KENYA: Mahakama yatengua matokeo ya Uchaguzi wa Rais. Kurudiwa upya ndani ya siku Sitini(60)

KENYA: Mahakama yatengua matokeo ya Uchaguzi wa Rais. Kurudiwa upya ndani ya siku Sitini(60)

Wastage of time and resources, RAO will loose again.....
 
Sikio la kufa mkuu. Ila uzuri hicho chama kilishakufa ndiyo maana mizimu ndiyo inashabikia wezi
 
Nasema CHADEMA ni aibu na wanatetea wezi kwa kiwango hiki. Tunawambia kila siku, chama kisiendeshwe na mtu ila sera za pamoja na zinazojisema zenyewe.

Mfumo huu wa CHADEMA wa kutetea hata uovu iwe fundisho.

Mwenyekiti aamuke na kuendesha chama kama taasisi na si matamko ya watu au fikra zao.
Najiuliza hili swali sipati jibu. Kwa nini CDM wanamsupport Uhuru? Ukweli ni kuwa waKenya wamemchoka hadi aliwatisha kuwa watakoma akichaguliwa. Kwenye campaign akisema harambeee, wakawa wanaitikia NASAAAAA!!! Akawatolea uvivu. Sasa iweje ashinde!!1.
 
Sasa Chadema mnasimamia wapi????

Mnakataa maamuzi ya Mahakama????

Mahakama imesema uchaguzi haukufuata demokrasia na nyie mlisema Uhuru ni baba wa demokrasia na uchaguzi umefanywa kwa demokrasia...majibu tafadhali maana hatujui mnasimamia nini toka Dr. Slaa ameondoka.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa vile leo ni mapumziko na niliowataja wako majumbani sasa hivi basi sio vibaya wakafungulia Luninga zao na kuona Supreme court ya Kenya inafanyaje maamuzi yake kwa uwazi na bila woga kwa kesi ya Uchaguzi wa Urais wa nchi hiyo.
Nimefurahishwa sana na uwazi mkubwa unafanywa na mahakama hiyo ya Kenya na ni wazi tunalo la kujifunza kutoka kwao
UPDATE
Mahakama imempa ushindi mwombaji yaani Odinga hivyo uchaguzi umeonekana ulikuwa na kasoro na utarudiwa ndani ya siku sitini.
Nchi za Afrika zijifunze hasa Tanzania
Kenya iko mbele mno ! Nina hakika Raila atashindwa tena
 
Dooo!!!ndo maana hapa ni mwendo udiktetazim kuogopa mambo kama hayo mweh!!!
 
Mahakama ya Kenya inajiendesha yenyewe bila kuingiliwa na MAKANJANJA kama huku kwetu.
 
Chadema walikosea sana kumkumbatia lowasa amewapoteza kwenye platform za siasa
 
Kenyatta is a thief.

Common knwolwedge tells us that, "Once a thief, always a thief!"
 
Uchaguzi wa Kenya mbona watanzania mnaufatilia sana

blame no body
 
Back
Top Bottom