KENYA: Mahakama yatengua matokeo ya Uchaguzi wa Rais. Kurudiwa upya ndani ya siku Sitini(60)

KENYA: Mahakama yatengua matokeo ya Uchaguzi wa Rais. Kurudiwa upya ndani ya siku Sitini(60)

Walio manipulate results wanachukuliwa hatua yoyote??
Tatizo yule jamaa wa Tz alishatia nuksi na vijana wake wa IT kule! Huku walipigwa chini na kumbukumbu zinaonyesha baadhi ya hao vijana walikuwa imported kutoka Kenya.
NASA walitakiwa wakate rufaa mahakama itoe tamko asionekane mtu yeyote mwenye nywele nyeupe toka Tanzania kuanzia sasa mpaka uchaguzi wa marudio upite.
 
Kumbuka majaji hawajasema Raila alishinda. Actually, wamesema sababu kuu ya matokeo ya leo ni kwamba uchaguzi ni 'process' ilhali si 'event'.
Yaani, kulikuwa na issues kadhaa kwa transmission, security features etc. lakini hakuna anaye doubt results. Hizi ndizo huitwa technicalities.
Nasa wenyewe hawakutoa mfano ata mmoja ambapo matokeo yaliyo tangazwa na IEBC katika eneo bunge lolote, yanatofautiana na matokeo waliopewa na agents wao.

Hii yote ndio huitwa circus. Mtazunguka lakini baadaye mnarudi pale pale.
Binafsi, sikudhani korti yaweza sema uchaguzi urudiwe kwa sababu ya technicalities. Lakini iliofanyika imefanyika. Sasa tungoje miezi mbili confirmation.


Uhuru Kenyatta is a thief.

Once a thief always a thief.

Yote yaliyofanyika kwa kuua Chris Msando , na system failure all that was a planned incident.
 
Kenyatta must go , Jubilee must go.

Kenyatta is a thief. Once a thief always a thief.
 
Inawezekana Kenya haipo Afrika... nchi za Afrika na vyombo vyake vya kutoa haki havipo hivi....

Tuitishe mkutano maalum wa AU ili kuindoa Kenya kwenye umoja wetu.
 
Angalau wamethubutu si kama sisi huku watu wanashinda kwa bao la mkono na bado hatuna pa kuwapeleka.
 
Habarini!
Kwanza kabisa napenda niwapongeze wakenya kwa hatua kubwa ambayo system yao ya democrasia upande wa kuchagua rais wamefikia!
Kitendo cha mahakama ya juu kutengua matokea ya urais ambayo yalisema Uhuru Kenyatta ndo mshindi kwa kigezo kuwa hayakuwa halali ni cha kupongezwa.

Kura za wakenya zilidukuliwa ktk computer.
Kitendo hili kimewahi tokea pia Tanzania ingawa huku kwetu matokeo yalitenguliwa na ZEC badala ya mahakama kwa sababu hizi hizi za udukuzi. Hivyo Jecha na team yake wanastahili pongezi nyingi sana kwa kutengua ule ushindi batili wa Seif ktk uchaguzi wa rais Zanzibar 2015.

Tanzania nasi tulikataa huu upuuzi wa kudukua matokeo ya uchaguzi kama majirani zetu walivyofanya! Demokrasia ni kuwaacha wananchi wake wachague viongozi wao wanaowataka wao sio kutumia komputer kwa njia za panya.
Heko to Tanzania na Kenya.
Ndugu yangu huelewi unacho zungumziwa.
 
Habari!
Watanzania tumekuwa tukililia kuwa na tume huru ya kusimamia shughuli yote ya uchaguzi kwa kusema kuwa NEC haina. Hivyo wengine kudiriki kusema iko controlled na walio ktk dola kuweka matokeo kutokana na matakwa ya walio ktk dola.

Wenzetu wa Kenya wana IEBC kama tume huru ya kusimamia shughuli za uchaguzi. Ila ni wazi baada ya mahakama ya juu kutengua ushindi wa Uhuru Kenyatta ambaye alitangazwa na IEBC kuwa ni mshindi ktk uchaguzi ambao ilisemekana ni Free and Fair.

Mahakama kuu imetambua kuwa kuna udukuzi ulifanyika ktk mchakato ambao ulimwezesha Uhuru "kushinda", hivyo wametengua ushindi huo.

Je baada ya kuwapongeza sana wakenya kwa kuwa na tume huru ya uchaguzi, je ni kweli kuwa na tume huru kutaleta matokeo huru?? Je tume huru italeta mgombea aliyechaguliwa na wananchi kihalali??
Ni wazi tume hii haiko "huru" maana imeingiliwa na ni wazi wajumbe wake wamehusika!!

Je kwa haya ya Kenya, je NEC huru ni moja ya solution ya uchaguzi huru na wa haki??
 
Back
Top Bottom