Kenya kufungua ofisi mpya ya ubalozi Arusha, Tanzania

Kenya kufungua ofisi mpya ya ubalozi Arusha, Tanzania

MK254

JF-Expert Member
Joined
May 11, 2013
Posts
32,408
Reaction score
50,809
Serikali ya Kenya kuanza mikakati ya kufungua ofisi mpya ya ubalozi Arusha ili iwe inahudumia Wakenya wanaofanya shughuli zao mikoani. Hivyo kule Tanzania tutakua na ofisi mbili za ubalozi, ya Dar na Arusha.

Hapa natoa hongera kwa serikali kwa kuwaza hili, tatizo kule Tanzania sijui walifikiria nini kuwekeza kila kitu Dar ambayo yenyewe iko mbali kule Pwani, yaani hata Watanzania wenyewe wa kutokea mikoani huteseka sana wakifuata huduma huko, kunao husafiri hata siku mbili haswa wa kutokea Kagera na Kigoma.

Yaani wiki inaisha kwenye safari ya kufuata stakabadhi fulani, ndio leo wanashtukuta na kuhangaika kuhamisha shughuli hadi Dodoma.

------------------------------

Kenyans residing in Arusha, Manyara and Kilimanjaro regions have all reasons to smile following the country’s decision to open a consulate in Arusha.

The new plans were revealed on Thursday, June 06, 2019, by the Kenyan ambassador to Tanzania, Dan Kazungu when addressing to Kenyans during the process of registering Kenyan Citizens in Arusha.

 
wanataka kuwa karibu na EAC! It is ohk let them be closer!

Mi nafikiri hiyo permit ya kuweka Ubarozi ARUSHA isitolewe, maana kila mmoja ataanza kuweka Ubarozi karibu na nchi yake. Mf. Uganda wataweka Kagera, Malawi na Zambia wataweka Mbeya, Msumbiji wataweka Mtwara na Congo wataweka Kigoma.

Sasa itakuwa vurugu, maana lengo la ubarozi si kutoa huduma kwa wananchi wa nchi husika, bali ni kuwakilisha nchi husika na kujenga mahusiano MAZURI na kuimarisha biashara na uchumi.

Juzi juzi nimetoka Washington nilifikia hoteli ambayo iko karibu na Ubarozi lkn wala sikwenda.
 
Mi nafikiri hiyo permit ya kuweka Ubarozi ARUSHA isitolewe, maana kila mmoja ataanza kuweka Ubarozi karibu na nchi yake. Mf. Uganda wataweka Kagera, Malawi na Zambia wataweka Mbeya, Msumbiji wataweka Mtwara na Congo wataweka Kigoma. Sasa itakuwa vurugu, maana lengo la ubarozi si kutoa huduma kwa wananchi wa nchi husika, bali ni kuwakilisha nchi husika na kujenga mahusiano MAZURI na kuimarisha biashara na uchumi.
Juzi juzi nimetoka Washington nilifikia hoteli ambayo iko karibu na Ubarozi lkn wala sikwenda.
hapana mzee mbona mambo ya kawaida haya! consulate huwa zinakuwepo pale kwenye other cities outside capitals kurahisisha Biashara haswa kama nchi ikiwa kubwa! Haiathiri uwepo wa High commission! Hata Waganda/Warwanda/Wakongo wakitaka waweke consulate Mwanza au Kigoma au Bukoba, mi naona ni sawa ili kurahisisha biashara na shughuli za kiofisi na kuondoa usumbufu! Imagine mtu ana biashara Arusha au hata Nairobi why aende kupatia visa Nairobi au Dar! Kumbuka Arusha pia ina EAC na ina Wakenya wengi na pia Watanzania wengi wanabidi kuenda all the way to Nairobi kwa mambo ambayo yangeweza fanywa na consulate in Arusha!
 
Nani kakuambia ni lazima ziwe Dodoma?

Arusha watamuhudumia au kukutana na nani? Duniani kote barozi zinakuwa makao makuu ya kiutawala ya NCHI, kwa sababu lengo ni KUWA karibu na watawala wa nchi husika.

Hiyo wanayotaka kuanzisha Arusha labda waiite jina lingine kama gulio au soko la Wakenya.
 
Hawa wakenya wana hangaika nini si mkafungue balozi mbili mbili huko mogadishu, balozi ingine ikiwa arusha mirungi itaaingia sana Tanzania na kupunguza nguvu kazi ya taifa,alafu wale wakenya walio jazana pale nakumat na aim mall wanazo permanent passport kweli au ni waamiaji haramu kwamaana wamekaa kigaidigaidi tu.
 
hapana mzee mbona mambo ya kawaida haya! consulate huwa zinakuwepo pale kwenye other cities outside capitals kurahisisha Biashara haswa kama nchi ikiwa kubwa! Haiathiri uwepo wa High commission! Hata Waganda/Warwanda/Wakongo wakitaka waweke consulate Mwanza mi naona ni sawa ili kurahisisha biashara na shughuli za kiofisi na kuondoa usumbufu! Imagine mtu ana biashara Arusha au hata Nairobi why aende kupatia visa Nairobi au Dar! Kumbuka Arusha pia ina EAC na ina Wakenya wengi na pia Watanzania wengi wanabidi kuenda all the way to Nairobi kwa mambo ambayo yangeweza fanywa na consulate in Arusha!

Yaa
For a consulate is not uncommon. I was thinking the whole thing moves to Arusha.
I remember in past 10 yrs or so, visited Arusha and saw the consulate of European Union.
 
Hawa wakenya wana hangaika nini si mkafungue balozi mbili mbili huko mogadishu, balozi ingine ikiwa arusha mirungi itaaingia sana Tanzania na kupunguza nguvu kazi ya taifa,alafu wale wakenya walio jazana pale nakumat na aim mall wanazo permanent passport kweli au ni waamiaji haramu kwamaana wamekaa kigaidigaidi tu.

Kuna wakenya wengi sana huku kanda ya kaskazini, na wanafuata sheria kweli wawapo huku, naona gari zao zipo obedient sana barabarani, penye 50km wanatii hata kama hakuna licamera, kwa zebra wanatii.

Wengine wanahustle tu mitaani na mijini, hawana makaratasi na tunawapea kazi tukijua fika, na ni wana, mmoja alituomba lift interior huko, anasema amezamia anatafuta job, hali ngumu kwao, nikamzuga mm polisi, akanisihi sana, tukabonga sana, nikamshushia karibu na moshi mjini akaendelee kupambana.

Achana na hawa vichaa wa JF.
 
Arusha watamuhudumia au kukutana na nani? Duniani kote barozi zinakuwa makao makuu ya kiutawala ya NCHI, kwa sababu lengo ni KUWA karibu na watawala wa nchi husika.
Hiyo wanayotaka kuanzisha Arusha labda waiite jina lingine kama gulio au soko la wakenya.

Usiishi kwa kukariri Mkuu
 
Yule memba wa humu aliejipendekeza kwa JPM apewe ubalozi wa Kenya aliona mbali sana. Wameshatuwahi.
 
Mi nafikiri hiyo permit ya kuweka Ubarozi ARUSHA isitolewe, maana kila mmoja ataanza kuweka Ubarozi karibu na nchi yake. Mf. Uganda wataweka Kagera, Malawi na Zambia wataweka Mbeya, Msumbiji wataweka Mtwara na Congo wataweka Kigoma. Sasa itakuwa vurugu, maana lengo la ubarozi si kutoa huduma kwa wananchi wa nchi husika, bali ni kuwakilisha nchi husika na kujenga mahusiano MAZURI na kuimarisha biashara na uchumi.
Juzi juzi nimetoka Washington nilifikia hoteli ambayo iko karibu na Ubarozi lkn wala sikwenda.
Sema tu ulikuwa unataka tujuwe wewe ni mzito, ulienda Washington.
 
Ingekuwa ni Nchi ya Ulaya imefungua Consulate pale Arusha ungewaona kina eliakeem wameanzisha nyuzi kadhaa kusifia kitendo hicho. Kwa Sasa juu ni Kenya kafungua moja kule, wanamwaga povu.
 
ivi kuna ofisi wa ubalozi wa Kenya In dodoma?nataka nikajisajili nawaza kuenda dar. kweli kuna ofisi dodoma? ?
 
Back
Top Bottom