Kenya kikao cha Balaza la mawaziri kikiisha lazima taarifa itolewe ya walicho azimia, Tanzania ni kimya

BLACK MOVEMENT

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2020
Posts
4,548
Reaction score
11,901
Kenya kila kikao cha mawazili kikiisha huwa inatolewa taarifa kwa umma kile walicho azimia hii ni ili Raia wajue nini kinazungumzwa na kupitishwa

Hio ni Jana, na hio ni Taarifa tena Breaking News kabisa.


Tanzanua vikao vya mawaziri ni siri nzito mno, waoiga Kura hawapaswi kujua hizo siri wala walicho azimia.Sana unakuta ni vikao vya kuuza nchi kwa wageni. Au vikao vya jinsi ya kukandamiza upizani.
 
Watawekaje wazi mzee hawa wa giningi
 
Walking corpse ndo Tanzania kipi tunaweza? Kenya na Uganda wana matumaini kuliko hi dead country
 
Kikao ni siri na hatuto toa siri hizo
 
Sasa Tanzania wakiwa wanatoa taarifa Kila wakikaa, gap la "tunamshukuru Rais kwa kutoa hela" litatoka wapi mkuu maana mawaaziri wanasema tunatekeza maono ya Rais sasa sijui kwenye cabinet wanajadiliana nini.

Si unaona hata taarifa ya kila mwezi waliacha kusoma
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…