Kenya leads East Africa peers in access to electricity

Kenya leads East Africa peers in access to electricity

installed capacity 1200 mata hauna aibu
Tanzania uwezo wa kizalisha umeme ni 1560MW, mwezi uliopita tuliongeza 80MW, kama utakumbuka Magufuli alienda kuzindua mradi wa Kinyerezi II, kabla ya hapo tuliku tunazalisha 1480MW, lakini hadi leo hii demand yetu ni 1320 MW tu, yaani hata tusingeongeza huu umeme bado hatukuwa na upungufu wa umeme, ukosefu wa umeme katika nchi zetu hizi, kwa asilimia kubwa ni tatizo la usambazaji umeme, yaani connectivity.

Hata ninyi Kenya mnazalisha umeme mwingi kuliko mahitaji yenu kwa sasa, ila ni asilimia ndogo sana ya sehemu zilizounganishwa na umeme, ndio sababu hadi sasa mnaitafuta 60% coverage bado inawasumbua
 
kenya 73% congrats Uhuru
Capture.PNG
 
Tanzania uwezo wa kizalisha umeme ni 1560MW, mwezi uliopita tuliongeza 80MW, kama utakumbuka Magufuli alienda kuzindua mradi wa Kinyerezi II, kabla ya hapo tuliku tunazalisha 1480MW, lakini hadi leo hii demand yetu ni 1320 MW tu, yaani hata tusingeongeza huu umeme bado hatukuwa na upungufu wa umeme, ukosefu wa umeme katika nchi zetu hizi, kwa asilimia kubwa ni tatizo la usambazaji umeme, yaani connectivity.

Hata ninyi Kenya mnazalisha umeme mwingi kuliko mahitaji yenu kwa sasa, ila ni asilimia ndogo sana ya sehemu zilizounganishwa na umeme, ndio sababu hadi sasa mnaitafuta 60% coverage bado inawasumbua
story hizo USAID imesema 1200..figures za serikali haikuagi real
 
They are planning 50% in 2020 wengine wana hallucinate hapa
The Government of Tanzania has committed to connect half the country’s population to electricity by the year 2020, and to connect at least 75 percent by 2033. However, only 32.8% of households in Mainland Tanzania are connected to electricity, even as TANESCO, the country’s power supply company, plans to triple production from the current 1,501MW to 4,915MW over the next three years.
after seeing the publisher of this report is an NGO from Kenya doing research from internet I busted with laugh
 
Maendeleo haitambui kifua, nguvu kijijini akili mjini. Ndio kwa maana hua munaisoma number.
Wewe unaongea nini!! Kwa hiyo maendeleo yana tambua kuchekacheka kama anavyo fanya Uhuru! Wananchi wana lalamika raisi na yeye analalamika kuhusu ufisadi! Halafu mwishoni ana waambia "wajameni si mnipe tano zingine" hahaa.. ovyo sana
 
2018 usaid portal..danganyeni nyanya zenuView attachment 770165
Unaxhokitafuta ni kutaka kujiridhisha ili leo upate usingizi, kwasababu ile taarifa niliyokuwekea inasema vizuri kwamba ndani ya kipindi cha miaka miwili tu, Tanzania imeweza kuongeza umeme by 30%, hii taarifa ya USAID ilikusanywa 2015 na kutolewa 2016, sasa unakataa nini wakati haya mabadiliko yametokea kipindi cha Magufuli, yaani 2016 and 2017?
 
Tanzania uwezo wa kizalisha umeme ni 1560MW, mwezi uliopita tuliongeza 80MW, kama utakumbuka Magufuli alienda kuzindua mradi wa Kinyerezi II, kabla ya hapo tuliku tunazalisha 1480MW, lakini hadi leo hii demand yetu ni 1320 MW tu, yaani hata tusingeongeza huu umeme bado hatukuwa na upungufu wa umeme, ukosefu wa umeme katika nchi zetu hizi, kwa asilimia kubwa ni tatizo la usambazaji umeme, yaani connectivity.

Hata ninyi Kenya mnazalisha umeme mwingi kuliko mahitaji yenu kwa sasa, ila ni asilimia ndogo sana ya sehemu zilizounganishwa na umeme, ndio sababu hadi sasa mnaitafuta 60% coverage bado inawasumbua
kama production ni 1560 acess itakuaje 70% unless kama munanunua stima mingi than u produce. Ambapo hio impossible.
 
Unaxhokitafuta ni kutaka kujiridhisha ili leo upate usingizi, kwasababu ile taarifa niliyokuwekea inasema vizuri kwamba ndani ya kipindi cha miaka miwili tu, Tanzania imeweza kuongeza umeme by 30%, hii taarifa ya USAID ilikusanywa 2015 na kutolewa 2016, sasa unakataa nini wakati haya mabadiliko yametokea kipindi cha Magufuli, yaani 2016 and 2017?
Thats as per march 2018 32%
 
Unaxhokitafuta ni kutaka kujiridhisha ili leo upate usingizi, kwasababu ile taarifa niliyokuwekea inasema vizuri kwamba ndani ya kipindi cha miaka miwili tu, Tanzania imeweza kuongeza umeme by 30%, hii taarifa ya USAID ilikusanywa 2015 na kutolewa 2016, sasa unakataa nini wakati haya mabadiliko yametokea kipindi cha Magufuli, yaani 2016 and 2017?
Nakwambia hawa majuha wapo bado 2015 dec. Wamelala usingizi wa kuvuta blanketi. Ebu usiwamshe ili waendelee kulala na kujipiga punyeto na riporti za NGO
 
Production hawajafikisha hata 2000MW lakini access wamefikisha over 70%. Hahaha kwani TZ stima hua mnatumia kucharge simu tu.
 
Nakwambia hawa majuha wapo bado 2015 dec. Wamelala usingizi wa kuvuta blanketi. Ebu usiwamshe ili waendelee kulala na kujipiga punyeto na riporti za NGO
Ngoja niwaache wasubiri 2020 tukikamilisha universal connectivity wakati wakiwa bado 70%. Ila ninawaelewa sometimes, kasi anayokwenda Magufuli ni nje ya kabisa ya watu wa kawaida kuelewa. Take my word, wakati SGR inafika Kigali, ndiyo ya Kenya itakuwa inafika Kisumu. Pamoja na kwamba tumeanza kujenga miaka 3 nyuma ya Kenya, huyu jamaa ni hatari aisee.
 
Ngoja niwaache wasubiri 2020 tukikamilisha universal connectivity wakati wakiwa bado 70%. Ila ninawaelewa sometimes, kasi anayokwenda Magufuli ni nje ya kabisa ya watu wa kawaida kuelewa. Take my word, wakati SGR inafika Kigali, ndiyo ya Kenya itakuwa inafika Kisumu. Pamoja na kwamba tumeanza kujenga miaka 3 nyuma ya Kenya, huyu jamaa ni hatari aisee.
Hiyo ndio style ya magu..yeye hana mdomo kubwa, anafanya mambo yake bila mbwembwe na sifa za kijinga. SGR amenyamazia tuu lakini kazi inaendelea tena kwa mwendo hatari..Huku kenya Jubilee ikitengeneza tunnel moja wanaweka picha kila mahali ni kama wamemaliza mradi 😀
 
Back
Top Bottom