Kenya kids survive on dog milk

Kenya kids survive on dog milk

Here the whole family in Kenya survive on eating dog meat while in Nairobi'so Upperhill an acre of land costs Tshs 11 bln! Young man, pride n humbleness should go hand in hand.

 
Here the whole family in Kenya survive on eating dog meat while in Nairobi'so Upperhill an acre of land costs Tshs 11 bln! Young man, pride n humbleness should go hand in hand.


Wanajisifia kwa kuwa na idadi kubwa ya milionea..
 
So sad,
Halafu mtu anafungua Uzi eti square metre in upperhill,
Wakenya ni Bogus sana.


Ndugu hapo nawatetea Wakenya, kwenye hili hata Watanzania hatuko tofauti, watoto wamejaa mitaani city center wanalala chini na tunawapita kuingia kwenye mavila yetu pia, hivyo sioni kama ni busara kuwaashambulia Wakenya kwenye hili kwani hata sisi ni hivyo hivyo si ajabu tofauti ni kwamba labda kwenye maisha yako ya kila siku haukutani na haya matatizo, mimi binafsi nimeona watoto wakipata shida hapa kwetu na machozi yalinitoka na Uanaume wangu, hivyo tuwe realistic na tubadilike tujaribu kusaidia, tusifunge macho na kupita, ukiona mtoto mtaani msaidie unavyoweza!!

Kila la Heri, man!
 
Ndugu hapo nawatetea Wakenya, kwenye hili hata Watanzania hatuko tofauti, watoto wamejaa mitaani city center wanalala chini na tunawapita kuingia kwenye mavila yetu pia, hivyo sioni kama ni busara kuwaashambulia Wakenya kwenye hili kwani hata sisi ni hivyo hivyo si ajabu tofauti ni kwamba labda kwenye maisha yako ya kila siku haukutani na haya matatizo, mimi binafsi nimeona watoto wakipata shida hapa kwetu na machozi yalinitoka na Uanaume wangu, hivyo tuwe realistic na tubadilike tujaribu kusaidia, tusifunge macho na kupita, ukiona mtoto mtaani msaidie unavyoweza!!

Kila la Heri, man!
Uliwasaidia je hao watoto am uliishia kulia tu?
 
Ndugu hapo nawatetea Wakenya, kwenye hili hata Watanzania hatuko tofauti, watoto wamejaa mitaani city center wanalala chini na tunawapita kuingia kwenye mavila yetu pia, hivyo sioni kama ni busara kuwaashambulia Wakenya kwenye hili kwani hata sisi ni hivyo hivyo si ajabu tofauti ni kwamba labda kwenye maisha yako ya kila siku haukutani na haya matatizo, mimi binafsi nimeona watoto wakipata shida hapa kwetu na machozi yalinitoka na Uanaume wangu, hivyo tuwe realistic na tubadilike tujaribu kusaidia, tusifunge macho na kupita, ukiona mtoto mtaani msaidie unavyoweza!!

Kila la Heri, man!
Wap ardhi inauzwa Tshs 11 bln per acre?
 
Here the whole family in Kenya survive on eating dog meat while in Nairobi'so Upperhill an acre of land costs Tshs 11 bln! Young man, pride n humbleness should go hand in hand.


[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] nimecheka sana,wazee wa pinnacle!
 
Ndugu hapo nawatetea Wakenya, kwenye hili hata Watanzania hatuko tofauti, watoto wamejaa mitaani city center wanalala chini na tunawapita kuingia kwenye mavila yetu pia, hivyo sioni kama ni busara kuwaashambulia Wakenya kwenye hili kwani hata sisi ni hivyo hivyo si ajabu tofauti ni kwamba labda kwenye maisha yako ya kila siku haukutani na haya matatizo, mimi binafsi nimeona watoto wakipata shida hapa kwetu na machozi yalinitoka na Uanaume wangu, hivyo tuwe realistic na tubadilike tujaribu kusaidia, tusifunge macho na kupita, ukiona mtoto mtaani msaidie unavyoweza!!

Kila la Heri, man!
Naona una utu pia. Hivyo sivyo nilivyokudhania hapo awali. Nakubaliana nawe, kusaidia wasiojiweza ni jukumu letu sote. Ni Kazi muhimu.
 
Ivi awa ndo wanaosema watanzania wanaenda kuombaomba kwao. ni za kweli hizi habari au ni wakenya wezao ili kutoa aibu wanawaita watz
 
Back
Top Bottom