Kenya: Maajabu! Mwanamke ajifungua mtoto wa Kihindi, Amlaumu mume kwa kutazama filamu za Kihindi

Kumbe anafanya kazi kwa Somjo chori chori namastehe
 
Hata kama Wazee ndiyo waasisi wa msemo "Kitanda hakizai haramu" ila Kwa huyo Mhindi, naomba niwaongoze Wazee wenzangu kupinga
 
Kenya asilimia kubwa wameelimika ila Kuna kundi kubwa pia la wajinga
 
Kwahiyo hajapndezewa na huyo mtoto ndiyo maana analaumu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…