Kenya: Markets Construction Boom

Inaitwa fractional reserve banking. Najua Tanzania hamfunzwi kuhusu pesa.
Fractional Reserve Banking.

Ingekuwa huko kwenu mnafundishwa kuhusu pesa vizuri msingekopa zaidi ya uwezo wenu. Halafu anaekopa hafanyi vile inatakiwa.. anakopa then anafanyie mambo mengine nyie wananchi ndio mnabakia kuumia kulipa deni wakati waliokopa wanakula raha tu.

Na venye vili hamjui kuhusu pesa mko tu kama mazuzu mmetulia tu bila kuishinikiza serikali ifanye miradi ya maana na kuacha kutumia fedha za umma vibaya ila mlivyo wa ajabu mna andamana eti kisa bungeni hakuna wamama wa kutosha. Nyie hopeless kabisa, hamjijui na hamjui mnataka nini.
 
Naona wewe masomo imekupita.
i) Amerika imekopa 100% ya GDP
ii)China imekopa 200% ya GDP.

sasa wewe mtanzania, deni kidogo umeshindwa kulipa unataka kutuambia nini.
Dunia mzima imeogopa kuwapa deni kwa sababu ya uvivu na wanajua GOT haiwezi lipa.

Kaka, unachoweza kufanya sahi enda ule mihogo na maharage yako uliyo andaliwa na bibi yako, ya Kenya inakuzidi. Hata Rais wenyu ajaribu aje, katu hamtofikia Kenya.
 
na wewe unapenda sana haya maneno ya vyakula..niulize kwani wewe ni mpishi?
Yawezekana anaependa chakula akawa mpishi. Sasa hiyo nimemjibu mwenzio hapo.

Sasa na wewe unaependa kuparamia wanaume kwa comment bila kujua chanzo chake ni mtu wa aina gani? Eti? Mbona unajipendekeza kwa wanaume utakuwa ni mtu gani wewe?
 
Yawezekana anaependa chakula akawa mpishi..sasa hiyo nimemjibu mwenzio hapo.

Sasa na wewe unaependa kuparamia wanaume kwa comment bila kujua chanzo chake ni mtu wa aina gani? Eti? Mbona unajipendekeza kwa wanaume utakuwa ni mtu gani wewe?
Wacha hasira kama mwanamke wewe!! Uko na hasira na mtu ambaye humjui? Kisa na maana ati unataka kulazimisha Tanzania ni bora kuliko bora kenya ilhali dunia nzima inajua penye mko. My best advise stop living in denial and avoid putting all your energy on baseless argument. By the uko na kazi kweli yakufanya?
 
Huyo ndiyo resident mad man, ukitaka kujua mji inakua azima watu kama hao wapatikane.
 
Yajengeni tena kwa wingi sana sababu tunajua ni watanzania ndio tunajengewa, ninyi ni sellers wetu tu, bidhaa zote za hayo masoko Kenya nzima zinatoka Tanzania, kwa hiyo hayo ni masoko yetu 😁😁😁😁😁
 
The aim is to formalize the informal traders,to promote better food handling practises and to try and get rid of middlemen within the supply chain in order to increase earnings for Kenyan farmers.

All markets come equipped with cold storage facilities to prevent losses especially to traders who sell fish and poultry, who have suffered in the past with heavy losses due to their stock going bad.

GOK hopes that very soon they will have had the hawker problem under control too.

Traders from other countries in east africa who have recently invaded Kenyan markets will not be considered at the time of allocating the spaces, it is only Kenyan traders and GOK will not allow them to set up shop along road reserves or on the streets.
 
This is good. Formalising these markets will reduce agricultural losses.
 
Which ones are completed?
 
This is the sexiest building in Africa right now. It is called the commercial bank of Ethiopia. It is the tallest building in Ethiopia and second tallest in East Africa at a height of 198 metres. Inawaka but it is also like a tv screen. I hope we end up having atleast one building like this in Kenya.

 
Kwani kati ya kunyaland na Tz ni nani aliepewa onyo apunguze kukopa kopa ovyo? BRT sasa inakwenda phase 3 wewe unaongelea phase two ambayo inakaribia kuzinduliwa?

Hizo fibre tayari tuna mkongi wa Taifa umesambaa nchi nzima hadi wilayani huko ndani ndani na pia tunavusha hadi nchi za jirani tunawasambazia net tu au nalo hilo hujui? Nyinyi si bado mko na maballon huko?

Bila WB huko hamuwezi hata kujenga KM moja ya lami sio? Dar port iko na oil jetty kubwa mbili, iko oil jetty Tanga port na soon tutakuwa na Mtwara oil jetty. Dar port imekuwa expanded sana tu na inaunganishwa na SGR ya umeme..huko mmeshakuwa na ndoto kama hizo?
 

My advice kid, acha kujipendekeza kwa wanaume. Kawaida unajilinganisha na anaekuzidi, sasa kunya mmetuzidi nini zaidi ya mbio?
 
Uongo tu hapo nayo watanzania mnajua sana

i) Watanzania wanao weza ku access internet ni 40% pekee hiyo yako ati ya fibre kuenda nchi mzima ni ndoto yako na magufuli.

ii) BRT iko na one line, hiyo phase 2 hata world bank yenye iliowapa mkopo ya phase 1 imecomplain uvivu na ikafunga kidogo mfereji.Bado mna ngoja watoe tena pesa ya phase ya tatu na ya pili hamjamaliza.

iii) Naona mwanaume hujui Mombasa port inajenga the largest oil terminal in east africa, na sahi hata mushikanishe port zenyu zote bado Mombasa inawazidi mara tatu.

iv) Wacha ndoto zingine za ujinga wewe umeona train ya umeme hapo Tanzania? Kitu imekwama hata 200km ya kuanza mmeshindwa kumaliza, mturuki naye amefilisika kwa sababu GOT haijamlipa na wazungu wa standard chartered wamekataa kutoa mkopo ya $1.4 billion mliyo waomba.
 
My advice kid, acha kujipendekeza kwa wanaume. Kawaida unajilinganisha na anaekuzidi, sasa kunya mmetuzidi nini zaidi ya mbio?
Bro haina aja tuvutane na mabisho yenye haina msingi ilhali niwewe pia uliingilia mazungumo yangu..by the way if you feel that tanzania is better than kenya ..thats your opinion and we respect it. Everyone is entitled to his/her opinion. but jiulize mbona watalaam wanasema kenya is the economic giant of East Africa. Last time your members of parliament walikua wana mazungumzo kuhusu Kenya na tena walikua wanasema kenya is more developed and tz should stop fearing them and corporate with them for development.

Hii tabia ya chuki sijui ilitoka wapi. ungekua mjanja badala kubishana ..ungemtafta mkenya mmoja mupige deal nayeye ili upate pesa.juu kenyans are good at that..badala kuwachukia. honestly mimi nikipata tz mwenye anataka market ya bidhaa zake mbona nimsaidie tupate hela sote na tuendele..hii chuki achana nayo.it will drain you more and at the end of the day. Wewe ndio utaonekana mjinga.
 
Corruption projects, na hamna ishu nyingine hapo.
Corruption iko but wajua nini. What puzzled the world nikua ata kama corruption iko the economy of Kenya is still growing like as nothing bad is going on. world bank juzi wenyewe walishtuka kuna corona na partial lockdown in kenya but still economy ilikua inapanda kupanda, hasimami.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…