MUSIGAJI
JF-Expert Member
- Dec 26, 2014
- 2,254
- 2,715
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Du hao majaji lazima watapelekwa mikono salama ya chatu.Mahakama kuu nchini Kenya imetengua matokeo ya uchaguzi wa raisi hivyo uchaguzi utarudiwa tena ndani ya siku 60 kwa mujibu wa katiba
1.Uchaguzi haukufanyika kwa taratibu zote zilizotakiwa kulingana na Katiba
2. Utaratibu haukufuatwa katika usafirishaji wa matokeo
3. Kulikuwa na kasoro kadhaa za uchaguzi
Sent using Jamii Forums mobile app
NIPO NAFUATILIA HUKU, NGOJA TUONE NANI NI SHUJAA WA GAME HILIKwa vile leo ni mapumziko na niliowataja wako majumbani sasa hivi basi sio vibaya wakafungulia Luninga zao na kuona Supreme court ya Kenya inafanyaje maamuzi yake kwa uwazi na bila woga kwa kesi ya Uchaguzi wa Urais wa nchi hiyo.
Nimefurahishwa sana na uwazi mkubwa unafanywa na mahakama hiyo ya Kenya na ni wazi tunalo la kujifunza kutoka kwao
Duh..majaji wanatumia kiingereza kigumu mimi sjaambulia kitu
AiseeWakati mwingine wanaweka maneno ya kilatini
Urais tu.ni urais tu au na wabunge? kenya imekomaa kidemokrasia
Huu ndo UKUDA wa nchi za AFRICA, Vijana hawana AJIRA, Kina mama wanateseka, PESA ZOTE ZINAPELEKWA Kwenye UCHAGUZI Masikini WANATESEKA. Hata huo UCHAGUZI wa MARUDIO hautakuwa PERFECT
mafisadi wa kisiasa wanazungumziaga gharama ili wabaki madarakani kiharamuMungu wangu, ina maana uchaguzi utarudiwa tena? gharama za uchaguzi? uwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii. Mungu shusha amani yako kwa majirani zetu, kusitokee ghasia yoyote!
Ni kweli jamani angalie ktn news live saivi