Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana labda kijamii au kitamaduni.Huko kenya ni kosa kisheria?
Hivi wewe huyu Maurine unamfahamu? Au nikufahamisheHakuna kosa apo. Labda kama Maurine angeenda kushtaki alichofanyiwa na hizo njemba. Vinginevyo hakuna ushahidi wa kosa
Nijuze, kosa lake ni nini? kupiga story na wanaume wawili? au..Hivi wewe huyu Maurine unamfahamu? Au nikufahamishe
Isije kuwa wamwandama tu??? Ilithibitika vile ako hiyo shida ya VVU
Wow!!! Sooo beautiful and lovely. Dini gani huyu muswety?? Aliwapagaisha madume mbili na wote kila mmoja akipewa zamu yake. This is a well planned living. Ka wanaume mnaruhusiwa kuishi na wake 4 kwa house 1 kwani huyu mbona yeye ni 2 tu na hata hawajawahi gombani. Mawivu zingine haihitajiki apa.
Basi hizo njemba kwa kuwa hazikulalamika chochote na huyo Maurine bado anayo haki ya kupiga nao story chumbani.
Nadhani kwa kenya mwanamke ni kosa kuwa na wanaume 2Maurine Atieno wa Kenya amekamatwa na Polisi nchini humo baada ya kuonekana akiishi na Waume wawili Robert Ochieng na John Ochola ndani ya nyumba moja, inaelezwa Maurine amekuwa akiishi na Waume wake hao ambao pia wamekamatwa ndani ya nyumba 1 kwa wiki 2 sasa.
#MillardAyoUPDATES
View attachment 877369View attachment 877370
HahahaMwanamke kajilimbikizia Mali... Amekuwa fisadi...
Mwanamke huyo amekamatwa baada ya majirani kulalamika na kutaka mamlaka husika kumchukulia hatua wakidai kitendo hiko sio sahihi.It does not exist in their penal code!