Ukabila wa wakeny uko tanzania tuπ π
Lissu ndie Odinga wetu bahati mbaya yupo kimya..
ndiyo maana nimekwambia Siasa ya udanganyifu ya ujamaa imetulemaza.
Hizo ni hoja za Akin Kulwa JilalaTuna majamaa kama yamerogwa. Yanaambiwa kila siku:
Bei za vitu kushuka Kenya, sisi tunakwama wapi?
Paragraph nzima iliwekwa kwa ajili ya hawa wajuzi uchwara wa design za kina Yoda:
"Hakuna mahali popote Kenya (au kwingine) wanakodai kuwa hizi ni harakati za wajaluo au kuwa hata ni za kikabila, isipokuwa Tanzania. Maana kamili ya kuwa mtanzania ni mjuaji mno!"
Tangu lini Uhuru, Karua au Musyoka wakawa wajaluo?
Tatizo - ujuaji uliopitiliza!
Hizo ni hoja za Akin Kulwa Jilala
Sawa mwiguru ramekiNi hivi hatuwezi kuwa na mawazo yanayofanana. Naangalia mustakabali wa uchumi wa nchi jirani kwa upana wake. Siyo kila haki ya raia lazima iwe exercised kila wakati. Kuna li kitu likubwa linaitwa public interest. Kupanda kwa bei za vyakula na hali ya maisha kuwa ngumu haviwezi kuwa vimesababishwa na Ruto aliyeipokea nchi kutoka kwa Kenyatta less than six months ago.
Najua pia kuna gap kubwa ya knowledge kati yangu na yako. Hali kadhalika najua kuna tofauti kubwa sana ya kielimu kati yangu na yako. Pokea haya madini ukigonga kongo kifua na kukiri kwamba umepata bahati ya kufundishwa na mwanazuoni mbobezi