Platformtz
JF-Expert Member
- Apr 26, 2017
- 266
- 405
Kwa kweli Uhuru wa mahakama,na demokrasia ya Kenya ya Leo ni mfano wa kuigwa.
Pongezi za pekee ziwaendee wakenya kwa utulivu wao, Uhuru kenyata kwa kukubali haki itendeke ,Raila Odinga kwa kufuata taratibu za kisheria na majaji kwa kutenda haki.
Nawaombea uchaguzi mwema atakaeshinda apewe ushirikiano nchi isongembele.
Sent using Jamii Forums mobile app
Pongezi za pekee ziwaendee wakenya kwa utulivu wao, Uhuru kenyata kwa kukubali haki itendeke ,Raila Odinga kwa kufuata taratibu za kisheria na majaji kwa kutenda haki.
Nawaombea uchaguzi mwema atakaeshinda apewe ushirikiano nchi isongembele.
Sent using Jamii Forums mobile app