KENYA: Mahakama yatengua matokeo ya Uchaguzi wa Rais. Kurudiwa upya ndani ya siku Sitini(60)

KENYA: Mahakama yatengua matokeo ya Uchaguzi wa Rais. Kurudiwa upya ndani ya siku Sitini(60)

Inawezekana Kenya siyo nchi nyingine za EA. Zanzibar, Tanganyika huruhusiwi hata kuhoji au kuzungumzia matokeo ya urais na ndiyo maana kuna rafu na sarakasi za wazi za kila aina, sijui Rwanda, Burundi, S.Sudani na Uganda.

Hata Rais kutoshitakiwa ndiyo kunako wapa kibuli cha kufanya watakayo hata kama ni kinyume na katiba.

Hapa kuna mkanganyiko wa kikatiba wanasheria watusaidie kufungua kesi mahaka husika.

Katiba inatamka hakuna chombo kilichopo au mtu aliyopo juu ya sheria, na kwamba rais atatii katiba.

Ataitii vipi kama akiivuja hawezi kushitakiwa?
Kenya imeonyesha njia ambayo inaweza kutumika kama footstep kwa karibu labda tz kama wabongo wakikomaa mana uganda,rwanda na burundi hakuna dalili labda masia akirudi mara ya pili huko raisi ni kama kaka yake yesu au mtume!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mahakama za Kenya ziko vizuri Sana na huru

Tatizo la mahakama zetu siyo majaji, ni Katiba. Tatizo letu kubwa ni KATIBA
tatizo sio katiba,tatizo ni majaji,plain and simple,

jaji anapofanya kazi huko anahofia nikifukuzwa kazi wanangu watakula nini,jaji huyo hawezi kutenda haki,
daima atapokea maagizo kutoka juu
 
naomba niwekwe kwenye kumbukumbu,uhuru bado atakua raisi wa kenya!
 
Huu ndo UKUDA wa nchi za AFRICA, Vijana hawana AJIRA, Kina mama wanateseka, PESA ZOTE ZINAPELEKWA Kwenye UCHAGUZI Masikini WANATESEKA. Hata huo UCHAGUZI wa MARUDIO hautakuwa PERFECT

Kwahiyo ulitaka mtu aliyeiba kura atawale eti sbb watu hawana ajira? Uwezo wako wa kufikiri uko chini sana aisee. Yaani kosa lihalalishwe sbb ya ttz jingine? Haya bana kila la heri
 
JF Bwana! kipindi cha uchaguzi waliokuwa upande wa Uhuru eti leo, wanaona Odinga kafanya vema! hahahahahahaha
ni kichaa tu kama wewe ambae hataona umuhimu wa kuwa na vyombo huru katika mihimili ya serikali. Huko Tanzania Majaji wanamuona magufuli kama mungu
 
Kwa vile leo ni mapumziko na niliowataja wako majumbani sasa hivi basi sio vibaya wakafungulia Luninga zao na kuona Supreme court ya Kenya inafanyaje maamuzi yake kwa uwazi na bila woga kwa kesi ya Uchaguzi wa Urais wa nchi hiyo.
Nimefurahishwa sana na uwazi mkubwa unafanywa na mahakama hiyo ya Kenya na ni wazi tunalo la kujifunza kutoka kwao
UPDATE
Mahakama imempa ushindi mwombaji yaani Odinga hivyo uchaguzi umeonekana ulikuwa na kasoro na utarudiwa ndani ya siku sitini.
Nchi za Afrika zijifunze hasa Tanzania

Huku kwetu tuna "kaimu" jaji mkuu. Ili ateuliwe kuwa jaji mkuu lazima aonyeshe upendeleo kwa chama tawala na serikali yake
 
View attachment 579604 Hivi punde,Mahakama ya Juu ya Kenya imeridhika na hoja za Umoja wa Vyama vya Upinzani (NASA) kuwa uchaguzi haukufuata Katiba na sheria na ulikuwa na kasoro. Ni uamuzi wa Majaji wengi.

More to come...


=======
Updates:
=======

Amri za Mahakama ya Juu ya Kenya

1. Uchaguzi ulikuwa batili

2. Mshindi ni batili

3. Uchaguzi mpya uitishwe ndani ya siku 60

4. Kila upande ubebe gharama zake

5. Hukumu itapatikana ndani ya siku 21 kuanzia leo

=======

The Supreme Court has quashed President Uhuru Kenyatta's re-election, ordering for a fresh presidential election in 60 days.

The court stated that IEBC did not conduct free and fair elections but cleared Kenyatta of any malpractice.

They also stated that the irregularities experienced affected the final outcome of the election.

Out of the 7 judges, 2 (Justice Jackton Ojwang' and Njoki Ndung'u) gave dissenting views saying the election was free and fair.

Chief Justice David Maraga, however, stated that what they read was a 'determination of the court and not a ruling'.

Maraga stated that the election of President Uhuru Kenyatta is null and void and he was not validly elected.

He further ordered a fresh election in 60 days according to the law.
Kenya nitaendelea kuwaheshimu daima. Kwa Africa Mashariki na zaidi kwa Africa mmeonyesha kupiga hatua kubwa kidemokrasia kwa uamuzi huo wa mahakama.
 
CHADEMA ilijipambanua wazi kuungana na mwizi Uhuru kwa keti dhaifu sana ya kumkomoa Raila.

Wengi walisema, imekosea. Imekosea kwa sababu wao ni wapinzani na si watawala.

Nasema CHADEMA ni aibu na wanatetea wezi kwa kiwango hiki. Tunawambia kila siku, chama kisiendeshwe na mtu ila sera za pamoja na zinazojisema zenyewe. Kitendo cha Lowassa kutaka kutumia chama kujitukuza matokeo yake ni kukosa mwelekeo.

Lowassa anatafuta utukufu wake binafsi na sasa matokeo yake tunaona.

Mfumo huu wa CHADEMA wa kutetea hata uovu iwe fundisho.

Mwenyekiti aamuke na kuendesha chama kama taasisi na si matamko ya watu au fikra zao.
Sisiemu ijifunze kuwa tume huru ya uchaguzi na matokeo ya urais kuhojiwa mahakamani ni nguzo muhimu kwa ukuaji wa demokrasia. Ubakaji wa demokrasia ni kudumaza maendeleo ya nchi...
 
Mahakama kama haitawachukulia hatua walioharibu uchaguzi wao nao watakua mabwege. Tia kolokolon adabu iwepo, vinginevyo watafanya uchaguzi kila siku.
 
Hakika katika Africa Kenya ni nchi yenye demokrasia,wantanzania tunatakiwa tujifunze kitu hapa,mahakama nchini kenya imeonyesha mfano wa kuigwa.
 
Kenyatta is a thief from past regimes of president Moi and President, Kibaki .

"Once a thief, always a thief!! "




Ili upate jibu zuri ni.lazima uhakikishe kwanza kuwa TL anakuwa na hekima tatizo kuongea bila strategies ni ujuhuha.

Mfano, Chadema wangetumia hata roho tu ya akili ya Mchungaji Mtikila (RIP) hicho kingewezekana.

Ila hii akili ya maandamano , fujo, kumtukana rais, haitakaa iwezekane kamwe.

Mfano, RAO na NASA, walitumia hekima sana baada ya kuona watu wataingia mitaani Raila (RAO) akawatuliza wafuasi wake kuwa sasa, tunaenda mahakamani.

Hiyo ndiyo akili, hakika sasa Raila anastahili kuwa Rais wa Kenya kwa hekima na ukomavu aliouonesha.

Waambie upinzani, watumie akili ila wakitumia chiriku language ya LT hakika hata Miaka 1000+ hakuna watakachoambulia hata kama kutakuwa na katiba mpya, mahakama huru na tume huru ya uchaguzi.

Mkuu nafikiri uwepo mahakama huru, tume huru ya uchaguzi, katiba sahihi.. Sidhani kama hawa wapinzani wa Tanzania wataendelea kuandamana..
 
Back
Top Bottom