Kenya kuanza kutumia huduma za Startlink
Vipi supakasi voda
Vipi fiber za TTCL umetest
Vipi ISP kama Zuku umewajaribu
Starlink vilevile inamapungufu nafkiri labda ujasoma review za watu..wanalalamika kwenye kustream hasana matukio ya Live inakatakata sana
Starlink connection yao ni via Satellite ambayo upatikanaji wake hata kijijini itawezekana sio mjini tu, kuhusu reviews hata wao wamesema baada ya mwaka speed itakuwa nzuri zaidi Kenya - I guess ni Technical issues, sina uhakika.

Pia TTCL Fiber uweke nyumbani kwako au kama unafanya side hustle gharama yake ni kubwa haswa kama haupo karibu na miundombinu yao simple sio rafiki.

Voda 5G na hao Zuku etc uwe mjini, hiyo voda 5G hata Moro haipo.

Ikiachwa ifanye kazi tutajiposition na naamini watatake over soko la data maeneo mengi.
 
Starlink connection yao ni via Satellite ambayo upatikanaji wake hata kijijini itawezekana sio mjini tu, kuhusu reviews hata wao wamesema baada ya mwaka speed itakuwa nzuri zaidi Kenya - I guess ni Technical issues, sina uhakika.

Pia TTCL Fiber uweke nyumbani kwako au kama unafanya side hustle gharama yake ni kubwa haswa kama haupo karibu na miundombinu yao simple sio rafiki.

Voda 5G na hao Zuku etc uwe mjini, hiyo voda 5G hata Moro haipo.

Ikiachwa ifanye kazi tutajiposition na naamini watatake over soko la data maeneo mengi.
Kusubiri watangaze kama imefika TZ tutasubiri mpaka kiama..Nachojua imefika na unaweza kuagiza router yao ikafanya kazi kama kawaida..TTCL ni ya serikali tusitegemee iruhusu Starlink atangazwe
 
"You know tulimuandikia Elon Musk paper kwamba yeye ndo afate masharti yetu na yeye ndo anaechelewesha huu mchakato wa starlink kuja Tanzania"[emoji23][emoji23][emoji23]
IMG_8815.jpg



Tanzania nchi yangu
 
The Big boss "Rosti tamu", ameinunua kampuni ya Tigo siku sio nyingi. Alafu Elon Musk anataka Nape aruhusu star link, ili boss wake Nape asipige faida nono?

Hii nchi itaendelea siku tutakayoweza kudeal na haya mapakashume ya kijani. Hayawazi maslahi ya nchi, yanawaza matumbo yao pekee!
 
Matumizi yangu binafsi ya bundle kwa mwezi ni 150k na internet sio stable, starlink kwa mwezi ni KSH 6500 ambayo ni sawa na TSH 113k. Huoni ni affordable ikitoa na option ya kuconnect multiple devices?
Hivi mkuu kulingana na matumizi ya hiyo device naweza nikaifunga let say nyumbani huku nikitumia nikiwa njiani au kazini? Au ni mpk niwe nyumbani hapo hapo?
 
Back
Top Bottom