Mpetde
JF-Expert Member
- Sep 5, 2022
- 3,955
- 6,546
Huyu jamàa kanisa lake lipo tabata nahisi alifungiwa sababu alikua anahubiri vitu vya ajabu nje ya biblia, unamwambia mtu alete nywele alete mavuzi uyaombee ?Eh hy sijaisikia, ilkuwa wapi hy
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu jamàa kanisa lake lipo tabata nahisi alifungiwa sababu alikua anahubiri vitu vya ajabu nje ya biblia, unamwambia mtu alete nywele alete mavuzi uyaombee ?Eh hy sijaisikia, ilkuwa wapi hy
Haya mambo unayakuta upande wa pili tu hlf wanajisifu kua wana ElimuPolisi nchini Kenya wamemkamata Hellen Wanjiru Weri (62) ambaye anadaiwa kuongoza dhehebu tata nchini humo ambapo anadaiwa kuwashikilia watu 32 kwenye nyumba yake huku wakiwa dhaifu kiafya kutokana na kufunga kula chakula kwa zaidi ya wiki moja
Polisi wanasema watu hao ambao walikuwa katika nyumba iliyopo katika kijiji cha Kamwene 'B' Kihingo, katika kaunti ndogo ya Njoro , wanasemekana kuwa walikuwa dhaifu baada ya kufunga chakula kwa karibu wiki moja
Mwanamke huyo amekamatwa baada ya mwanamke mmoja kudai kuwa binti yake aliacha kazi na kwenda kwa mwanamke huyo kwa ajili ya maombi na kufunga na hakurudi tena nyumbani.
Hii picha inamaanisha nini ?Haya mambo unayakuta upande wa pili tu hlf wanajisifu kua wana Elimu
Hhhhhhh View attachment 2605402
Kondoo wanapelekeshwa vibayaHii picha inamaanisha nini ?
Dah imeniuma sana kufungiwa, hao ndio viongozi wa dini tunaowahitajiHuyu jamàa kanisa lake lipo tabata nahisi alifungiwa sababu alikua anahubiri vitu vya ajabu nje ya biblia, unamwambia mtu alete nywele alete mavuzi uyaombee ?
Yaan umemaanisha nini?Dah imeniuma sana kufungiwa, hao ndio viongozi wa dini tunaowahitaji
Mm napenda sana kusikia watanzania wakitapeliwa/wakilizwa n.kYaan umemaanisha nini?
Yaan ndio maana yake nini wewe ni Mburundi au ?Mm napenda sana kusikia watanzania wakitapeliwa/wakilizwa n.k
Never ever Mimi kulizwaYaan ndio maana yake nini wewe ni Mburundi au ?
We sio mbongo ?Never ever Mimi kulizwa
Hah! Mkuu, WaTz sio maduanzi kivile. 😀Mambo kama haya yakitokea nchini nitafurahi sana
Subiri tuu, n bc tuu hao manabii wanaona tukiwaua hawa mbuzi watakosa sadaka 😂Hah! Mkuu, WaTz sio maduanzi kivile. 😀
Mama afunge na yeyeMambo kama haya yakitokea nchini nitafurahi sana
Kumbe! Wana akili mingi. Hawaui mtaji. We njoo ujimalize, upigwe teke la Upako, Upande mbegu n.k.Subiri tuu, n bc tuu hao manabii wanaona tukiwaua hawa mbuzi watakosa sadaka 😂
Kwa lipi? Sidhani kama anaweza kufanya huo ujinga. 😳Mama afunge na yeye
Vichaa wengi wewe umeenda kanisani na Pesa ya sadaka na Nauli ya kurudi nyumbani, unafika muda wa kufunga ibada jamàa anawapiga PIN akawaambia NAULI zenu ziacheni hapa mjimalize alafu mtembee kwa mguu, mijitu ilivyokua mivichaa eti unatoa kweli nauli zote alafu inatembea kwa mguu hadi nyumbani km sio ukichaa ni nini?Hah! Mkuu, WaTz sio maduanzi kivile. 😀
Sadaka kausha damu zinafilisi wauminiMwamposa coming soon watu walibebeshwa udongo na wakabeba akawaambia watoe hadi senti yao ya mwisho wajimalize sadaka ya kujimaliza hadi kile Cha mwisho ulichonacho wanakubari wanatoa wanatembea kwa mguu Kawe kuelekea Mbagala akiwaambia wasile wafunge mwezi mzima unafikiri wale vichaa watagoma ?
Watafanya aiseeMwamposa coming soon watu walibebeshwa udongo na wakabeba akawaambia watoe hadi senti yao ya mwisho wajimalize sadaka ya kujimaliza hadi kile Cha mwisho ulichonacho wanakubari wanatoa wanatembea kwa mguu Kawe kuelekea Mbagala akiwaambia wasile wafunge mwezi mzima unafikiri wale vichaa watagoma ?