Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😀😀😀View attachment 782065
Katika hali ya kupiga butwaa wengi mido inkamu Kenya yajivunia hatua ya watu wa vijiji vyao kujisaidia vyooni.
Tuwapongeze majirani jamani.
Kutumia vyoo kwa haja kubwa ni laana mkuu?! Vipi kujisaidia hadharani ndio sio laana? Hilo bango mimi naona ni kama kampeni tu ili watu watumie vyoo.Nimecheka mpaka bhas!?
Nchi za Africa laana sanaaa
You guys are dumb aje.... Can't you see the extras in black is PHOTOSHOP......shenzi typeView attachment 782065
Katika hali ya kupiga butwaa wengi mido inkamu Kenya yajivunia hatua ya watu wa vijiji vyao kujisaidia vyooni.
Tuwapongeze majirani jamani.
i disagree brother although it might appear embarassing this is one of the thing we MUST tackle. on our way to a fully developed country. wajua ata india hivi vitu vipo na ijalishi uchumi wenu ni mkubwa aje msipo tatua mtabaki tu developing.hii ni aibu..hawa wanatakiwa washikwe wafungwe kwa kutuaibisha kiasi hiki
tumekubali. swali ni tanzania hali vipi kama ldc? manake najua miji. mingi sana haina sewerage system.View attachment 782065
Katika hali ya kupiga butwaa wengi mido inkamu Kenya yajivunia hatua ya watu wa vijiji vyao kujisaidia vyooni.
Tuwapongeze majirani jamani.