Faana
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 38,657
- 44,759
Bora angekuwa anamtazama BamboMimi ndio maana huwa siangalii filamu za nje kwa kuogopa mambo kama haya. Tujenge utamaduni wa kutazama filamu zetu kuepuka mambo kama haya.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bora angekuwa anamtazama BamboMimi ndio maana huwa siangalii filamu za nje kwa kuogopa mambo kama haya. Tujenge utamaduni wa kutazama filamu zetu kuepuka mambo kama haya.
Kenya wana Katiba bora sana kuliko ya kwetu ambayo inasababisha kila kitu kuwezekana.Haya ni maajabu! 😂
Kutana na wanandoa hawa kutoka Nyeri nchini Kenya, waliojifungua Mtoto wa Kihindi.
View attachment 3136383
Mwanamke anamlaumu mume kwa kupenda kutazama filamu za Kihindi, akidai ndio imepelekea kuzaliwa mtoto huyo. Mwanaume amekubali na kuahidi kuwapenda na kuwajali mama na mtoto.
View attachment 3136382
Inasemekana mwanamke huyu anafanya kazi katika mgahawa wa Kihindi kama mhudumu.
View attachment 3136385
Kuna mzazibar mmoja naye yamemkuta ya kulea mchina jamaa yupe very fan, maisha yanaenda.Ili shatokea tz pia, kuzaa vichina!!
Stamico kyela hioVichina vinyakyusa....unaangaika kukisalimia... unashangaa kinasalimia "ughonile"😳🙄
🤣🤣🤣🤣Stamico kyela hio
Mbona mama mwenyewe ni mhindi?Haya ni maajabu! 😂
Kutana na wanandoa hawa kutoka Nyeri nchini Kenya, waliojifungua Mtoto wa Kihindi.
View attachment 3136383
Mwanamke anamlaumu mume kwa kupenda kutazama filamu za Kihindi, akidai ndio imepelekea kuzaliwa mtoto huyo. Mwanaume amekubali na kuahidi kuwapenda na kuwajali mama na mtoto.
View attachment 3136382
Inasemekana mwanamke huyu anafanya kazi katika mgahawa wa Kihindi kama mhudumu.
View attachment 3136385
Wale wa Konoikrle sio?, ile kampuni ya kutengeneza barabara.Vichina vinyakyusa....unaangaika kukisalimia... unashangaa kinasalimia "ughonile"😳🙄
YeahWale wa Konoikrle sio?, ile kampuni ya kutengeneza barabara.
Mhindi muhusika amemlipa kitita jamaa amfichie siri asije akatengwa na jumuia ya wahindi.Haya ni maajabu! 😂
Kutana na wanandoa hawa kutoka Nyeri nchini Kenya, waliojifungua Mtoto wa Kihindi.
View attachment 3136383
Mwanamke anamlaumu mume kwa kupenda kutazama filamu za Kihindi, akidai ndio imepelekea kuzaliwa mtoto huyo. Mwanaume amekubali na kuahidi kuwapenda na kuwajali mama na mtoto.
View attachment 3136382
Inasemekana mwanamke huyu anafanya kazi katika mgahawa wa Kihindi kama mhudumu.
View attachment 3136385
Kuna mmoja nilikuwa namuona STAMICO pale njia panda kwendaa mgodi wa makaa ya mawe kaama unaenda Kyela.Yeah
Mimi shuhuda. Msela na demu wake walikuwa wanapiga katika kiwanda cha wachina kile kinatengeneza vile vijuisi. Kumbe mchina anajipigia. Demu kawa mjamzito jamaa akamvuta ndani. Miezi tisa mtoto kazaliwa.Ili shatokea tz pia, kuzaa vichina!!
Nimecheka sana!!Haya ni maajabu! 😂
Kutana na wanandoa hawa kutoka Nyeri nchini Kenya, waliojifungua Mtoto wa Kihindi.
View attachment 3136383
Mwanamke anamlaumu mume kwa kupenda kutazama filamu za Kihindi, akidai ndio imepelekea kuzaliwa mtoto huyo. Mwanaume amekubali na kuahidi kuwapenda na kuwajali mama na mtoto.
View attachment 3136382
Inasemekana mwanamke huyu anafanya kazi katika mgahawa wa Kihindi kama mhudumu.
View attachment 3136385n