Kenya kunani? Matukio ya ajabu kila kukicha

Haya mambo unayakuta upande wa pili tu hlf wanajisifu kua wana Elimu

Hhhhhhh
 
Huyu jamàa kanisa lake lipo tabata nahisi alifungiwa sababu alikua anahubiri vitu vya ajabu nje ya biblia, unamwambia mtu alete nywele alete mavuzi uyaombee ?
Dah imeniuma sana kufungiwa, hao ndio viongozi wa dini tunaowahitaji
 
Yaaani ningekuwa na mamlaka hao wajinga wangekoma leo na njaa zao .Ningekata fimbo za kutosha za mti wa mpera au mkwaju.Ningewachapa matako yao kwelikweli ndio nawapa msosi na wakimaliza kula nawatandika washeri zao mpaka walie.
 
Mchungaji mwingine wa huko Kisumu Kenya amewaaminisha waumini wake Kuwa Ushuzi wake unaponya matatizo yote yaliyo ndani ya mwili wa mwanadamu, kwahiyo anawajambia kama hivi halafu wananusa ili wapati uponyaji.[emoji134][emoji134][emoji1787]
 
Hah! Mkuu, WaTz sio maduanzi kivile. 😀
Vichaa wengi wewe umeenda kanisani na Pesa ya sadaka na Nauli ya kurudi nyumbani, unafika muda wa kufunga ibada jamàa anawapiga PIN akawaambia NAULI zenu ziacheni hapa mjimalize alafu mtembee kwa mguu, mijitu ilivyokua mivichaa eti unatoa kweli nauli zote alafu inatembea kwa mguu hadi nyumbani km sio ukichaa ni nini?
 
Sadaka kausha damu zinafilisi waumini
 
Watafanya aisee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…