Kenya: Mchungaji akamatwa baada ya Waumini Wanne kufa njaa katika Mfungo

Kenya: Mchungaji akamatwa baada ya Waumini Wanne kufa njaa katika Mfungo

Lady Whistledown

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2021
Posts
1,147
Reaction score
2,008
Polisi katika Kaunti ya #Kilifi wamemkamata Paul Makenzie Nthenge wa Kanisa la Good News International baada ya vifo vya Waumini 4 na kuwaokoa wengine 11 wakiwa mahututi msituni ambapo walidaiwa kudanganywa na kufunga hadi kufa na Mchungaji huyo.

Nthenge alianza kufuatiliwa mwishoni mwa Mwezi Machi baada ya kuhusishwa na vifo vya Watoto wawili ambao walidaiwa kunyimwa Chakula na Wazazi wao wanaoaminika kuwa walikuwa wakifuata ushauri kutoka kwa kiongozi huyo wa kidini mwenye msimamo mkali.

Ripoti ya Polisi imeonesha kuwa watu hao 11 walikuwa sehemu ya watu 15 waliopatikana katika msitu wa #Shakahola ambapo mtoa taarifa alidai kuwa kuna kaburi ambapo huzikwa waumini wanaofariki kutokana na mfungo.

..........

Four Die, 11 Hospitalised After Being Duped Into Fasting To Death By Malindi Pastor

Paul Mackenzie of the Good News International Church, Malindi, when he appeared before Judge Olga Onalo on March 23, 2023.

The 11 were part of 15 people found participating in the excessive practice at Shakahola forest in Langobaya, by detectives acting on a tip-off from a concerned resident.

Police in Malindi, Kilifi County on Thursday rescued 11 people who were allegedly manipulated into fasting until death by zealot pastor Paul Makenzie Nthenge of the Good News International Church.

Nthenge became a person of interest in late March after he was linked to the deaths of two children who were allegedly starved to death by their parents believed to have been acting on advice from the extremist spiritual leader.

Despite being subsequently charged in court, Nthenge was released on a Ksh.10,000 police bond.

According to a police report seen by Citizen Digital, the 11 were part of 15 people found participating in the excessive practice, at Shakahola forest in Langobaya, by detectives acting on a tip-off from a concerned resident.

The whistleblower reported the matter at Langobaya Police Station while also alleging that there was a shallow mass grave within the forest containing at least 31 dead persons, who were part of Nthenge's flock.
"A contingent under the command of SCPC and SCCIO Malindi visited the scene for fact-finding. The team was able to reach few households and managed to rescue fifteen people among them six who were emaciated," reads the police report.

"Medics from Malindi Sub-County Hospital were called in to assist in the evacuation."

Four of the victims, who have yet to be identified, however, passed away while medics attended to them owing to their starved state.

The survivors have since been admitted to Malindi Sub-County Hospital, with three of them in critical condition.
The bodies of the deceased persons were also taken to the facility's mortuary pending identification and post-mortem.

Police were however unable to verify the existence of the mass grave owing to the forest's vastness and hostile residents.

Source: Citizen Digital
 
Wajinga wanne wamepungua Kenya,japo bado kazi ni kubwa
20230125_190305.jpg
 
Daaah aseee Mungu anamwona huyu jamaa 😢😥😥😥 so sad
 
Halafu jamaa anaitwa Paul Mackenzie. Eti Good News International Church.🤣😂😂
 
Mambo ni mengi, mchakamchaka unaendelea na mapya bado hayajaisha

Watu wanne wamekutwa wamefariki na wengine zaidi ya kumi wamelazwa hospitalini huko Kenya
Baada ya kuambiwa na mhubiri wa eneo hilo kufunga huku wakingoja kuonana na Yesu

Screenshot_20230414-145615_1.jpg


=====
Watu wanne wamekutwa wamefariki na wengine zaidi ya kumi wamelazwa hospitalini katika kaunti ya pwani ya Kilifi nchini Kenya, baada ya kuambiwa na mhubiri wa eneo hilo kufunga huku "wakingoja kukutana na Yesu".

Polisi walisema kundi hilo la waumini wa Kanisa la Good News International Church lilipatikana katika msitu walipokuwa wakiishi kwa siku kadhaa wakisubiri 'mwisho wa dunia unaokaribia'

Polisi pia wanaripotiwa kukuta kaburi msituni ambalo litachunguzwa siku ya Ijumaa.
Mchungaji wa eneo hilo amekuwa akiangaziwa na polisi kwa madai ya kuwataka waumini wake kufa njaa ili kufika mbinguni kwa kasi.

Kufahamu zaidi kuhusu mchungaji huyu tembelea ukurasa wa BBCSwahili
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] acha tu wakoloni weusi watufanye wanavyotaka maana sio kwa akili hizi
 
Chakula kilivyo kitamu mtu unafunga vipi embu fikiria ndizi roast,kitimoto eeeeh kachumbari safari lager
 
Jamaa hawajifunzi kwa Kibwetele aliyewachoma moto waumini huku yeye akikimbia 😅

Zumaridi naye bila kufungwa speed governor na Serikali alikuwa anaelekea huko huko.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] acha tu wakoloni weusi watufanye wanavyotaka maana sio kwa akili hizi
Huwa wanaamini kufunga ni usiku na mchana!!
 
Back
Top Bottom