Kenya kama kwetu, Maandamano halali na haramu sambamba leo

Kenya kama kwetu, Maandamano halali na haramu sambamba leo

Ukabila wa wakeny uko tanzania tu😅😅

Tuna majamaa kama yamerogwa. Yanaambiwa kila siku:

Bei za vitu kushuka Kenya, sisi tunakwama wapi?

Paragraph nzima iliwekwa kwa ajili ya hawa wajuzi uchwara wa design za kina Yoda:

"Hakuna mahali popote Kenya (au kwingine) wanakodai kuwa hizi ni harakati za wajaluo au kuwa hata ni za kikabila, isipokuwa Tanzania. Maana kamili ya kuwa mtanzania ni mjuaji mno!"

Tangu lini Uhuru, Karua au Musyoka wakawa wajaluo?

Tatizo - ujuaji uliopitiliza!
 
Lissu ndie Odinga wetu bahati mbaya yupo kimya..

Nadhani hayuko kimya ila kama wewe kama mimi Hana kauli ya mwisho kwenye chama.

Tuko kama France au Argentina kwenye la dunia halafu Messi au Mbape tumewaweka benchi.

Tupaze sauti. Pamoja na maoni mazuri ya kocha, sisi kama Argentina tunamhitaji Messi uwanjani Sasa
 
Tuna majamaa kama yamerogwa. Yanaambiwa kila siku:

Bei za vitu kushuka Kenya, sisi tunakwama wapi?

Paragraph nzima iliwekwa kwa ajili ya hawa wajuzi uchwara wa design za kina Yoda:

"Hakuna mahali popote Kenya (au kwingine) wanakodai kuwa hizi ni harakati za wajaluo au kuwa hata ni za kikabila, isipokuwa Tanzania. Maana kamili ya kuwa mtanzania ni mjuaji mno!"

Tangu lini Uhuru, Karua au Musyoka wakawa wajaluo?

Tatizo - ujuaji uliopitiliza!
Hizo ni hoja za Akin Kulwa Jilala
 
Ni hivi hatuwezi kuwa na mawazo yanayofanana. Naangalia mustakabali wa uchumi wa nchi jirani kwa upana wake. Siyo kila haki ya raia lazima iwe exercised kila wakati. Kuna li kitu likubwa linaitwa public interest. Kupanda kwa bei za vyakula na hali ya maisha kuwa ngumu haviwezi kuwa vimesababishwa na Ruto aliyeipokea nchi kutoka kwa Kenyatta less than six months ago.

Najua pia kuna gap kubwa ya knowledge kati yangu na yako. Hali kadhalika najua kuna tofauti kubwa sana ya kielimu kati yangu na yako. Pokea haya madini ukigonga kongo kifua na kukiri kwamba umepata bahati ya kufundishwa na mwanazuoni mbobezi
Sawa mwiguru rameki
 
Back
Top Bottom