KENYA: Mahakama yatengua matokeo ya Uchaguzi wa Rais. Kurudiwa upya ndani ya siku Sitini(60)

KENYA: Mahakama yatengua matokeo ya Uchaguzi wa Rais. Kurudiwa upya ndani ya siku Sitini(60)

Kwahiyo Odinga ameshinda hoja yake kuwa mfumo wa computer za tume ulipigwa changa la macho na hacker's...??

Wajua naona kama naota vile, aisee wakenya akili kubwa EAC yote kitaamluma, kidemokrasia, kiuchumi, etc.

Aisee Kenya mahakama zao ziko more advanced kuliko zote EAC. The court ruling imeonekana ikitendeka. Kaimu jaji umeona wenzako wanavyosimamia professionalism?? Jaji kasema uchaguzi ulikuwa " null, void and invalid "ahaaa

Waangalizi wa kimataifa aibu yao.

Natamani na mahakama za bongo zifanye reform ya mfumo wake, aisee Tundu Lissu na TLS mna cha kujifunza kutoka Kenya.

Jecha na Maalimu seif mmeona wenzenu??

NB: ulinzi kwa chief jaji uimarishwe Mara dufu maana kafanya maamuzi magumu kwa niaba ya Uhuru wa demokrasia , wasije waka "msando " bure jaji huyo kama yule mkuu wa IT wa tume ya Kenya.
 
Habari wanajamvi....

Hukumu ya kupinga matokeo ya Urais Kenya inatolewa now Look azam two.....

Majaji wanatolea maelezo hoja za pande zinazohusika katika kesi...

Kenya wameonesha demokrasia kubwa sanaaaaaaaaa,Big up Kenya....

Huku kwetu kupinga tu ya Ubunge n kizungu Mkuti......
 
Mahakama kuu nchini Kenya imetengua matokeo ya uchaguzi wa raisi hivyo uchaguzi utarudiwa tena ndani ya siku 60 kwa mujibu wa katiba

1.Uchaguzi haukufanyika kwa taratibu zote zilizotakiwa kulingana na Katiba
2. Utaratibu haukufuatwa katika usafirishaji wa matokeo
3. Kulikuwa na kasoro kadhaa za uchaguzi


Sent using Jamii Forums mobile app
Huu ndo UKUDA wa nchi za AFRICA, Vijana hawana AJIRA, Kina mama wanateseka, PESA ZOTE ZINAPELEKWA Kwenye UCHAGUZI Masikini WANATESEKA. Hata huo UCHAGUZI wa MARUDIO hautakuwa PERFECT
 
Mahakama Kenya yaamuru uchaguzi Kenya kurudiwa. Tume ya uchaguzi ya Kenya yatupia lawama kwa kushindwa kusimamia uchaguzi.
Ushindi mkubwa kwa katiba mpya ya Kenya. Majaji 4 wameunga mkono kufutwa uchaguzi huo na 2 wameunga mkono uchaguzi ulikuwa wa haki.
 
ngoja tusubiri, ila ntacheka na kufurahi sana odinga akitoboa. maana amekuwa na akili za ki utu uzima hakuna kuleta fujo ni kumkimbiza mwizi kimya kimya
Sio kwamba watarudia tena uchaguzi?
 
Back
Top Bottom