Jay456watt
JF-Expert Member
- Aug 23, 2016
- 10,356
- 7,992
ok kusema kuwa tuna some problems hio sikatai ila kusema kuwa kenya ina barabara za 1948 ambazo zilijengwa kwa masterplan ya wazungu hio utakuwa unadanganya...kuna barabara tele sana zilizojengwa kwa kutumia masterplan ya kisasa...ingawa kuna shida ndogo ndogo hapa na pale, hatuko 1948 bana we wachaSama heading soma nilicho andika, middle income with 1948 road, kwani ni uwingo? didnt article hauku point out kama barabara nyingi zinatumia masterplan ya mkoloni?