Otorong'ong'o
JF-Expert Member
- Aug 17, 2011
- 37,957
- 26,414
Njaa mbaya sanaKuwa Jydge Tanzania ni Usakala mtupu. Unakua na Judge kama Warioba anafanya kazi kiueledi kabisa halafu anashambuliwa na kupingwa, baadaye anaitwa meza kuu anaanza kupingana na kile al8chokua akikiamini. Eti Magufuli anatosha. Yaani all over sudden Magufuli anakua ni mtu bora kabisa kuliko Katiba.
Damn