KENYA: Mahakama yatengua matokeo ya Uchaguzi wa Rais. Kurudiwa upya ndani ya siku Sitini(60)

KENYA: Mahakama yatengua matokeo ya Uchaguzi wa Rais. Kurudiwa upya ndani ya siku Sitini(60)

Mahakama kuu nchini Kenya imetengua matokeo ya uchaguzi wa raisi hivyo uchaguzi utarudiwa tena ndani ya siku 60 kwa mujibu wa katiba

1.Uchaguzi haukufanyika kwa taratibu zote zilizotakiwa kulingana na Katiba
2. Utaratibu haukufuatwa katika usafirishaji wa matokeo
3. Kulikuwa na kasoro kadhaa za uchaguzi


Sent using Jamii Forums mobile app
Live coverage ya Hukumu inayoendelea.Ni kweli kabisa Uchaguzi unarudiwa.
 
IMG_20170901_114758.jpg
IMG_20170901_114755.jpg
IMG_20170901_114739.jpg
IMG_20170901_114728.jpg
 
Kama hata huna TV fuatilia tweeter live utawaona na kuwasikia Majaji wakisoma hukumu
 
Hayo ndio maamuzi ya mahakama kuu ya Kenya.
Jee demokrasia hiyo yawezekana hapa kwetu?
 
Back
Top Bottom