Nikulize kitu, unamini alicho sema huyo jama?Do you have something else
Huyu ni Your fellow tz talking about situation on the ground. so i wont continue arguing with you. Try to solve your problems first before poking your nose on kenya affairs
Ivi ww unaongea kwa kushirikisha akili yako kwaiyo nchi ambayo ni lower middle income ni poor in Africa real?[emoji57]mnaongozana kuja Tz kutibiwa mnajita mna huduma zuri za afya, hata kukujibu ni kichefuchefu mana ni chenga tubu kwa kichwa.then why is tz ranked among poorest countries in africa?why does kenya have the best infrusture in east africa..why does the economy of kenya better than tz..economy of Nairobi alone ina compete na the whole country of tz?best hospitals in east africa are found in kenya? when it come to technology ata usiseme..why investors flock to kenya to invest?
Kenya is not a force to reckon..waga mnasema waga ati corruption na umaskini iko kenya mingi..do you know what ata kama ziko kenyan economy inapanda kupanda..till it buffles the whole world..kenya imekua na scandles mob tangu moi's regime na bado economy inapanda kupanda haisimami.
Ethiopia tried to overtook kenya in 2017 but it was overtaken back na sioni ikiiipita tena sai we are trying to fight morocco..na kina nigeria
Low IQ kwa ubora wake,Hizi takataka mkoloni aliondoka na akili zao.
Hapana chezea TTCL,
View attachment 1582382
Walizoea data za kupika lakini hii ripoti iliwaumbua,
View attachment 1582383
Haya sasa rudi ukawinde albino.Hizi takataka mkoloni aliondoka na akili zao.
Hapana chezea TTCL,
View attachment 1582382
Walizoea data za kupika lakini hii ripoti iliwaumbua,
View attachment 1582383
haha mambo ya internet we nyamanza tu hapo haha..Kwani kati ya kunyaland na Tz ni nani aliepewa onyo apunguze kukopa kopa ovyo? BRT sasa inakwenda phase 3 wewe unaongelea phase two ambayo inakaribia kuzinduliwa?
Hizo fibre tayari tuna mkongi wa Taifa umesambaa nchi nzima hadi wilayani huko ndani ndani na pia tunavusha hadi nchi za jirani tunawasambazia net tu au nalo hilo hujui? Nyinyi si bado mko na maballon huko?
Bila WB huko hamuwezi hata kujenga KM moja ya lami sio? Dar port iko na oil jetty kubwa mbili, iko oil jetty Tanga port na soon tutakuwa na Mtwara oil jetty. Dar port imekuwa expanded sana tu na inaunganishwa na SGR ya umeme..huko mmeshakuwa na ndoto kama hizo?
In Tanzania, only 76,000 people are using fibre optic connection while in Kenya, 268,000 people are using it.haha mambo ya internet we nyamanza tu hapo haha.
nina jamaa(relatives) wanafanya kazi Daresaalam kwa a private internet connection company huwa ninanunua equipment kama routers na kumtumia na magari za kuenda Dar. huwa ananiambia vile izo bidhaa ni vigumu kupatikana kule na yakipatikana, bei ni kama mara dufu ya huku.
Pia ananielezea vile fibre optic connection dar bado ipo chini sana. Kitu ilinishangaza ni kwamba Fibre optic connection ya 2mbps mnalipa karibu ksh 10,000 per month wakati mimo nalipa 2,300 kwa 6mbps na kuna zingine cheaper
Kuita id yangu low IQ haiwezi ikakufanya wewe kuwa smart one na haiwezi kubadilisha fact kuwa katika wakenya mia moja ni wachache yaani 0-20 tu ndio wako na access ya Internet na hakuna kitu utabadilisha.Low IQ kwa ubora wake,
Haya sasa rudi ukawinde albino.
View attachment 1582648View attachment 1582649
they need to understand that not everything is about competition but Rather a challenge, like constructive criticism..but noo, all they think is "we the best"In Tanzania, only 78,000 people are using fibre optic connection while in Kenya, 268,000 people are using it.
This is now low IQ plus ukichaa combined together, first unatuonyesha data za 2018 and below wakati zangu ni za 2019. Second, unapinga first-hand data from the Tanzania Communication Regulatory Authority(TCRA) and Communication Authority of Kenya(CAK). In this area I trust TCRA and CAK more than the IMF.Kuita id yangu low IQ haiwezi ikakufanya wewe kuwa smart one na haiwezi kubadilisha fact kuwa katika wakenya mia moja ni wachache yaani 0-20 tu ndio wako na access ya Internet na hakuna kitu utabadilisha. View attachment 1582896
Huyo relative wako ni muongo kama wewe ulivyo muongo..na umemzidi kwa ujinga pia. Yani kakwambia hivyo tu ukaamini bila kufanya research kidogo tu? Kwa EA ni Tz inaongeza kwa bei cheap ya internet. Kama unapinga leta facts sio za kusikia.Haha mambo ya internet we nyamanza tu hapo haha.
nina jamaa(relatives) wanafanya kazi Daresaalam kwa a private internet connection company huwa ninanunua equipment kama routers na kumtumia na magari za kuenda Dar.
Huwa ananiambia vile izo bidhaa ni vigumu kupatikana kule na yakipatikana, bei ni kama mara dufu ya huku. pia ananielezea vile fibre optic connection Dar bado ipo chini sana. Kitu ilinishangaza ni kwamba Fibre optic connection ya 2mbps mnalipa karibu ksh 10,000 per month wakati mimo nalipa 2,300 kwa 6mbps na kuna zingine cheaper
Tanzania has the lowest internet speed in EA.Huyo relative wako ni muongo kama wewe ulivyo muongo..na umemzidi kwa ujinga pia. Yani kakwambia hivyo tu ukaamini bila kufanya research kidogo tu? Kwa EA ni Tz inaongeza kwa bei cheap ya internet. Kama unapinga leta facts sio za kusikia.
Tuko kwenye mpango wa 5G sasa kwa kushirikiana na Huawei. Sasa sijui wenzetu mko 7G huko au vipi?Tanzania has the lowest internet speed in EA.
Post your internet speed I want to show you something.Tuko kwenye mpango wa 5G sasa kwa kushirikiana na Huawei. Sasa sijui wenzetu mko 7G huko au vipi?
Mnara unasoma 4G hapa mkuu.Post your internet speed I want to show you something.
That's not internet speedMnara unasoma 4G hapa mkuu.
Ni nini?That's not internet speed
Where did you get it?Show me something like this.
View attachment 1583047
Search Internet speed test.Where did you get it?
Ni search wapi? Google? Hiyo speed inatokea ya hii device na mtandao ninaotumia au inatokea speed ya wapi?Search Internet speed test.