Mleta mada ungeanza kwa kuwafafanulia hawa vibwengo maana kamili ya 'consulate'. Wakiendelea kutupia comment zao hizi za ajabu ajabu baadaye kuwaelimisha itakuwa kazi bure kama ya kupuliza gunia.
Let them do it. Hata Congo DRC ina ubalozi mdogo Kigoma ili kuhudumia watu wake huko ambapo ni mbali na Dar... Tz is quite a big country...
Mleta mada ungeanza kwa kuwafafanulia hawa vibwengo maana kamili ya 'consulate'. Wakiendelea kutupia comment zao hizi za ajabu ajabu baadaye kuwaelimisha itakuwa kazi bure kama ya kupuliza gunia.
Sema tu ulikuwa unataka tujuwe wewe ni mzito, ulienda Washington.
Nchi kibao za ulaya zina consulate Arusha pia, you are not the first.Ingekuwa ni Nchi ya Ulaya imefungua Consulate pale Arusha ungewaona kina eliakeem wameanzisha nyuzi kadhaa kusifia kitendo hicho. Kwa Sasa juu ni Kenya kafungua moja kule, wanamwaga povu.
Watalii huwindwa toka Home countries!kuna wanalotafuta Hawa nyang'au nina wasiwasi wanataka kuwawinda watalii 😂😂😂
Ofisi zote za Ubarozi ni Dodoma. Arusha mnaenda kufuata nini?
Ni vizuri tukaribishe na alshababu kutupasua vizuri maana wanawawinda sana wakenya na na virtehmga uchumi vyao
Tena dume haswaa unataka mbeguMbwa
Wakenya aiseee! Kwakutuona hatujui kizungu hamjambo siku hizi kuna Google translator hatuna shida wajameni 😌😌Mleta mada ungeanza kwa kuwafafanulia hawa vibwengo maana kamili ya 'consulate'. Wakiendelea kutupia comment zao hizi za ajabu ajabu baadaye kuwaelimisha itakuwa kazi bure kama ya kupuliza gunia.
Kule Ethiopia mnapojitapa napo hamjafungua consulate outside high commission in Addis?Mbwa
Kwa mara ya kwanza umefikiria vizuri kama wazee kumi wa morogoro.. pewa Konyagi tatu nitalipiahapana mzee mbona mambo ya kawaida haya! consulate huwa zinakuwepo pale kwenye other cities outside capitals kurahisisha Biashara haswa kama nchi ikiwa kubwa! Haiathiri uwepo wa High commission! Hata Waganda/Warwanda/Wakongo wakitaka waweke consulate Mwanza au Kigoma au Bukoba, mi naona ni sawa ili kurahisisha biashara na shughuli za kiofisi na kuondoa usumbufu! Imagine mtu ana biashara Arusha au hata Nairobi why aende kupatia visa Nairobi au Dar! Kumbuka Arusha pia ina EAC na ina Wakenya wengi na pia Watanzania wengi wanabidi kuenda all the way to Nairobi kwa mambo ambayo yangeweza fanywa na consulate in Arusha!
Serikali ya Kenya kuanza mikakati ya kufungua ofisi mpya ya ubalozi Arusha ili iwe inahudumia Wakenya wanaofanya shughuli zao mikoani. Hivyo kule Tanzania tutakua na ofisi mbili za ubalozi, ya Dar na Arusha.
Hapa natoa hongera kwa serikali kwa kuwaza hili, tatizo kule Tanzania sijui walifikiria nini kuwekeza kila kitu Dar ambayo yenyewe iko mbali kule Pwani, yaani hata Watanzania wenyewe wa kutokea mikoani huteseka sana wakifuata huduma huko, kunao husafiri hata siku mbili haswa wa kutokea Kagera na Kigoma.
Yaani wiki inaisha kwenye safari ya kufuata stakabadhi fulani, ndio leo wanashtukuta na kuhangaika kuhamisha shughuli hadi Dodoma.
------------------------------
Kenyans residing in Arusha, Manyara and Kilimanjaro regions have all reasons to smile following the country’s decision to open a consulate in Arusha.
The new plans were revealed on Thursday, June 06, 2019, by the Kenyan ambassador to Tanzania, Dan Kazungu when addressing to Kenyans during the process of registering Kenyan Citizens in Arusha.
Kenya to open a consulate in Arusha
Kenyans residing in Arusha, Manyara and Kilimanjaro regions have all reasons to smile following the country’s decision to open a consulate in Arusha.www.thecitizen.co.tz
Magufuli usije kuruhusu huo ujinga wa Kenya kutumiwa na wezi wa madini yetu hadi wamekosa madini na kuwauzia wateja wao madini feki hiyo barozi itatumika kama njia ya kupitishia upya madini yetu magu stopisha hao kenge haraka sanaSerikali ya Kenya kuanza mikakati ya kufungua ofisi mpya ya ubalozi Arusha ili iwe inahudumia Wakenya wanaofanya shughuli zao mikoani. Hivyo kule Tanzania tutakua na ofisi mbili za ubalozi, ya Dar na Arusha.
Hapa natoa hongera kwa serikali kwa kuwaza hili, tatizo kule Tanzania sijui walifikiria nini kuwekeza kila kitu Dar ambayo yenyewe iko mbali kule Pwani, yaani hata Watanzania wenyewe wa kutokea mikoani huteseka sana wakifuata huduma huko, kunao husafiri hata siku mbili haswa wa kutokea Kagera na Kigoma.
Yaani wiki inaisha kwenye safari ya kufuata stakabadhi fulani, ndio leo wanashtukuta na kuhangaika kuhamisha shughuli hadi Dodoma.
------------------------------
Kenyans residing in Arusha, Manyara and Kilimanjaro regions have all reasons to smile following the country’s decision to open a consulate in Arusha.
The new plans were revealed on Thursday, June 06, 2019, by the Kenyan ambassador to Tanzania, Dan Kazungu when addressing to Kenyans during the process of registering Kenyan Citizens in Arusha.
Kenya to open a consulate in Arusha
Kenyans residing in Arusha, Manyara and Kilimanjaro regions have all reasons to smile following the country’s decision to open a consulate in Arusha.www.thecitizen.co.tz
Wametumwa lengo ni kuiba madini hasa tanzanite tuwe makini sana tusikubali upuuzi huoYeah keep spending more money on consulate premises, staff housings and other expenditures in Dar, Dodoma and now Arusha, that's why you are broke and failed [emoji16][emoji16][emoji16]
Kwa mujibu wa sheria za kibarozi hapo lengo la Kenya ni kufanikisha mtandao wao wa wizi wa madini Kwa kupitia sheria za kibaroziOfisi zote za Ubarozi ni Dodoma. Arusha mnaenda kufuata nini?
No the trick is ..kuiba madini siunajua mambo ya viwanja Vya ndege Vya migodini yalipigwa stop now thief from Kenya wanataka kutumia mbinu za kibaroziwanataka kuwa karibu na EAC! It is ohk let them be closer!
Si chini ya JPM!Wametumwa lengo ni kuiba madini hasa tanzanite tuwe makini sana tusikubali upuuzi huo
Na budget ya CAG imepunguzwa balaa.Si chini ya JPM!