It does not exist in their penal code!Kumbe kwa wenzetu ni kosa!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
It does not exist in their penal code!Kumbe kwa wenzetu ni kosa!
Shida iko wapi? Huwalishi, huwanyweshi, huwavishi wala kuwapea pa kulala sasa nashangaa umbea huu ni wa nini?Duu vijana wa kenya kwa kupenda ulerezi mmetoka kwenye ushoga sasa mnaenda kuolewa wawili kwa mwanamke mmoja tatizo nini au kwakua job hakuna
Nyang'au mla shamba la bibi.Nimekushtukia ww pia ni walewale
Fresh tu nyie endeleeni kufukualiwa mitaro kwa tamaa zenu.Shida iko wapi? Huwalishi, huwanyweshi, huwavishi wala kuwapea pa kulala sasa nashangaa umbea huu ni wa nini?
Usiwashwe si ni shida zetu ama?Fresh tu nyie endeleeni kufukualiwa mitaro kwa tamaa zenu.
Kwani wamekamatwa na polisi wa Tanzania ?It is known as polyandry. Ujinga wa Watanzania wengine ni kukosa uelewa wa kinachoendelea duniani kwa kuwa this is a normal thing in different cultures around the globe...but Danganyika uchanganye na Tanzagiza kisha uongeze LDC na Maji Maji rebellion upate most stupid Africans to ever roam this continent.
Wa Kenya.Kwani wamekamatwa na polisi wa Tanzania ?
Sasa ujinga wa Watanzania unaingiaje hapa ?Wa Kenya.
Kama wewe kuingia hapa Kenyan news and politics na kuchangia vijinga vijinga si ujinga?Sasa ujinga wa Watanzania unaingiaje hapa ?
Swali wamekamatwa kwa kesi gani sasa?Sasa rudisha upuzi ndani ya hilo shimo la Tanzagiza.
Umeshindwa kujibu ulicho ulizwa ,ngoja nikuacheKama wewe kuingia hapa Kenyan news and politics na kuchangia vijinga vijinga si ujinga?
Ya polyandry yani mwanamke kuolewa na wanaume wawili ila sioni kosa hapo labda kuna jambo lingine hatulijui.Swali wamekamatwa kwa kesi gani sasa?
Haina kwa wasio na akili timamu.Umeshindwa kujibu ulicho ulizwa ,ngoja nikuache
Hii platform ina mipaka ya kuchangia ?
Basi mie nimeona kama vile hilo limetokea Kenya, au macho yangu hayaoni vizuri kwenye thread hiiIt is known as polyandry. Ujinga wa Watanzania wengine ni kukosa uelewa wa kinachoendelea duniani kwa kuwa this is a normal thing in different cultures around the globe...but Danganyika uchanganye na Tanzagiza kisha uongeze LDC na Maji Maji rebellion upate most stupid Africans to ever roam this continent.
Huko kenya ni kosa kisheria?Ya polyandry yani mwanamke kuolewa na wanaume wawili ila sioni kosa hapo labda kuna jambo lingine hatulijui.
Ndo sijaelewa mpaka hapa TZ imehusikaje vp ww umemuelewa?Basi mie nimeona kama vile hilo limetokea Kenya, au macho yangu hayaoni vizuri kwenye thread hii
Mihemko ya "kisihasa" ikizidi inakuwa tabu.Ndo sijaelewa mpaka hapa TZ imehusikaje vp ww umemuelewa?