Mtuache
JF-Expert Member
- Mar 12, 2021
- 256
- 658
Polisi nchini Kenya wamemkamata Hellen Wanjiru Weri (62) ambaye anadaiwa kuongoza dhehebu tata nchini humo ambapo anadaiwa kuwashikilia watu 32 kwenye nyumba yake huku wakiwa dhaifu kiafya kutokana na kufunga kula chakula kwa zaidi ya wiki moja
Polisi wanasema watu hao ambao walikuwa katika nyumba iliyopo katika kijiji cha Kamwene 'B' Kihingo, katika kaunti ndogo ya Njoro , wanasemekana kuwa walikuwa dhaifu baada ya kufunga chakula kwa karibu wiki moja
Mwanamke huyo amekamatwa baada ya mwanamke mmoja kudai kuwa binti yake aliacha kazi na kwenda kwa mwanamke huyo kwa ajili ya maombi na kufunga na hakurudi tena nyumbani.
Polisi wanasema watu hao ambao walikuwa katika nyumba iliyopo katika kijiji cha Kamwene 'B' Kihingo, katika kaunti ndogo ya Njoro , wanasemekana kuwa walikuwa dhaifu baada ya kufunga chakula kwa karibu wiki moja
Mwanamke huyo amekamatwa baada ya mwanamke mmoja kudai kuwa binti yake aliacha kazi na kwenda kwa mwanamke huyo kwa ajili ya maombi na kufunga na hakurudi tena nyumbani.