Kenya: Markets Construction Boom

Kenya: Markets Construction Boom

bro haina aja tuvutane na mabisho yenye haina msingi ilhali niwewe pia uliingilia mazungumo yangu..by the way if you feel that tanzania is better than kenya.

Thats your opinion and we respect it. Everyone is entitled to his/her opinion. But jiulize mbona watalaam wanasema kenya is the economic giant of East Africa. Last time your members of parliament walikua wana mazungumzo kuhusu kenya na tena walikua wanasema kenya is more developed and tz should stop fearing them and corporate with them for development.

Hii tabia ya chuki sijui ilitoka wapi. ungekua mjanja badala kubishana ..ungemtafta mkenya mmoja mupige deal nayeye ili upate pesa.juu kenyans are good at that..badala kuwachukia. honestly mimi nikipata tz mwenye anataka market ya bidhaa zake mbona nimsaidie tupate hela sote na tuendele..hii chuki achana nayo.it will drain you more and at the end of the day..wewe ndio utaonekana mjinga.
Taratibu naona akili zinaanza kukurudia. Halafu ziwezi kupoteza muda wangu kwa chuki juu ya kenya..for what? Hao wataalam wanaosema kenya ndio giant area hii ndio hao hao wanaowaletea msaada wa chakula sio? Na ndio hao wanaofaidika na miradi hapo kuliko wakenya sio? Wewe uliona wapi giant country ikipewa food donations? Uliona wapi giant country inashindwa kulipa watu wake salary? Giant country kwenye ugatuzi hapo mnashindwa jinsi ya kupata formula ya kugawana fedha za maendeleo?

Muwe mnajiongeza bhas na nyie, sasa mnaitwa giant halafu na nyie kama makasuku mnaimba tu giant ila kwa ground hamna kitu.. halafu Tz haina chuki na Kenyaland,
 
Taratibu naona akili zinaanza kukurudia. Halafu ziwezi kupoteza muda wangu kwa chuki juu ya kenya..for what? Hao wataalam wanaosema kenya ndio giant area hii ndio hao hao wanaowaletea msaada wa chakula sio? Na ndio hao wanaofaidika na miradi hapo kuliko wakenya sio? Wewe uliona wapi giant country ikipewa food donations? Uliona wapi giant country inashindwa kulipa watu wake salary? Giant country kwenye ugatuzi hapo mnashindwa jinsi ya kupata formula ya kugawana fedha za maendeleo?

Muwe mnajiongeza bhas na nyie, sasa mnaitwa giant halafu na nyie kama makasuku mnaimba tu giant ila kwa ground hamna kitu.. halafu Tz haina chuki na kunyaland,
do you have something else
Kiukwel nchi yetu nimasikini sana nimetembelea nchi za wenzetu kama Angola , Botswana, South Africa, Namibia, Congo Brazzaville, nimeamini Tanzania tupo stone age.

huyu ni Your fellow tz talking about situation on the ground. so i wont continue arguing with you. Try to solve your problems first before poking your nose on kenya affairs
 
do you have something else


huyu ni Your fellow tz talking about situation on the ground. so i wont continue arguing with you. Try to solve your problems first before poking your nose on kenya affairs

Umejuaje kama huyo jamaa ni mtzed? Mimi mwenyewe mbona ni mkenya na najua kenya iko mbele kwa mdomo mdomo ila when it comes to real sustainable development TZ iko vizuri kutuliko. Kenyaland ni past glory mzeiya, labda nikuulize tu, is Great Britain still great?
 
do you have something else


huyu ni Your fellow tz talking about situation on the ground. so i wont continue arguing with you. Try to solve your problems first before poking your nose on kenya affairs
Just for reminder👇👇
Screenshot_20200925-211412_1601198498639.jpg
 
Umejuaje kama huyo jamaa ni mtzed? Mimi mwenyewe mbona ni mkenya na najua kenya iko mbele kwa mdomo mdomo ila when it comes to real sustainable development TZ iko vizuri kutuliko. Kenyaland ni past glory mzeiya, labda nikuulize tu, is Great Britain still great?

[/QUwachana na mambo ya great britain..apa jambo hususwa ni kati ya tz na kenya which is better and more developed..can you give me better statitistics and proven data to show us how tz is better than kenya?
 
Just for reminder👇👇View attachment 1582372
Hapo umesema kweli..juu ata nashanga nao..tz nikama..ni mfano ya nchi yenye imeunda bunduki..alafu sasa wanamka siku moja wanasema hao ndio super power wanaeza vita na marekani..hawajui having electric sgr does not mean you are economic giant..waangalia kina angola wamejenga hadi commuter railway nzuri bado kenya overtook them interms of economy and development.
 

Tanzania is much better in many aspects, social services Tz iko mbele kuanzia schools, hospitals, water supply, electricity supply na hii ni kwa nchi nzima bila kujali mikoa ya pembezoni.

Ownership of resources especially land, food security, safety and security of people. Economic inclusiveness and sustainable development.

Road network hadi mikoa na wilaya za pembezoni huko despite the size of her land mass. Tz iko well connected. Na for your info, nimekaa kenya sanaa na nimekaa Tz sanaa pia. Hivyo hayo naongea kwa experience vile nimezungukia pande zote hizi mbili. Timo25
 
Tanzania is much better in many aspects, social services Tz iko mbele kuanzia schools, hospitals, water supply, electricity supply na hii ni kwa nchi nzima bila kujali mikoa ya pembezoni.

Ownership of resources especially land, food security, safety and security of people. Economic inclusiveness and sustainable development.

Road network hadi mikoa na wilaya za pembezoni huko despite the size of her land mass. Tz iko well connected. Na for your info, nimekaa kenya sanaa na nimekaa Tz sanaa pia. Hivyo hayo naongea kwa experience vile nimezungukia pande zote hizi mbili. Timo25
Then why is tz ranked among poorest countries in africa?why does kenya have the best infrusture in east africa..why does the economy of kenya better than tz..economy of Nairobi alone ina compete na the whole country of tz?best hospitals in east africa are found in kenya? when it come to technology ata usiseme..why investors flock to kenya to invest?

Kenya is not a force to reckon..waga mnasema waga ati corruption na umaskini iko kenya mingi..do you know what ata kama ziko kenyan economy inapanda kupanda..till it buffles the whole world..kenya imekua na scandles mob tangu moi's regime na bado economy inapanda kupanda haisimami..ethiopia tried to overtook kenya in 2017 but it was overtaken back na sioni ikiiipita tena sai we are trying to fight morocco..na kina Nigeria.
 
Wacha kutangaza ujinga yako wazi. WB na IMF wana ogopoa kuwapa deni. Mlijaribu kuomba ya sgr WB ikakataa, BRT phase 2 WB wamefunga mfereji kwanza kwa sababu ya uzembe yenu, imebidi muende kuomba deni ($1.4 billioni) on commercial terms kutoka benki ya uingereza ambayo itakuwa na interest kubwa kuliko concessional na bilateral loan zenye Kenya huchukua.

Na hiyo deni pia hiyo benki inafikiria mara mbili kuwapa, Huku Kenya tumezoea WB kuingilia miradi ya serikali na kutoa pesa kwa wingi.

sahi wenyewe WB wametoa kes 81 billion ya kujenga highway ya 745 km na kuweka network ya fibre cables kuelekea mandera kutoka isiolo ambayo ni mpango wa lapset nyinyi hata kupanua port hakuna nchi inataka kuwasaidia.
Acha kujifanya unajua kila kitu kuhusu Tz na kuongea strory za uongo.

WB wamefunga mfereji upi. Mbona wametupa loan ya BRT phase 3 and 4 , Loan ya Rehalibitaion ya MGR (300mil usd), na Loan ya Dar port Expanison, Loan ya DmdP(300mil usd) ...unataka tuchukue loans ovyo ovyo kama nyie.. kwani nyie waliwapa loan ya SGR?
 
then why is tz ranked among poorest countries in africa?why does kenya have the best infrusture in east africa..why does the economy of kenya better than tz..economy of Nairobi alone ina compete na the whole country of tz?best hospitals in east africa are found in kenya?

when it come to technology ata usiseme..why investors flock to kenya to invest?kenya is not a force to reckon..waga mnasema waga ati corruption na umaskini iko kenya mingi..do you know what ata kama ziko kenyan economy inapanda kupanda..till it buffles the whole world..kenya imekua na scandles mob tangu moi's regime na bado economy inapanda kupanda haisimami..ethiopia tried to overtook kenya in 2017 but it was overtaken back na sioni ikiiipita tena sai we are trying to fight morocco..na kina nigeria
Wewe bado ni mtoto hujajua dunia inavyokwenda wewe. Yani Tz iko ranked poorest country in Africa na wewe una amini? Hebu taja list ya nchi kumi kwa uchumi mkubwa Africa halafu ndio utajua haujui. The problem with you kenyan ni kwamba huwa hamfanyi tafiti kabla ya kuzungumza mambo..nyie mmejifungia hapo kwenye slums tu hamna mnachojua. Ulishawahi kufika Tz wewe?

Mko na hospital mbili tu hapo kenya za kisasa na viwango, the rest ni upuuzi tu. Raia kibao wanavuka kutibiwa Tz huku maana hakuna hospital za viwango huko. Nyie nchi yote iko nairobi, out of nairobi hakuna kitu ndio maana nakwambia hujui unachozungumza. Na jaribu kutafiti kwanza habari na kufatilia..kenya system yenu imefanya makusudi kuwadanganya kuhusu Tz na imetumia nguvu kubwa sana..matokeo yake mambo yanabadilika ndio maana unaona kwa sasa Tz ndio inayo dictate terms na mnafata..fungueni akili hizo acheni uzwazwa.

Kwa taarifa yako Tz imeshawapita na mkicheza karata zenu vibaya kwenye uchaguzi ujao Uganda na Rwanda zitawapita pia. Kwasababu nyie mnajidai wajuaji sana na niwajuaji wa mdomo mdomo tu wakati hamjui chochote..ndio maana kila mnachogusa kina fail.
 
Wewe bado ni mtoto hujajua dunia inavyokwenda wewe. Yani Tz iko ranked poorest country in Africa na wewe una amini? Hebu taja list ya nchi kumi kwa uchumi mkubwa Africa halafu ndio utajua haujui. The problem with you kenyan ni kwamba huwa hamfanyi tafiti kabla ya kuzungumza mambo..nyie mmejifungia hapo kwenye slums tu hamna mnachojua. Ulishawahi kufika Tz wewe?


Mko na hospital mbili tu hapo kenya za kisasa na viwango, the rest ni upuuzi tu. Raia kibao wanavuka kutibiwa Tz huku maana hakuna hospital za viwango huko. Nyie nchi yote iko nairobi, out of nairobi hakuna kitu ndio maana nakwambia hujui unachozungumza. Na jaribu kutafiti kwanza habari na kufatilia..kenya system yenu imefanya makusudi kuwadanganya kuhusu Tz na imetumia nguvu kubwa sana..matokeo yake mambo yanabadilika ndio maana unaona kwa sasa Tz ndio inayo dictate terms na mnafata..fungueni akili hizo acheni uzwazwa.

Kwa taarifa yako Tz imeshawapita na mkicheza karata zenu vibaya kwenye uchaguzi ujao Uganda na Rwanda zitawapita pia. Kwasababu nyie mnajidai wajuaji sana na niwajuaji wa mdomo mdomo tu wakati hamjui chochote..ndio maana kila mnachogusa kina fail.
My friend penye nafanyia kazi ..tuko na ofisi hadi dar es salaam..nimewai kuja uko several times ni venye corona ilipotokea waga hatukuji uko...na pia tunafanya kazi na watanzania wengi ndio maana waga sipendi kuwatusi and we work very well.they envy kenya so much.hii si sisemi ati juu nataka kudanganya but nakuambia tu ukweli. hao wanasema kenya iko sawa..but kuna mabadiliko tz si kama kitambo tangu nianze kuenda uko but still you have to work harder ndio mfikie.
 
my friend penye nafanyia kazi ..tuko na ofisi hadi dar es salaam..nimewai kuja uko several times ni venye corona ilipotokea waga hatukuji uko...na pia tunafanya kazi na watanzania wengi ndio maana waga sipendi kuwatusi and we work very well.they envy kenya so much.hii si sisemi ati juu nataka kudanganya but nakuambia tu ukweli. hao wanasema kenya iko sawa..but kuna mabadiliko tz si kama kitambo tangu nianze kuenda uko but still you have to work harder ndio mfikie ...
They envy kenya for what if i may ask?
 
They envy kenya for what if i may ask?
ni mengi kuanzia mazingira ,ata uhuru ambayo iko kenya..mimi nikiwa dar es salaam si rahisi nitembee uku na uku unless niko na my coleagues juu harassment from police especially wakigundua wewe ni mkenya..ata wenyewe husema barabara za uku ziko poa sana..you will never ever find me abusing tz..ni venye nimeshaanga hapa kwa jamii forum mnachukia kenya sana lakini tz ambao nafanya kazi nao hakuna ata chuki moja waga tunao pamoja..
 
Uongo tu hapo nayo watanzania mnajua sana

i) Watanzania wanao weza ku access internet ni 40% pekee hiyo yako ati ya fibre kuenda nchi mzima ni ndoto yako na Magufuli.

ii) BRT iko na one line, hiyo phase 2 hata world bank yenye iliowapa mkopo ya phase 1 imecomplain uvivu na ikafunga kidogo mfereji.Bado mna ngoja watoe tena pesa ya phase ya tatu na ya pili hamjamaliza.

iii) Naona mwanaume hujui Mombasa port inajenga the largest oil terminal in east africa, na sahi hata mushikanishe port zenyu zote bado Mombasa inawazidi mara tatu.

iv) Wacha ndoto zingine za ujinga wewe umeona train ya umeme hapo Tanzania? Kitu imekwama hata 200km ya kuanza mmeshindwa kumaliza, mturuki naye amefilisika kwa sababu GOT haijamlipa na wazungu wa standard chartered wamekataa kutoa mkopo ya $1.4 billion mliyo waomba.
Unaongea kama punga. BRT phase 2 imesimama? Ulisimamisha ww? Leta ushaidi hapa mombasa ni mara tatu ya bandari zote Tz....kusu internet wala hakuna haja ya kuwajibu mapimbi km nyie
 
Uongo tu hapo nayo watanzania mnajua sana
i) Watanzania wanao weza ku access internet ni 40% pekee hiyo yako ati ya fibre kuenda nchi mzima ni ndoto yako na magufuli.
ii) BRT iko na one line, hiyo phase 2 hata world bank yenye iliowapa mkopo ya phase 1 imecomplain uvivu na ikafunga kidogo mfereji.Bado mna ngoja watoe tena pesa ya phase ya tatu na ya pili hamjamaliza.
iii) Naona mwanaume hujui Mombasa port inajenga the largest oil terminal in east africa, na sahi hata mushikanishe port zenyu zote bado Mombasa inawazidi mara tatu.
iv) Wacha ndoto zingine za ujinga wewe umeona train ya umeme hapo Tanzania? Kitu imekwama hata 200km ya kuanza mmeshindwa kumaliza, mturuki naye amefilisika kwa sababu GOT haijamlipa na wazungu wa standard chartered wamekataa kutoa mkopo ya $1.4 billion mliyo waomba.
Najua train ya umeme ambayo ndio ndefu zaid Afrika zima inakuogopesha sn ....wala usilielie dude linakuja kwa nguvu ya kutosha....ilimfundishwe kidgo ushuzi wa nchi unao shindwa kujenga mpka bus terminal[emoji57]
 
Ni mengi kuanzia mazingira ,ata uhuru ambayo iko kenya..mimi nikiwa dar es salaam si rahisi nitembee uku na uku unless niko na my coleagues juu harassment from police especially wakigundua wewe ni mkenya..ata wenyewe husema barabara za uku ziko poa sana. You will never ever find me abusing tz..ni venye nimeshaanga hapa kwa jamii forum mnachukia kenya sana lakini tz ambao nafanya kazi nao hakuna ata chuki moja waga tunao pamoja.
Hahaha you are laughable kid. Nilidhani uko na akili kidogo hata ya kuvukia barabara kumbe hamna kitu! Sasa mtzed alivutiwa na mazingira yapi ya kenya? Ya dandora au lokchar?

Unajua maana ya uhuru? Yani unataka kusema kenya ni salama zaidi kutembea usiku kuliko Tz? Wewe jinga sana, huko kenya ukikoswa na vibaka bhas ni polisi wanakudandia..police brutality ipo kenya sio Tz. Huko mnachapwa tu kama mang'ombe, halafu polisi wa bongo hawasumbui wageni kabisa, ila hapo kenya ukijulikani ni mtzed tu tayari utaitwa mkora na kuwekwa ndani. Vile ile kitu kenya inaishinda Tz ni ku chew jaba freely bila masansee kusumbua.
 
corruption iko but wajua nini..what puzzled the world nikua ata kama corruption iko the economy of kenya is still growing like as nothing bad is going on. world bank juzi wenyewe walishtuka kuna corona na partial lockdown in kenya but still economy ilikua inapanda kupanda..hasimami..
Na bado kwa akili yako ulishindwa kujua kwanini uchumi ulipanda kwa 1.4%[emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom