Kenya kuanza kutumia huduma za Startlink
Internet ni elimu , watu wote wakielimika unafikiri nini kitafuata ? Maanake watu wataamka kutoka usingizini
 
The Big boss "Rosti tamu", ameinunua kampuni ya Tigo siku sio nyingi. Alafu Elon Musk anataka Nape aruhusu star link, ili boss wake Nape asipige faida nono?

Hii nchi itaendelea siku tutakayoweza kudeal na haya mapakashume ya kijani. Hayawazi maslahi ya nchi, yanawaza matumbo yao pekee!
Tuna matatizo mengi ndani ya nchi
Lakini CCM ni tatizo kubwa zaidi
CCM ni chanzo cha wizi, ufisadi, rushwa, mikataba mibovu inayoligharimu taifa
CCM ni mdhamini mkuu wa ujinga, maradhi na umaskini.
 
Hii nchi ina vichekesho mno, bandari mwekezaji kaja na masharti yake kabisa. Internet ya Elon Musk yeye ameshindwa vigezo? 🤣
"You know tulimuandikia Elon Musk paper kwamba yeye ndo afate masharti yetu na yeye ndo anaechelewesha huu mchakato wa starlink kuja Tanzania"[emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 2692209


Tanzania nchi yangu
 
Naona majirani wamesharuhusu Starlink, sasa EastAfrica wapo Rwanda na Kenya. Ni nini shida na serikali yetu kushindwa kuruhusu hili ukiachana na vigezo alivyotoa Waziri visivyo na mashiko?

View attachment 2692053


---

Tajiri Elon musk Leo hii alasiri ameposti kwenye page yake ya Twitter aki confirm kwamba Kenya, wataanza tumia huduma za star Link.

Na akionyesha ramani ya Baadhi ya nchi za Africa zinazotumia star Link .

Hii Post yake nikama anaipiga TZ 🇹🇿 dongo kuoonyesha jinsi inavyo Dili na investors wa kimataifa.

Haya SS wa TZ 🇹🇿 wanao lalamika kwamba Kenya ndio inaturudisha nyuma kiuchumi .
Nadhani wenyewe mmejionea SS ,

Tanzania 🇹🇿 viongozi wetu ni wabinafsi sana.
---

Boss wa Makampuni ya Marekani ya SpaceX, Tesla na Twitter, Elon Musk (51) ambaye ni miongoni mwa Matajiri wa dunia amesema Kampuni yake ya Starlink imezindua huduma ya internet ya kasi ya juu zaidi kutoka anga za juu nchini Kenya hivyo Wakenya wanaweza kupata internert hiyo hata Vijijini ambako miundombinu ya internet haijafika.

Kwa hatua hii sasa ni rasmi Kenya inaingia kwenye orodha ya Nchi za Afrika zinazonufaika na huduma hiyo ikiungana na Rwanda, Msumbiji na Mauritius.

Kampuni hiyo imeendelea kuzindua satelaiti katika Nchi mbalimbali kama sehemu ya mradi wa Starlink ambao unalenga kutoa huduma ya internet ya kasi ya juu zaidi kutoka anga za juu hadi maeneo ya mbali Duniani na huwasaidia hadi Watu wanaoishi maeneo ya mbali ambayo hayawezi kupata internet ya kasi ya juu zaidi.
Elon Musk haijui kichomi Tanzania, hata Nape Nauye alimwandikia tweet kujitetea kwanini Starlink haijaruhusiwa Tanzania hakumjibu.
 
Gharama za Internet zingeshuka sana!
Watu wakihamia starlink pamoja na maofisi mengi hawa ISP wa makampuni ya simu watakufa na njaa. Ndio maana PENA ameamua kuwakingia kifua ili aendelee kula 10 pasenga yake 🤣!

Kwa gharama na wizi wanaoufanya kwenye mabando nina uhakika mtu angejaribu tu hio huduma angehama mazima. Mnaweza funga starlink moja mkashea gharama za internet na jirani zako. Nani atahangaika na kuunga bando tena.
 
Viongozi wetu hawapendi maendeleo, ndio maana hwta hili suala la DP world napata mashaka, toka lini viongozi hawa wakata maendeleo ya watz?

Nahisi wanaogopa starlink, watazimaje mtandao😂🤣
 
Watu wakihamia starlink pamoja na maofisi mengi hawa ISP wa makampuni ya simu watakufa na njaa. Ndio maana PENA ameamua kuwakingia kifua ili aendelee kula 10 pasenga yake [emoji1787]!

Kwa gharama na wizi wanaoufanya kwenye mabando nina uhakika mtu angejaribu tu hio huduma angehama mazima. Mnaweza funga starlink moja mkashea gharama za internet na jirani zako. Nani atahangaika na kuunga bando tena.
Siku za mwisho wao zinakuja uzuri wa teknolojia wataipiga majungu lakini ndio hivyo njaa watambue haipo mbali kuwafikia.
Isp wazee wa 10%, Rostam mmiliki wa Voda na Tigo bado Ttcl ya serikali wote matumbo joto zaidi sana ni kwamba hawatakuwa na maamuzi ya kuizima data wakati wa chaguzi hiko ndio kinawapa homa,nchi hii kitu kikifika au kuruhusiwa basi jua chama husika tawala hakitapata shida katika hilo jambo lazima wawe na maslahi nalo, wakati huu Smile kazuiwa kuongezewa leseni ya kutoa huduma na watu wameshakuwa jobless, Smart na Hallotel wananyemelewa wapigwe knock-out ili kumpa uhai zaidi Ttcl kwenye data ghafla Starlink anajitokeza lazima wapagawe [emoji23][emoji23]

Sasa Starlink itamtingisha Rostam ambaye ni mmoja ya wafadhili wa chama unadhani what will happen si hata changia tena mzigo mnene kama mwanzo!

Mfano mmoja ya wamiliki Ticts alikuwa ni mfadhili wa chama sasa wamemtoa wanampa Dp world si inamaana ata withdrawal kuchangia chama au uenda hakuchangia chama wakaona bora wamtimue tu hana maslahi nao [emoji23]
 

Attachments

  • 20230719_095332.jpg
    20230719_095332.jpg
    131.8 KB · Views: 9
Sema ukweli wako mkuu.
Mkuu umechanganya hapa, wanaposema kit sio modem ni Satellite dish + Modem, sasa nambie unaweza tembea na dish na modem na uwe na source ya Umeme vyote mfukoni.....!!
Elewa hilo neno, set it up to your new address.
 
Mkuu umechanganya hapa, wanaposema kit sio modem ni Satellite dish + Modem, sasa nambie unaweza tembea na dish na modem na uwe na source ya Umeme vyote mfukoni.....!!
Elewa hilo neno, set it up to your new address.
Mkuu sikumaanisha ni Plug and Play kama moderm - nilijibu kwamba unaweza ukashift nayo kutoka eneo moja kwenda lingine so hata kijijin huko. Vifaa ni hivi kwa mimi naona ni portable.
 

Attachments

  • 1.PNG
    1.PNG
    13.6 KB · Views: 9
  • 3.PNG
    3.PNG
    106.1 KB · Views: 9
Back
Top Bottom