Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SahihiWakenya wanajielewa. Ndilo Taifa kubwa Afrika Mashariki kiuchumi, kidemokrasia pengine hata kitaaluma.
Raila atashindwa tena , ila angalau atakuwa amejiridhisha , kwahiyo maswali yako yatakuwa yamejibiwa kikamilifu .Nashukuru,
Sasa baada ya hoja hio nipe majibu ya maswali yangu.
Sasa hivi hujui ni pigo kivipi?? Kwanza mlimsaliti mpinzani mwenzenu mkamuacha anakanyagwa na SERIKALI bila msaada wenu! Mbaya zaidi ni mtu mliyemsapoti zamani.
Hawa jamaa aibu leo imewafika, wamebaki kujihami.Sema tu kwamba na wewe nyumbu unaona aibu kwa jinsi mgombea wenu alivyopokonywa ushindi. Mlimkosoa hapa na kumdhihaki Raila Odinga na kumwandika vibaya Leo yamewakuta mnaona aibu.
Demokrasia na Haki ya kusikilizwa.Huu ndo UKUDA wa nchi za AFRICA, Vijana hawana AJIRA, Kina mama wanateseka, PESA ZOTE ZINAPELEKWA Kwenye UCHAGUZI Masikini WANATESEKA. Hata huo UCHAGUZI wa MARUDIO hautakuwa PERFECT
Unalinganisha Zanzibar Na Kenya?Itakumbukwa Tanzania kwa upande wa Zanzibar tulifanya uchaguzi wa marudio wa rais baada ya ule uchaguzi mkuu wa 2015 kufutwa
Chakushangaza dunia Maalim Seif alisusia, na CCM ikafanya uchaguzi na kushinda kwa kishindo
Maalim hapa unatakiwa ujifunze, sio kususa tu
kama kweli umeshinda utashinda tena na tena uchaguzi utakaporudiwa
Lakini tofauti hapa kwetu ni katiba kutokuruhusu matokeo ya uchaguzi wa rais kupingwa mahakamani, hivyo Maalim ulitakiwa urudie uchaguzi tu kulingana na taratibu zetu
Wastage of time and resources, RAO will loose again.....
Ni kweli mkuu hasa wale wagombea binafsi!!! itakuwa ishu kwao.T
Ila sidhani kama kuna kampeni, ni shughuli yenyewe ya uchaguzi! NASA na JUNILEE wanaweza, ishu ni vyama vingine vidogo vya upinzani!
Yule white hair ndiye aliyepeleka mbinu chafu za kuingilia server na kujaza vitu vyao?
Original ya afrika mashariki ni kenya, Tanzania na uganda,aliyekaribisha rwanda na burundi ndo inasababibisha tabia za ukurunzinza kushamili!uganda asingeweza kushamili peke yake kwa kipindi ambacho eac ilikuwa inaundwa tz na kenyaAfrikaans mashariki gani unamaanisha Rwanda, Uganda,Burundi na Tanzania n