Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haya bana. Kama waliiba sidhani kama sisiemu wangekuwa tayari kuwaachia Dar, Mbeya na Arusha!Kadanganyeni misukule wenzenu wasiojitambua. Matokeo ya Magufuli yaliyotangazwa na NEC yako tofauti na matokeo halisi ya karibu kila kituo ila kwa vile sheria zenu za Kikaburu eti matokeo hayahojiwi kokote!!
ACHA nikae KIMYA...!
inauhusiano gani na kinachojadiliwa hapo.Mwambie mwenyekiti achague Jaji mkuu, mambo ya kukaimu anajichoresha
Mbowe ni jaji au spika wa bunge? muhimili uliojichimbia chini unaujua.Mkumbushe mwenyekiti juu ya hili. Hatuwezi fika hapa kwa mawazo ya kukopa.
Wanai-FUND na tume ya uchaguzi ?Wanajigharamia wenyewe sio serikali.
Hii aibu chadema sijui mtaficha wapi,Kenya Mungu awabariki mnaonesha Dunia kwamba Africa hasa kwenye Elimu nzuri kuna ustaarabu wa kutosha baada ya Ghana,Afrika kusini na Zambia Demokrasia ya Kenya na vyombo vya maamuzi mmeonesha dunia tunaweza.
Niko kwa Uhuru lakini uamuzi huu naupongeza sana kwasababu haki ni muhimu kuliko mapenzi.
Tanzania hakuna uchaguzi kuna maigizo Mkuu. MTU mmoja anaweza kuamua nani ashinde na kwa kura ngapi tofauti na maamuzi ya wapiga kura.Kama huo uamuzi wa mahakama utafuatwa...bac Kenya watakua mfano wa kuigwa Africa..hasahasa si watanzania, tujufunze kuheshimu mahakama na kutokuingilia maamuzi ta mahakama..
Kenyatta...nae anapaswa kupongezwa....sababu angekua kiongozi wa Kiimla hata hiyo kesi kupelekwa mahakamani isingefika....Chukulieni mfano wa hapa kwetu....mara uchaguzi unafutwa ovyoovyo....etc
Sent using Jamii Forums mobile app
Alafu Kenya hamna sikukuu ya Eid? Mbona mahakama inafanya kazi leo
Gharama zimefanyaje sasa? Ina maana wewe ukinunua chakula fake safarini utaendelea kula tu kwa sababu umetumia gharama kukinunua?Mungu wangu, ina maana uchaguzi utarudiwa tena? gharama za uchaguzi? uwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii. Mungu shusha amani yako kwa majirani zetu, kusitokee ghasia yoyote!
Hueleweki bwana mdogoKila kitu mnachishabikia kinaangukia pua!
Lowassa sijui ananisikiaje wakati huu!
Hivi inajisikiaje wewe mpinzani kushabikia chama tawala amabcho mahakama inasema kabisa kilibaka uchaguzi.
......
Hivi wewe thomaso unaishi Syria? Au Afrika mashariki? Ubishi wako ni wa kishamba sana.
Tanzania ipi mkuu...?hahaMaalim Seif, usife moyo. Haya yatafika tu Tanzania. Mungu yupo.