Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,060
- 5,648
Baada ya kupokea malalamiko kutoka kwa raia Mkuu wa Idara ya Mazingira Geoffrey Mosiria, ameliomba moja ya kanisa nchini Kenya, kudhibiti kiwango cha kelele ili kuepuka usumbufu kwa jamii.
Mosiria amesisitiza umuhimu wa kanisa hilo kuhakikisha kuwa viwango vya kelele vinazingatia sheria na kanuni za mazingira, hasa katika maeneo ya makazi, ili kudumisha amani na utulivu katika jamii.
Ikumbukwe Novemba 27, 2022 Father Charles Kinyua aliwahi kusema "Makanisa ya siku hizi yana kelele sana. Yana kelele zaidi kuliko baa ambako watu huenda kwa ajili ya kunywa pombe," kasisi huyo alisema alipokuwa akiadhimisha Jumapili ya kwanza ya Majilio.
Soma pia;
=> Makanisa kupiga kelele usiku kucha na mchana kutwa Kahama/Lugera
=> Kelele usiku kucha Mtaa wa Alesika, Mbezi Beach kutoka Amigos Pub na Kanisa la Angels Ministry ni kero kubwa, tumechoka!
Soma pia;
=> Makanisa kupiga kelele usiku kucha na mchana kutwa Kahama/Lugera
=> Kelele usiku kucha Mtaa wa Alesika, Mbezi Beach kutoka Amigos Pub na Kanisa la Angels Ministry ni kero kubwa, tumechoka!