Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,060
- 5,648
- Thread starter
- #21
😆 labda na yeye alikuwa anapenda Wahindi ila kuwapata labda ilikuwa kimbembe so ameona atulie tu baada ya kumpata mtotoMwanaume ni mjinga kabisa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😆 labda na yeye alikuwa anapenda Wahindi ila kuwapata labda ilikuwa kimbembe so ameona atulie tu baada ya kumpata mtotoMwanaume ni mjinga kabisa
😂😂Ahahahahh 🤣 🤣 🤣
Krishna kama Krishna
😂😂Vichina vinyakyusa....unaangaika kukisalimia... unashangaa kinasalimia "ughonile"😳🙄
Labda Dr utuelezee hili kitaalam limekaaje? 😂Dah Nimecheka Saaana 🤣🤣🤣🤣
Mama mwenyewe mhindi chotara, pua ya mtoto baba mtupu.Kutana na wanandoa hawa kutoka Nyeri nchini Kenya, waliojifungua Mtoto wa Kihindi.
View attachment 3136383
Mwanamke anamlaumu mume kwa kupenda kutazama filamu za Kihindi, akidai ndio imepelekea kuzaliwa mtoto huyo. Mwanaume amekubali na kuahidi kuwapenda na kuwajali mama na mtoto.
View attachment 3136382
Inasemekana mwanamke huyu anafanya kazi katika mgahawa wa Kihindi kama mhudumu.
View attachment 3136385
Kwahiyo mtoto ni copy ya mama yake au sio 😆Mama mwenyewe mhindi chotara, pia ya mtoto baba mtupu.
Kutana na wanandoa hawa kutoka Nyeri nchini Kenya, waliojifungua Mtoto wa Kihindi.
View attachment 3136383
Mwanamke anamlaumu mume kwa kupenda kutazama filamu za Kihindi, akidai ndio imepelekea kuzaliwa mtoto huyo. Mwanaume amekubali na kuahidi kuwapenda na kuwajali mama na mtoto.
View attachment 3136382
Inasemekana mwanamke huyu anafanya kazi katika mgahawa wa Kihindi kama mhudumu.
View attachment 3136385
Mwanaume akapimwe afya ya akili😃😃😃Kutana na wanandoa hawa kutoka Nyeri nchini Kenya, waliojifungua Mtoto wa Kihindi.
View attachment 3136383
Mwanamke anamlaumu mume kwa kupenda kutazama filamu za Kihindi, akidai ndio imepelekea kuzaliwa mtoto huyo. Mwanaume amekubali na kuahidi kuwapenda na kuwajali mama na mtoto.
View attachment 3136382
Inasemekana mwanamke huyu anafanya kazi katika mgahawa wa Kihindi kama mhudumu.
View attachment 3136385
😂😂 sio macho maana huwenda haoni vizuri ndio maana ameshindwa kutofautishaCc
Mwanaume akapimwe afya ya akili😃😃😃
Hamna utaalam hapo ni somjo alimuinamisha dukani😆 akapizia ndaniLabda Dr utuelezee hili kitaalam limekaaje? 😂