usatrumpjr
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 2,237
- 2,898
Sasa kipindi hicho nchi itakuwa inaongozwa na nani?Ndani ya Siku 60 urudiwe
Huyu jaji msishangae mkakuta ameshapotea baada ya leo...Watu flan hapn kwetu...wajifunze hapo karibu 2...kulind kitachkuja kutokea kam wakiendelea hivhiv
Sent using Jamii Forums mobile app
Sisi tuko na PhD zetu feki ndo tunatumia kuongoza watz mil50
Wapewe ulinzi wa kutosha maana mmmmh!Majaji wa kenya hatari shikamoo kwao