KENYA: Mahakama yatengua matokeo ya Uchaguzi wa Rais. Kurudiwa upya ndani ya siku Sitini(60)

KENYA: Mahakama yatengua matokeo ya Uchaguzi wa Rais. Kurudiwa upya ndani ya siku Sitini(60)

Kwa hiyo Nchi kwa sasa itasimamiwa/kuongozwa na nani?
 
Jaji aliyetengua matokeo ajihadhari kuondolewa kichwa maana yake watu wapande hizo siyo wa wavivu wa kuondoa vichwa vya wale wanaoonekana kutofauti nao.
 
Habari wanajamvi....

Hukumu ya kupinga matokeo ya Urais Kenya inatolewa now Look azam two.....

Majaji wanatolea maelezo hoja za pande zinazohusika katika kesi...

Kenya wameonesha demokrasia kubwa sanaaaaaaaaa,Big up Kenya....

Huku kwetu kupinga tu ya Ubunge n kizungu Mkuti......
Hii ndio maana ya demokrasia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom