Mpetde
JF-Expert Member
- Sep 5, 2022
- 3,955
- 6,546
Ndio hivyo mpaka wengine wakaanza kushitaki Serikalini kua kuna vitu wanapigwa na hawa wachingiaji wa mchongo mtu anatoa gari kusaidia kanisa mchungaji anajimilikisha analifanya la kwake,Sadaka kausha damu zinafilisi waumini