakula kiapo na unakifanyia kazi,haijalishi kama utakufa au utateswa lakini imani yako kwa Mungu ndio itakuweka huru.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…