Kisu Cha Ngariba
JF-Expert Member
- Jun 21, 2016
- 22,135
- 48,827
Unataka uyo jaji apotezwe?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Manyumbu yalisema uchaguzi wa Kenya ni free and fair na hakukuwa na wizi..
Aibu kwao manyumbuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii ndio maana ya demokrasia.Habari wanajamvi....
Hukumu ya kupinga matokeo ya Urais Kenya inatolewa now Look azam two.....
Majaji wanatolea maelezo hoja za pande zinazohusika katika kesi...
Kenya wameonesha demokrasia kubwa sanaaaaaaaaa,Big up Kenya....
Huku kwetu kupinga tu ya Ubunge n kizungu Mkuti......
Sijaelewa yaani mimi ndie umeniita "fisadi wa kisiasa"? if yes, kwanini umeniita hivyo?!mafisadi wa kisiasa wanazungumziaga gharama ili wabaki madarakani kiharamu