MGOGOHALISI
JF-Expert Member
- Apr 16, 2011
- 3,294
- 4,920
Huyo aliyevaa kofia mbona amekaa kiwiziwizi sana? Imekuwaje akaolewa.Haya ni maajabu! π
Kutana na wanandoa hawa kutoka Nyeri nchini Kenya, waliojifungua Mtoto wa Kihindi.
View attachment 3136383
Mwanamke anamlaumu mume kwa kupenda kutazama filamu za Kihindi, akidai ndio imepelekea kuzaliwa mtoto huyo. Mwanaume amekubali na kuahidi kuwapenda na kuwajali mama na mtoto.
View attachment 3136382
Inasemekana mwanamke huyu anafanya kazi katika mgahawa wa Kihindi kama mhudumu.
View attachment 3136385
Ndiyo maana sipendi muvi za kihindiHaya ni maajabu! π
Kutana na wanandoa hawa kutoka Nyeri nchini Kenya, waliojifungua Mtoto wa Kihindi.
View attachment 3136383
Mwanamke anamlaumu mume kwa kupenda kutazama filamu za Kihindi, akidai ndio imepelekea kuzaliwa mtoto huyo. Mwanaume amekubali na kuahidi kuwapenda na kuwajali mama na mtoto.
View attachment 3136382
Inasemekana mwanamke huyu anafanya kazi katika mgahawa wa Kihindi kama mhudumu.
View attachment 3136385
Bora kuliko kuendeleza hao kina akamba ambao ni non sense kwenye jamiiVizuri
Bora nimecheka asubuhi hii πHaya ni maajabu! π
Kutana na wanandoa hawa kutoka Nyeri nchini Kenya, waliojifungua Mtoto wa Kihindi.
View attachment 3136383
Mwanamke anamlaumu mume kwa kupenda kutazama filamu za Kihindi, akidai ndio imepelekea kuzaliwa mtoto huyo. Mwanaume amekubali na kuahidi kuwapenda na kuwajali mama na mtoto.
View attachment 3136382
Inasemekana mwanamke huyu anafanya kazi katika mgahawa wa Kihindi kama mhudumu.
View attachment 3136385
Wabongo tuache uzandiki na uchonganishi! Hili la eti KE anafanya kazi katika mgahawa wa kihidi umeongeza wewe lakini wenyewe wanachojua kama ingekuwa ni laana, basi laana hiyo imesababishwa na ME kwa tabia ya kupenda kucheki movies za kihindi! Sasa tafakari, unading'ana na mkeo lakini akili zote zipo kwenye picha la kihindi, utaacha kumwaga uji la kihindi hapo?Inasemekana mwanamke huyu anafanya kazi katika mgahawa wa Kihindi kama mhudumu.
Nitakuua,nikafie jelaSafi sana, hivyo ndivyo inavyotakiwa. Wanaume mjifunze hapa.
Aaah jamani, mambo ya kuuana tena yanatoka wapiπββοΈπββοΈNitakuua,nikafie jela
Jiaandae kupata kitoto cha kikorea hapo home kwako![emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mimi nnayependa filamu za kikorea itakuaje sasa. [emoji1787][emoji1787]
Na Mwanamke kashinda kesi Mahakamani kwa ushahidi huo wa movie za kihindi!!Mwanaume kashapigwa na kitu kizito,movie na mtoto wapi na wapi,duh mwamba kagongewa na amri shipuli
Kule zinga kwa mtoto Kuna jamaa alimchinjwa mke na mtoto.sababu mambo haya haya.kulea mtoto wa mtu inaumaAaah jamani, mambo ya kuuana tena yanatoka wapiπββοΈπββοΈ